Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Kakomeshwaaaaaaaaa hua anajifanya kila kitu anajuaaa si atafute kazi afanye ya maofisiniii kakomeshwajeeeeee
Halaf Mrembo by Nature mbona hujaniitaaa yaan! !!!!!
Hujamwelewa BADILI TABIA .
He he mie nacheka wabongo wanatukana kiswahili kwa mnaijeria kweli watu misukule.
Leo mange sijui kama ametulia
Pita salamaWe mwana nitake radhi.....nitumwe mie jini
Mie nimefikiria kwa pande zote mbili, ukiangalia kibiashara mnugu(spelling) nae angenufaika kwa kupanua soko.... na mange angenufaika pia...
Ila kwa sasa baada ya timbwili mnugu wadau washamjua watamtumia... kimbembe nywele zitatoka wapi canada au china...
Napita mie
Kakomeshwaaaaaaaaa hua anajifanya kila kitu anajuaaa si atafute kazi afanye ya maofisiniii kakomeshwajeeeeee
Halaf Mrembo by Nature mbona hujaniitaaa yaan! !!!!!
Shoga nimekujaaa yaan siku hiz napitwaaa wa GossipcoWarumii
Binamu umeshapata na aka we mtata
Kakomeshwaaaaaaaaa hua anajifanya kila kitu anajuaaa si atafute kazi afanye ya maofisiniii kakomeshwajeeeeee
Halaf Mrembo by Nature mbona hujaniitaaa yaan! !!!!!
Maana binamu mange kutwa alikuwa ni shipping cost na madolali tu mmh nikajisemea mange mwaka huu katuweza kumbe wote huu usanii , si kashatuona wabongo shopping za online ni washamba washazoea kununua nguo minadani basi ,mwenzetu kakazana tu na shipping cost hatak masihara
Pita salama
USA hakuna deal .Work hard follow the law .kuchukua picha na kuweka Kwenye website is a crime .TRADEMARK inalipiwa na people pay tax na kila mtu work hard kuwa na good reputation .Mimi ningekuwa mange ningeomba msamaha na nisingeanza matusi na ugomvi.Biashara inahitaji uvumilivu ,compassion na uaminifu .Mange hajui huyu dada .Je akimshtaki FBI as a scammer na IP lawyer akamchunguza mange itakuwaje ?Mange alianza na bongolicious akawa anauza Nguo je hizo Nguo ni yeye ameshona au design ?( imagine mtoto wako anaibiwa na anabadilishwa jina how will you feel ). Mange alikuwa anafanya biashara na mtu yupo Nigeria ( USA na wanigeria wanawaita scammers ni suspect hapa USA ) so number one don't do business na m Nigeria ( unajuaje Huyo m Nigeria ndio alimtenda ?) .Ningekuwa mange ningetulia kimya kuandika matusi makelele ni sigh ya kuwa she is guilt .Kaa tulia na family yako think deep about life na consequences zake .Be nice to people sasa unapotukana
ndio unaongeza maadui na biashara haiitaji maadui.Akikureport FBI utafanya nini kaa kimya basi yaishe .Siri ya mafanikio ni kujua kitu wewe peke yako wanigeria wa nini ?Life is too short be nice and people will be nice to you .Smile and be happy celebrate life not money .Please God not a society
Uliona eeh dolare 800, 500, hehe me nilijua anazo hair tayari Kumbe rusha roho tuwatoe roho mtaa wa 15
NIlikuwa naona binamu, ntafanyaje sasa, nikajisemea mange siku izi hatak mchezo anaongea na madola tu na shipping cost mara apige picha mwenyew ana post yeye ni $ na shipping cost ,mange alikuwa haongei sana,vitendo ndo vilikuwa vinaongea, nashangaa leo anavyoshuka na mistar uko insta, sijui page ya ngapi now, mbona analo leo kumbe hakuna shipping cost wala nini mmh ndo alikuwa anajifanya na yeye ndo akina Gucci sijui
NIlikuwa naona binamu, ntafanyaje sasa, nikajisemea mange siku izi hatak mchezo anaongea na madola tu na shipping cost mara apige picha mwenyew ana post yeye ni $ na shipping cost ,mange alikuwa haongei sana,vitendo ndo vilikuwa vinaongea, nashangaa leo anavyoshuka na mistar uko insta, sijui page ya ngapi now, mbona analo leo kumbe hakuna shipping cost wala nini mmh ndo alikuwa anajifanya na yeye ndo akina Gucci sijui
Uko sahihi..Mange angeomba msamaha kwa huyo mnugu sijui mhaiti..akiri kosa la kuiba picha za watu hadharani na kufuta jina la owner...then amwombe msamaha huyo mnugu.
Pia umeongea point ya maana sana tukija huko marekani tusikurupuke hasa wanaijeria maana wana very bad reputation ya kuwa scammers... sasa dada yetu from tanzania kavamia marekani na kujikuta ana mess up na very wrong people-Nigerians umeona walichomfanya? But I still feel our tanzanian sister Mange..maziwa yassishe tu ashindwe kunyonyesha maana stress inakata maziwa kwa wamama.
Shoga nisamehe...si unajua mfungo...niliogopa kukutengua udhu. Bi mkubwa kapoa km mhogo wa shouger
MBA Ndio ilimfundisha kucopy na kupaste bila ruhusa shoga. Like garasha na si MBA. Business Ina process zake yeye kujitia international hajui copyright na trademarks ??? Hii bonge la Kesi kibiashara za kisomi.yule mmachinga full stop
Kuna siku ulisutwa u turn.Unakumbuka?