Namtunuku PHD ya heshima Mange Kimambi,kwakueleza ukweli mtupu,kwa kukataa kua Dogmatism ,kupelekwa pelekwa ukiuliza eti mabadiliko, mabadiliko ya kubadilishana vyama eti,MABADILIKO YA KWELI KWA SASA YAPO NDANI YA CCM,SIO NJE YA CCM
##AHSANTE DR KIMAMBI,tumekutunuku PHD ya ukweli ndani ya JF
Hahaahaaa!..KWELI MMEKWISHA AISEE MNATAFUTA PAKUSHIKA SIO SIRI...HIVI MNAMUAMINI HUYO KIGEUGEU ANAYEPIGIA PROMO CCM KIPINDI HIKI BAADA YA KUNUNULIWA?...MAANA ALIKUWA ANAWAKANDIA HUYO...LEO ANAUNGA MKONO CCM NA NYIE MNAMUONA LULU SIO...TUMWELEWAJE SASA??
hivi umesahau CHADEMA walikua wanamuita LOWASA fisadi na sasa wanasemaje
Ndo umeenda kujifunza hizo medical termilogy ili uje kufurahisha genge. Bahati mbaya vichaa kama wewe huwa hawajitambui, ila ukiwachanganya na vichaa wenzao watakwambia hawa wenzangu machizi, kumbe yeye ndo chizi. Ujumbe umefika, na mimi natoa facts tu, sifurahishi watu.
"Watanzania wasipopata mabadiliko ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM " by J. NYERERE after all asitufundishe uoga hamna anaejua ya mbele na woga wako ndo umaskini wako
Mwinyi aliingia msafi akatoka Mchafu, Mkapa aliitwa Mr Clean katoka Mchafu, JK tulimwita hadi chaguo LA Mungu kilichotokea tu najuta.....
Ni bora tuchague Mchafu anaweza toka msafi
Great Thinker at work!Papuchi gani ya.$100 hiyo ???.. papuchi gani ya kuringia labda aringie hiyo tigo yake ambayo anayodai anatoa.kwa.$300....!!!.. mwanamke kakomaa utadhani anakogea steel wire ???...hata akigawa mbunye yake bure hawashindi..arudi zake marekani akauze papuchi awaletee pesa za kampeni
She is quite perfect hata kama mtam"crash" kama wewe ni great thinker lazima utawaza haya kabla ya kufanya maamuzi. Hili si jambo la mahaba niue.Ila ukweli umefika kwani kuna la uongo kazungumza hapo
Huyu haaminiki anajikomba tu