Shakolokobangoshey
New Member
- Jan 21, 2017
- 4
- 0
Hakuna jipya labda kama ndio unasikia leo story hii.Ndio maana babake mange alifumaniwa Na kuliwa mtungo mpaka akafa kwa aibu. Rungwe hotel.
Sasa kama una kazi unapata wapi muda wa kucomment kwenye account ya Mange.Hili halitaisha maana watanzania tunapenda ujinga natamani sana Mange asingeniblock walai angenitambua... kidogo tu ukichallenge anakublock if shes that strong na yeye akubali critics.
In short Mange ni housegirl mwenye asiye na kazi u can imagen atakuwa anafikiria nini most of the time.
Sent from my SPH-L720 using JamiiForums mobile app
Wale wale kwani leo lini na pia kuna tea breaks, lunch break na evening hour au let me make it simple tunacomment wakati wa leisure timeSasa kama una kazi unapata wapi muda wa kucomment kwenye account ya Mange.
Sasa naamini hata Magu ni follower mzuri wa Mange dada wa Taifa.
Wabongo km hawakupendi ndo walivyoLkn mm alicho zungumzia juu ya Lulu naona hajakosea hatakidogo.. Yupo sahii..
Ukisoma Yale maelezo ya mange yote ni ya kweli hakuna hata moja alilomsingizia, sasa ni kweli kama asemavyo mange tupunguze mahaba na u double standard wetu watanzania na tuache uvivu wa kusoma
Acha kumlisha maneno mange hakuna sehemu alosema kachukia kuwa karibu na hoyce,,Mange alimshauri vyema akae mbali na media mtu katoka mahakamani anarusha picha insta anatabasamu unadhan ndugu wa kanumba wanamfikiriaje,,Mange kamshauri vyema na kasema ukweli kabisaa
Ana Masters ya nini???
Exposure ya kutosha like what???
Thibitisha hapa ili tufahamu sote.
Wadada wote walio State wanajulikana wanachokifanya kasoro yeye, ina maana yeye kazi ya kutukana mitandaoni inamlipa sana hadi akalie vyeti vyake vya masters?? lol
Personal issues wapi, na unajua alikua anaenda kukodi hotel na kupiga picha na video akidai ndio kwake?? mtu aliye elimika anaweza kufanya ujinga kama huo??.
Kishaona alioenda nao wote wana maisha ya kueleweka, aliowaacha huku wana maisha ya kueleweka, akijiangalia yeye yupo vile vile na umri umesonga.
Ndio maana hasira hivyo lakini hana lolote.
Hii ya Seki sijui ilinipitia wapi jamaniTena mchokozeni haswa ili mange atupe ubuyu wa marehemu seki alivyofariki siku ya birthday ya lulu
Kuna jamaa alikua ana mihela wanavyosema alikua anatoka na lulu ,,sasa siku ya birthday ya lulu jamaa akaangukia meza eti akafa,,lulu alifuta akaunti yake ya nsta kwa muda ,na picha zilirushwa akiwa kwenye majonzi makubwa,,na pole akapewa lulu badala ya mke wa sekiHii ya Seki sijui ilinipitia wapi jamani
[emoji86] [emoji86]Hii ya Seki sijui ilinipitia wapi jamani
Kuna jamaa alikua ana mihela wanavyosema alikua anatoka na lulu ,,sasa siku ya birthday ya lulu jamaa akaangukia meza eti akafa,,lulu alifuta akaunti yake ya nsta kwa muda ,na picha zilirushwa akiwa kwenye majonzi makubwa,,na pole akapewa lulu badala ya mke wa seki
Niniii[emoji86] [emoji86]
Naona unamfundisha Vale umbeaNiniii
Unajuaje ye sio mbea [emoji23][emoji23]Naona unamfundisha Vale umbea
Najua.... Wewe najua kabisa nikitaka kuvunja miiko ya uanaume na kuamua kula ubuyu nakuja kwako kashilawadu ... Vale umbea hana yeye muulize mengineUnajuaje ye sio mbea [emoji23][emoji23]
Ungelijua basi tu[emoji23][emoji23][emoji23],,ngoja nije nikuchekesheeNajua.... Wewe najua kabisa nikitaka kuvunja miiko ya uanaume na kuamua kula ubuyu nakuja kwako kashilawadu ... Vale umbea hana yeye muulize mengine