Mange anahatarisha ndoa za watu

Mange anahatarisha ndoa za watu

Kisa kamzungumzia shehe Alihaji ndio umeamini kuwa mange mkweli... Mie nimethibitisha kuwa Mange ukimwambia akufiche id tu kisha tunga story inayomhusu mtu asiependwa na Mange basi ataipost.

Nilipokuja kushangaa nkaacha mdomo wazi ilikuwa meli ilokamatwa na Unga. Yeye mwenye kwenye post amesema imekamatwa huko nje mnamo tarehe 25 disemba. Kuna mdau akamtumia picha akawa ndio anamsapoti Mange na kumuonesha kuwa meli hio tarehe 29 ilikuwepo Zanzibar 😀 😀 nafungua comment hakuna mtu alohoji ukweli wa hio picha nikajua watu ni vichwa mchungwa. Ndio maana CCM itaendelea kuwaongoza. Yaani wachangiaji wote wameshindwa kujiuliza meli ilokamatwa tareh 25 ulaya, tena ya container, ndani ya siku 4 baada ya kukamatwa imeonekana Zanzibar (kina mange wanapodai kuwa imetoka na mzigo wa unga) kisha imerudi tena ilipokamatwa kwa ajili ya kukagyuliwa zaidi?

Ukweli hapa ndio nimemuelewa Mange, na pia nimewaelewa wafuasi wake ni watu wa aina gani.
Umeandika kitu ambacho tunahitaji kufikiri sana. Shida unapokuwa mfuasi wa mtu flani akili inakuwa ngumu kufikiri hata pale unapoambiwa kitu ambacho kina logic.
 
upload_2018-2-7_13-35-48.png


Nimeikuta kwa Mange
 
Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
Wajinga ndio waliwao inasikitisha sana kuona watu wanaamini hizo story zake yani inasikitisha mm nikikutana na mtu anaeamini mambo ya yule dada aliyechanganyikiwa na maisha namdharau sana
 
Kisa kamzungumzia shehe Alihaji ndio umeamini kuwa mange mkweli... Mie nimethibitisha kuwa Mange ukimwambia akufiche id tu kisha tunga story inayomhusu mtu asiependwa na Mange basi ataipost.

Nilipokuja kushangaa nkaacha mdomo wazi ilikuwa meli ilokamatwa na Unga. Yeye mwenye kwenye post amesema imekamatwa huko nje mnamo tarehe 25 disemba. Kuna mdau akamtumia picha akawa ndio anamsapoti Mange na kumuonesha kuwa meli hio tarehe 29 ilikuwepo Zanzibar 😀 😀 nafungua comment hakuna mtu alohoji ukweli wa hio picha nikajua watu ni vichwa mchungwa. Ndio maana CCM itaendelea kuwaongoza. Yaani wachangiaji wote wameshindwa kujiuliza meli ilokamatwa tareh 25 ulaya, tena ya container, ndani ya siku 4 baada ya kukamatwa imeonekana Zanzibar (kina mange wanapodai kuwa imetoka na mzigo wa unga) kisha imerudi tena ilipokamatwa kwa ajili ya kukagyuliwa zaidi?

Ukweli hapa ndio nimemuelewa Mange, na pia nimewaelewa wafuasi wake ni watu wa aina gani.
Huyo Shehe amechukua mke wa kaka yangu, ni kweli kabisa, na Mange kasema hivyo hutaki niseme kama ni mkweli?

Mambo ya meli peleka huko..., we sema Shehe anazingua au la
 
Umeandika kitu ambacho tunahitaji kufikiri sana. Shida unapokuwa mfuasi wa mtu flani akili inakuwa ngumu kufikiri hata pale unapoambiwa kitu ambacho kina logic.
Naona wafuasi wengi wanaendeshwa na hisia wanashindwa kufikiri kwa umakini
 
Naona wafuasi wengi wanaendeshwa na hisia wanashindwa kufikiri kwa umakini
Kweli kabisa. Sio kila jambo la kupokea kama lilivyo, ndo maana tumepewa akili ya kufikiri. Hivi yeye au wewe au mimi tunaziaminije hizo sources zinazompa habari. Kuna mambo huwa ana post hazitii shaka hata kidogo ila hizi za hide my ID bila evidence za ku suport ngumu kuamini.
 
Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
one of non logical, juzi alianza na tuhuma za shekhe badae tena akageuza lkn nyumbu wake wanakubali tu hata hawana muda wa kuhoji,, ujinga ni pale unamwamini mtu kwa kila kitu,
 
Kwani huyo mke hana maamuzi?
Au sheikh anatumia kisomo?

wewe ulanyanganywa mke halafu unakuja kulalamika kwanza huyu ni mpumbAVU SANA.
mala oooo mfi.....ji mara sh....a watu wanafata tu
hiii nchi haiwezi kusonga mbele watu wengi ni wanafki na wanawivu wa kisengesenge
 
wewe ulanyanganywa mke halafu unakuja kulalamika kwanza huyu ni mpumbAVU SANA.
mala oooo mfi.....ji mara sh....a watu wanafata tu
hiii nchi haiwezi kusonga mbele watu wengi ni wanafki na wanawivu wa kisengesenge
Punguza hasira,
Agiza Dasani hapo nakuja kulipa
 
Hao watu wasiojulikana nyie si mnasema serikali yenyewe? Basi na Mange kwanini usiseme anajitumia meseji mwenyewe kwa id nyengine. Hivi unafikiri serikali ndio haiwezi kuwajua hao wanaomtumia meseji Mange? 😀 😀 😀
naomba jibu.
 
one of non logical, juzi alianza na tuhuma za shekhe badae tena akageuza lkn nyumbu wake wanakubali tu hata hawana muda wa kuhoji,, ujinga ni pale unamwamini mtu kwa kila kitu,
Wafuasi wake hawawezi kuhoji.... wao ni wafuata mkumbo tu. Atakachosema mange wao wanakikubali.... Mange ni wa kuwa milionea saivi nashangaa hachangamkii fursa
 
Back
Top Bottom