Mange anahatarisha ndoa za watu

Mange anahatarisha ndoa za watu

Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
Umeongea sawa,lakini amini nakwambia kovu la kidonda alichopata sheikh hakitaweza kupona Leo wala kesho.ni ujasiri tu unahitajika
 
Nianze kwa kukiri ni kweli mimi nina IQ ndogo japo sio kichaa nalea vyema familia yangu napata kipato halali kwa elimu yangu ya wastani ,kama mkuu Great thinker sijakosea hili sio jukwaa lako wenye ma IQ makubwa kama yako wana chumba chao humu kimoja kinaitwa ''Great thinkers'' kingine ''Jamii intelligence'' huko huwa nikiingia nakuwa msikilizaji na kujifunza zaidi sipendi ukilaza wangu uwaharibie mjadala.
Heshima hiyo hiyo na wewe ulipaswa utupe tusio na akili kwa aidha kutochangia kama tufanyavyo vila za kwenu au kutoingia kabisa forum za wambea .
Nimeeleza anaharibu ndoa ,sijagusa swala la mange kuwa mkweli au muongo hiyo topic sina interest nayo swala ni hao wadada wanaopostiwa mfano ikatupiwa picha ya mkeo sasa hivi haitahatarisha mahusiano yenu huko kwenye ushabiki wa mange mi sipo ni kwa ma great thinker.
Umemjibu kwa hekima na busara ya hali ya juu sana,huko aliko nadhani atakuwa anajitafakari sana,lazima atakuja pm akuombe msamaha kama kweli Ana IQ kubwa kama ambavyo anajiona
 
Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
Nchi ya wasadikika hii mkuu....kazi yao ni kuitikia tawireeeee
 
Ubaya wa haya mambo unaweza kukuta mange anampobda sheikh wakat yeye anaufanya mchezo...haya mambo ni siri za ndani
nikweli usemacho but afadhali ya mange hatopata kushangaza sana endapo ikibainika kuwa huwa anaufnya huo mchezo ..kuliko kiongozi wa dini ambaye ndiye mwnye jukumu lakusimamia maadili Katika Jamii kufikwa na hiyo skendo ni laana kubwa mnooo
 
View attachment 691692 Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi .hivyo wakware wa mjini leo wako makini na list hii nasikitika kick ya Nabii tito ndo inaisha hivi
Ikiwekwa list nitag tafadhali
 
Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
Ni kweli anachukua info kutoka kwa watu... Lakini ukijua kutengeneza arguments na kuthink logically, huwezi kuandika hicho ulichoandika hapo.... Jifunze kuunga doys mkuu... Hata kama info hazitoki katika verified source lakini kuwa na sampo hata ya watu watano wanazungumza the same thing, ni lazim ujiulize mara mbilimbili... Kwa wale mlibahatika kusoma Logic either advance au chuo na mkaielewa, mtaju ni nn namaanisha
 
kiukweli nashangaa sana huko dar maisha ya watu yakoje
Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
, yani kila mtu mange mangee, upumbavu mtupu
 
Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
Hebu Jaribu kumtukana mange mkuu,, Kama hukutafuta TECNO ya tochi kwa muda..USIONE YABAYOTOKEA HUKO INSTA... . Yule akitaka data zako,, hakukosi,, ni zaidi ya CIA,, huyo SHEHE TITO wako now yupo ndani ya MTUNGI kajificha,,,, hakuna LA uongo hata moja,,,YOTE ni kwl TUPU,, ana ushahidi hadi pcha
 
View attachment 691692 Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi .hivyo wakware wa mjini leo wako makini na list hii nasikitika kick ya Nabii tito ndo inaisha hivi
Tusikitike kidogo tiitiitii [emoji58][emoji58][emoji58][emoji25] [emoji25]
 
Back
Top Bottom