Mange anahatarisha ndoa za watu

Mange ataongeza vitendo vya kishoga nchini...sasa hadi wanaume wamekuwa na shauku ya mambo ya kike....tuwe makini sana kwakweli..
 
Kila wiki na mwezi kuna jipya
Mara Dr Shika
Mara Kiba 100
Mara Superlady kalizwa
Mara Nabii Tito
Mara Shekhe anapenda nyuma hataki mbele
Umesahau
Mara harmorapa
Mara wema na dai.....
Mara tunda na kinje etc....
 
Ww mtoto hebu tulia!
 
Ukiwauliza watanzania Lin waliruhusu akili zao kutawaliwa na huyu Dada hawajui yani sawa na mtu ambaye ajui Lin alianza kupenda kufanya masterbation na anajua inamadhara kwake
 
Kwakweli anachofanya huyo binti huko insta si kizuri maana yeye anafikiri anamuharibia sheikh tu kumbe hata hao wanawake walio wahi kuwa wake zake nao anawachafua pia.
Halafu bila kujua anampigia kampeni Mtulia bure bure. Salum Mwalimu angejitenga na huyu mpiga debe wa Chadema mtandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…