Mange anahatarisha ndoa za watu

Mange anahatarisha ndoa za watu

Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
kama ulivyo uwepo wa "watu wasiojulikana", ni vivyo hivyo ndivyo watu wenye "hidden ID insta kwa Mange" nao wapo.

ni heri wale watakao waweka wazi "watu wasiojulikana", amini nawaambia hao nao watapata haki ya kuwajua wenye "hidden ID insta kwa Mange"!
 
Yaani hadi show ya wasafi Mwembe yanga imefunikwa haiongelewi ,bila kusahau kiki ya Mzee Slaa nayo imebumaaa.

Watu tupo Shehe Tito tangu jana
Hahahhhh hadi raha mukichwa
Acha wamchambue kama karanga aliyataka mpaka aseme pooh!
 
Kwakweli anachofanya huyo binti huko insta si kizuri maana yeye anafikiri anamuharibia sheikh tu kumbe hata hao wanawake walio wahi kuwa wake zake nao anawachafua pia.
"wanawake " waliowahi kuwa wake zake... ina maana ameoa na kuacha, anaoa na kuacha, anaoa na kuacha, anaoa na kuacha.. rekebisha andiko lako!
 
Nasikitika kusema upo sawa kabisa. Wote tuna mauchafu yetu na mtu wa LA akikufumua, utaomba YESU RUDI haraka aimalize dunia hii. Pole zao wote.
Kibaya ni kwamba kila mtu ana dark side sasa ikifika kwa dada inatolewa kwa mbwembwe mbona utafurahii.
 
Kuna Member Mmoja maarufu humu Jf nimemwona mke wako nenda kacheki kwenye list ya Mange kule ...
 
Wapendwa dawa ya mambo haya ni toba tu na kumkiri Bwana Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yetu basi. Otherwise kujibizana kwa hapa na pale hakutupeleki kokote zaidi ya jehanamu ya moto
 
i feel sorry for Muslims ....huwa najisikia vibaya sana kiongozi wangu wa dini akidhalilisha kwa namna yoyote ile...lakini ndo hivyo..ukicheza na tigo utapata tigo pesa ...ukicheza biko kuliwa lazima...ukicheza na nyani utavuna mabua....nadhani huyu sheikh hakuwashirikisha wenzake katika hili ilikua ni personal lakini sasa inaumiza sana Sana waumini wake....binafsi nilikua najiuliza huyu sheikh insta kafata nini?... Alafu alivyokua anaongea kuhusu mange na jf hv aliwahi kujiuliza au kujaribu kufuatilia ni mtu wa aina gan?? hakuona yale matusi na visa vyake? Siro wetu IGP mwenyewe alikaa chini hakuna alichomfanya......sasa leo sijui kama ni kweli bt lazima Shehe tumbo linavuruga coz Mange akikuchafua kujisafisha ni ngumu ngumu kupita kiasi... jiulize watu wanampenda mtu wasiyemjua na kumwamini...yale mafuriko ya followers hakuyaona? Angepata somo kwa Makonda B4 hajamuingilia Mange...today makonda ni among of the best RCs nchini lakini hata afanyake mangeism imeshamchafua sana kila anachofanya no one take it positive lazima wamnange tu...SHEHE POLE BELIEVE HILI NALO LITAPITA TU ...TUNAJIFUNZA KILA LEO NA ELIMU NI GHARAMA...NARUDIA TENA NDUGU ZANGU WAISLAMU POLENI SANA KWA HILI.
Mkuu hapa umechanganya. .Waislam hatupo kwenye hili tukio.
Ni lake menyewe na Dada ake Kimambi.
 
Kwakweli anachofanya huyo binti huko insta si kizuri maana yeye anafikiri anamuharibia sheikh tu kumbe hata hao wanawake walio wahi kuwa wake zake nao anawachafua pia.
Anawachafuaje? kama anaongea ukweli wanachafukaje?
 
Back
Top Bottom