Manfongo: Singeli imeniokoa, nilikuwa mkabaji

Manfongo: Singeli imeniokoa, nilikuwa mkabaji

Mkali wa 'Singeli' Manfongo amesema muziki anaofanya umemkomboa kwani alikuwa 'mkabaji' siku za nyuma.

CqsS4o5WIAAb4lG.jpg

Naona kaamua kuchagua fungu jema kabla ya zile siku 40 za kuvishwa tairi na kupigwa na matofali hazijamfikia.

SOURCE;EATV Twitter
Na mmea nao kaacha?
 
Anaonekana anavuta ganja,halaf mi nampenda msaga sumu yupo wapi mbona kimyaa "haya lowassa huyo ,kipenzi cha watu huyo napenda nyimbo zake
nilikua nakuwaza nkawa nasema binamu yuko wapi?!!au kahamia DOM
 
Ila ! _______ hajaacha kutumia kijiti

Hhhh

EkP

aaaaaaa _________ postAAAAAAAAAAAAaaaaa!aaaaaaaa 17345233, member: 227054"]Mkali wa 'Singeli' Manfongo amesema muziki anaofanya umemkomboa kwani alikuwa 'mkabaji' siku za nyuma.

[ITTMG]https://pbs.twimg.com/media/CqsS4o5WIAAb4lG.jpg[/IMG]
Naona kaamua kuchagua fungu jema kabla ya zile siku 40 za kuvishwa tairi na kupigwa na matofali hazijamfikia.

SOURCE;EATV Twitter[/QUOTE]
 
Hiyo sura si unaiona leo? Akina panya road wastaafu hao
Huyo hawezi kunikaba mtu kama mimi, labda kama kachoka kuishi.

Na wao huangalia watu wa kuwakaba.

Kunikaba mimi ni sawa na kusaini hati yako ya kifo tu.
 
masela wezi watupu Ila huyu sasa hv atakua anaiba kistaa sasa hv!
 
Vipi kama alikuwa shoga angesema mziki umemsaidia kuacha ushoga?....hizi kiki tu kama za wale wachungaji ambao kutwa husimulia uongo ohhhh nilikuwa mchawi au jambazi au mwizi bila kusema aliwahi kumwua nani
 
Back
Top Bottom