thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
Wasomi sio WamomiNyie ndio wamomi wa Amazon college
Yaani ulivyotumia hilo neno Makolo fc ndiyo umeharibu Uzi wako..yaani inaonekana suala lako si la kitaalamu bali ushabiki wa Simba na Yanga..Niliposomea Graphics Design lile Neno linasomeka hivi,
"TVisit Tanzania"...
MWenyewe wanasemaje ?
Mtu wa graphics aja zingua, shida ni wakaguzi wa kazimtu wa graffit kazingua
Kwani IT ni Nini??Hapo IT inausikaje?
Ni magariKwani IT ni Nini??
Hio Kazi ya Designer kuhakikisha Target ya user au walengwaMtu wa graphics aja zingua, shida ni wakaguzi wa kazi
🤗🤗 IT inaingia hapoNi magari
IT ni Nini ??Eti wataalamu wa IT? Dah hii nchi ngumu sana, IT mnaijua au huwa mnaisikia?
Usinisumbue wewe mtotoIT ni Nini ??
Sawa Mama mzaziUsinisumbue wewe mtoto
Ila jersey Haina mvuto kabisaaa.Niliposomea Graphics Design lile Neno linasomeka hivi,
"TVisit Tanzania"
Na
Sio
Visit Tanzania [emoji1
241]
[emoji846]
Wataalam wenzangu wa IT Njooni tuwaelimishe hawa Graphics Designers wa Makolo Fc
View attachment 2510213
jezi za jamani ni nzuri kuliko za sasa"Simba wamechemka sana, kwanza jezi gani hizo??? very poor designing, jezi za zamani ni nzuri kuliko hivyo vijora.