Mange atoswa na Vodacom

Mange atoswa na Vodacom

haaa nakumbuka alikua shoga na Joyce kiria
baada ya kuwekwaga mahabusu ye si alikua mbele kumtoa
wee hiyo siku akampa makavu live tena Ig.. akili yake duh
Teh Teh..... huyu naamini dish lilishayumba.....
 
huyu mwanamke mwongi sana.
Akawaongopee hao hao misukule wake.
Anajua kuwachota sana wale wanao msoma kule na wakimpiga anawablock...! Akitokea mtu wa kumpeleka kumpima kichwa atakuwa amemsaidia kabisa...na
atakuwa amefanya zaidi ya udhamini...!
 
Hakuna kampuni itakayoendelea kudhamini matusi.
Apambane kwa hoja aache kutukana kila anayeenda kinyume naye.
Naamini hii ni aina flani ya ukichaa.
 
Mange anasema uongo tuu kama ni hivyo hata Jf wasingepata matangazo maana hata huku Lowasa anapondwa tuu..Tatizo la Mange ni matusi tuu na pengine ni kutokana na dish lake kuyumba! Kampuni yeyote kuendelea kumdhamini Mange ni sawa na kudhamini porn movies....!

Mange badala ya kuongea iliyo kweli yeye anatukana watu na sio Lowasa tuu yeye ametukana watu wengi sana!

Hivi ni visingizio tuu...

Dah ccm ni ile ile ,ila wakati anawapigia kampeni ilikua sawa tu eeh ?? Acha aisome namba
 
Back
Top Bottom