BADILI TABIA huko ig ya tribellawigs inachekesha wabongo wanacoment kiawahili na matusi juu as if mwenyewe anawaelewa.
Looo Dinazarde leo anapitwajeeeee.
Ila bibie kakosea angeomba msamaha kiutuuzima wangeyamaliza yeye kahamia kwa matusi kwa wasiyoyahusu.
Kumbe lb ana beef nae kutokana na kumuibia id ya kazi yake ndo nimesoma leo.
He heheyaaaaaaa
Muacheni jaman mama shipping cost, yani atakuwa amelaani leo mange, watu washaua biashara yake na sijui kama watu watamuamini kweli dah, kweli wabongo ni nuksi
Thato womanooooo abegooooooo...
Ana websiteKama kweli hao wenye hizo products wako serious basi wa msue kabisa!
Duuu Yani anachukua product za watu na kuzifanya zake kwa kuweka trade mark yake,bora hata angebadilisha product design kidogo!
Mrembo by Nature,hivi huyo Mange ni verify user wa IG? Maana kama wahusika watahamua kwenda mahakamani anaweza kuwashinda kwa kuikana hiyo Id yake kama sio verified!
Kama watampeleka mahakamani wataomba fidia ambayo sijui kama ataiweza kama kweli wako serious!
Hii ni aibu sana!
Chezea mama shipping cost wewe aka mama madolali, maana siku izi mange alikuwa aongei sana yeye ni SHIPPING COST na USD$ ,madai mwenyew yupo kibiashara zaidi hatak umbea tena, kumbe majanga na leo wamemkomesha ila yule ni kiboko utakuta yupo mkavu
MBA ya makombe ya Quran
Imagine umeanzisha biashara yako unalipa tax na trademark na unajenga reputation yako nzuri Leo hii Mange na Huyo m Nigeria wake wanaanza kumtukana Huyu mfanyabiashara wanamtukana kisa amewastukia.Mange Ana act Kama scammer .scammer ukimshtukia anazidi kukufuatana kukutukana .Aache biashara na wanigeria especially USA .Kama kweli hao wenye hizo products wako serious basi wa msue kabisa!
Duuu Yani anachukua product za watu na kuzifanya zake kwa kuweka trade mark yake,bora hata angebadilisha product design kidogo!
Mrembo by Nature,hivi huyo Mange ni verify user wa IG? Maana kama wahusika watahamua kwenda mahakamani anaweza kuwashinda kwa kuikana hiyo Id yake kama sio verified!
Kama watampeleka mahakamani wataomba fidia ambayo sijui kama ataiweza kama kweli wako serious!
Hii ni aibu sana!
Mkuu una muongelea Huyo Edzen aliyempiga mkewe? Hapo ndio alionesha ni mtu wa ajabu sana!Nilimdharau sana siku alipomtukana Ezden kwenye blog yake infavor of Dida, maneno aloyaandika hayakustahili kuandikwa na mama wa familia tena mke wa mtu, kwa tunaomfahamu Ezden tokea Kiss Fm Mwanza, kaja Dsm kaingia Times Fm na bado kuonesha jinsi gani ni mchapa kazi na anakiu ya mafanikio kaingia TV1.
Licha ya kuwa employee katika izo media firms bado iyo ilikua haimtoshi utamkuta kwenye uMC matamashani na pia studio coz pia ni Raper.
Jamani mpaji ni Mungu, juhudi tunaziona na hata kama Dida alikua na kipato kikubwa zaidi basi si sahihi kumtukana Ezden ni mtu wa kula kulala kuamka na kuoga (KKKK)...Eti Marioo, aliudhi sana.
Hao kama wako serious waache kujibishana nao kwenye mitandao bali waende mahakamani wakafungue case ya madai na wadai fidia!Imagine umeanzisha biashara yako unalipa tax na trademark na unajenga reputation yako nzuri Leo hii Mange na Huyo m Nigeria wake wanaanza kumtukana Huyu mfanyabiashara wanamtukana kisa amewastukia.Mange Ana act Kama scammer .scammer ukimshtukia anazidi kukufuatana kukutukana .Aache biashara na wanigeria especially USA .
Ntashangaa sana hili swala likiisha bila Mange kupandishwa kizimbani!Umeongea point sana aongee na huyo mnugu wamalize mambo business as usual sasa yeye hakubali kushindwa ndo anatukana kama hana akili nzuri.na hivo.ndo vinamuharibia reputation yake kwenye biashara mdomo.akiuendekeza una mcost akubali tu kakosea basi
Ntashangaa sana hili swala likiisha bila Mange kupandishwa kizimbani!
KwelijamiiForum nimeamini ni ya magreat thinkers manake ukisoma kwenye blog ya mangemashabiki wake wanamtetea na kosa linaonekana wazi. Kweli MBA ya mwarabu haijamsaidiakabisa. Yeye kuondoa trademark zatrebellawigs ni kosa kubwa, sasa madai yake anafananisha na Gucci, wellukiondoa trademarks kwenye picha from Gucci website still the Gucci bags willhave labels clearly identifying them as Gucci.
Yeyealivyoondoa trademark ya mawig yale mawig mtu yeyote hawezi kujua nani mmiliki,if anything I thought Mange anayo mawig mkononi ndo anayauza kumbe walaa ndokwanza anataka achukue hela za walugaluga, hela hizo hizo akazinunulie nywele apelekekwa trebellawigs yatengenezwe baada ya miezi mine ayatume bongo. Yeye mange angejisikiaje mtu angechukua nguozake za vitenge, afute trademark ya bongolicious azirushe kama vile mmiliki wanguo hizo aziuze kwa profit??? Mange angepiga kelele, so what she did remainsto be wrong, she stole someone else's work of their hand and she has yet toapologize.
Mangeungetumia akili ungeomba msamaha wa kufuta trademark, ungemweleweshatrebellawigs kwamba ulichukua picha za mawig yake ili tuu uwaonyeshe watejaukusanye oda zao na kwamba ulikuwa na mpango wa kuzipeleka hizo oda kwakeawatengenezee mawigi…hapo ningekuona umesoma.
Tribellawigskwa mtazamo wake since mange only ordered 1 wig from her alidhani mangeamechukua picha zake za mawigi anazitumia kuwamislead wateja halafuanawapelekea hao wateja mawigi mengine ambayo sio from tribellawigs….All mangeneeded to do was explain this to tribellawigs…but akili ya mange inamtumia etisince alimrefer huyo tribella as a supplier that was enough…pliz mange suppliercan be anyone na kama mange ni honest professional business woman she wouldhave done the right thing.
Sasa MBAya mwarabu imemtuma atukane watu weusi…jamani ujinga mzigo watu weusiwametukanwa na bado wameendelea kumsifia cha ajabu ni kwamba hata hayo mawigiwatakaonunua ni watu weusi. Halafu ukisomahistoria utajua vitu vingapi vikubwa watu weusi wameinvent ila yeye naukurupukaji wake kadai ndo maana wazungu wanainvent kila kitu…maskini ujingamzigo aisee.
Nachomshangaamange ni kwamba if tribellawigs akiamua kupeleka kesi mahakamani, akamshtakimange for copyrights mange akiulizwa na administrative judge did you takepictures and remove trademarks the judge will award tribellawigs whatever shesued for and mange will be liable to pay…now instead of clearing that simpleissue ameamua kuwatukana leyla linda na chaggabarbie. Mange jiulize kwa nini instagram walitakedown all your post za wig..instagram have ethics they knew you stole thepictures and took them down…you should have learned from this lesson instead yakuanzisha bifu la kutukanana.
Mangeukikosea lazima uambiwe na sio kila anaekukosoa anakuonea wivu, yes kina lindana chaggabarbie walishadadia mno ila ni maadui zako so it was expected but foryou to start character assassinations is kind low, I mean give it a rest itsgetting old attacking leyla and her high school issue.
Jamani najuanimeandika kiswakinge kwanza ID yenyewe ni ya mmewangu akikuta nimecommentujinga kama huu hahahahahahhahaha ila msinishambulie kiswakinge changu I just couldn'tdecide lugha ya kutumia(only 2% of my brain is working right now lol)
Imagine umeanzisha biashara yako unalipa tax na trademark na unajenga reputation yako nzuri Leo hii Mange na Huyo m Nigeria wake wanaanza kumtukana Huyu mfanyabiashara wanamtukana kisa amewastukia.Mange Ana act Kama scammer .scammer ukimshtukia anazidi kukufuatana kukutukana .Aache biashara na wanigeria especially USA .
Hao kama wako serious waache kujibishana nao kwenye mitandao bali waende mahakamani wakafungue case ya madai na wadai fidia!
Kujibishana nao kwenye social net works hakusaidii kama wako serious!