Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Tatizo la huyu mwanamke ni kutukana kila mtu bila sababu....!
Teh Teh..... huyu naamini dish lilishayumba.....haaa nakumbuka alikua shoga na Joyce kiria
baada ya kuwekwaga mahabusu ye si alikua mbele kumtoa
wee hiyo siku akampa makavu live tena Ig.. akili yake duh
Na mimi nasubiri jibu lako sioni anayejali.Ndo nani huyu?
I second you
Kwa mara ya kwanza mkuu nimekuelewa kula likes za kutosha
huyu mwanamke mwongi sana.
Akawaongopee hao hao misukule wake.
Anajua kuwachota sana wale wanao msoma kule na wakimpiga anawablock...! Akitokea mtu wa kumpeleka kumpima kichwa atakuwa amemsaidia kabisa...nahuyu mwanamke mwongi sana.
Akawaongopee hao hao misukule wake.
Ila huwa anaongea fact tu hamung?unyi maneno.
Chakushangaza sheria ya mitandao inawahusu wakina Yeriko tu, huyu hawamgusi.
Kuna kitu huwa anaongea hakina ukweli?
Mange anasema uongo tuu kama ni hivyo hata Jf wasingepata matangazo maana hata huku Lowasa anapondwa tuu..Tatizo la Mange ni matusi tuu na pengine ni kutokana na dish lake kuyumba! Kampuni yeyote kuendelea kumdhamini Mange ni sawa na kudhamini porn movies....!
Mange badala ya kuongea iliyo kweli yeye anatukana watu na sio Lowasa tuu yeye ametukana watu wengi sana!
Hivi ni visingizio tuu...
Basi ulipitwa na kulala Obay polisi alilala mbona mwaka huu
Obay alilala kabla ya ccm kumfanya kua kampeni manager wao social media
Mbona alishaanzaga kumsakama Lowassa hata kabla ya kuja TZ.
Wakati bado yupo CCM.