Mange amshambulia Lulu

Ndo Mungu wao huyo hawawezi kukuelewa
 
Hii kesi bibie alitegemea umaarufu utambeba na zile comment za insta za kumwonea huruma ndio maana hakua serious tangu mwanzo wa usikilizwaji wake,mtu upo chumba cha mahakama kuu unapiga nne na kuchat

Pia nahisi kahela kalipita haiwezekan wakili wa serikali asiwe na maswali yenye mantiki kwa mtuhumiwa hata kuhoji lesen alishindwa,kuhoji rafiki aliyepiga simu usiku huo alishindwa aisee basi angehoji lulu alienda kwa usafiri upi kwa kanumba maana haiwezekan mtu usababishe majanga ukurupuke na kuendesha gari hasa kwa umri aliokua nao lulu kipind kile
 
Ndo Mungu wao huyo hawawezi kukuelewa
Ndo hivyo!

Mwaka 2012 alitaka kuwaaminisha watu kuwa Ray Kigosi ndo mhusika mkuu.

Sasa jiulize...kwenye hiyo trial jina la Kigosi lilijitokeza mara ngapi?

One definitely needs to have a certain level of intelligence to be able see right through her 'bullshitness' [to coin a word[emoji3]].

But I reckon most of her fanboys and fangirls are not that smart anyway....and that's why they gobble up hook, line, and sinker every bullshit that she spews.
 
Ni sawa sema kuhusu kuchat chumba cha mahakama...je alikua anachat wakati kesi imeanza ama kabla kesi haijaanza yani kabla Judge hajaingia??
Kama ni kabla kesi haijaanza hapo hajadharau kitu chochote....ni sawa na kusema eti asiwe anapost post kwenye instagram!

Iyo ya kusema hao mawakili wa serikali wamechukua hela inaweza kua ndio au hapana japo ukisema ndio wamechukua ni ngumu sana kuprove maana mawakili wa serikali wanajulikanaga kua ni vilaza bila hata kuchukua rushwa.... so mi na-assume kua ni ukilaza wao tu kama kawaida yao na sio rushwa unless otherwise...
 
Most of her fanboys n girls are the same persons of John Magufuli's
So pata picha apo...
 
Mange ni mpumbavu.

Kisa Lulu ameua bila kukusudia asiweke picha instagram?

Akili ya kuvukia barabara tuu inatosha kufahamu kuwa maisha lazima yaendelee, sawa imetokea bahati mbaya kanumba akafariki, je, alitaka lulu awe analia na kusaga meno kila siku?, mtoto wa watu ndio kwanza ana miaka 23 unataka aishi kama mjane mwenye miaka 78!!!!!!

B##ch give her a break, yaliyomkuta lulu yanaweza mkuta mtu yeyote yule, hakukusudia hata mama yake marehemu analifahamu hilo , tuiache mahakama ifanye kazi yake, Mange ma##ko tuu, maombi yake yataishia chooni na si kwingineko
 
Hata kama jugde hakuwepo,pale alitakiwa awe makini. Nadhan kesi ilipoanza kumuelemea akili aliipata simu hakuonekana nayo zaidi ya kuweka pozi la huruma na kulia

Hahahaa eti mawakili wa serikali vilazadaah wakiona post hii wabadilike bana wanaitia serikali hasara
 
Ni kweli,lakini yanakuusu nn? Naongea na huyo kimambi, yani wew kazi yako ni hiyo tu wallah czan kama mmeo anajua hili na cku akijua atakuacha maana wew huna mda nayako kazi kufata yawenzio tu kwani umemzaa wew adi umshairi mxewww
 
Kabla mahakama haijaanza simu ruksa kutumia na kuongea na kupiga porojo ...yani kama uko kwenye vijiwe vya kahawa
 
Team damange kasema
 
Mnadanganya lulu,hata kama Hoyce ana ugomvi na mange ila alichomshauri lulu ni sawa endeleeni kumjaza ujinga mtaona nini kinaweza kutokea,huwezi ukawa na matatizo huku unaendelea na mbwembwe za kawaida wait and see
 
Mshauri wako Akiwa mange jiandae kufeli
 
Mbona baada ya ushauri wa mange juzi hakwenda mahakamani kwa mbwembwe tena alikuwa anafunika uso wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…