Manesi walalamika kuchunguliwa nguo za ndani na wagonjwa wa kiume

Manesi walalamika kuchunguliwa nguo za ndani na wagonjwa wa kiume

Ni moja ya matatizo ya wagonjwa hao.
Wapatiwe tiba kama tiba zingine.
 
Daah huu mchezo niumefanya sana... tena manesi wenyewe ndo huwaga wanataka kupigwa dufkurunumbu....
 
Wauguzi wa kike wamelalamikia kunyanyaswa kingono na wagonjwa wa kiume waliolazwa hospitali. wengine huwachungulia nguo zao za ndani wanapokuwa wameinama kuhudumia wagonjwa wengine, na pia huwataka kulala nao kufanya nao ngono.

View attachment 899757

Kuna uwezekano mkubwa kwamba hao Wagonjwa ambao huwa wanawachungulia hivyo wanakuwa wanawapa Ujumbe ' tukuka ' kabisa kwamba wameshapona na wanahitaji Kuondoka hapa Hospitalini. Hivi Mgonjwa ' serious ' kabisa na aliyezidiwa au aliyepewa ' dozi ' na zikamuingia kisawasawa ana huo muda wa kujua ' this is Mbunye ' au ' this is Chupi ' tena akiwa Wodini Kitandani Kalazwa?
 
Back
Top Bottom