Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Ila anapenda kuiga siyo creative kabisa kaona mdogo wake Wema atafaidi akiwa bungeni akaona na yeye akabahatishe
Kapima upepo kuliko kukaa tu bila kujaribu bahati hafu baadae aje kujilaumu. Life gumu wakati ukiwa mbunge bata nje nje yani. Na assume anakua mheshimiwa Mange kimambi.
 
Hahahahahahahahahahahahaha Lemutuz miye nikisikia jina lake tu naanza kucheka kabla sijasikia story zake
 
Teh Teh kwa hiyo alipoteza network hadi kashindwa kutofautisha kati ya kiganja na bastola? Alitakiwa atembee na kiboko na angemcharaza kabisa...

kumbe jee...
aliona rangi zoteee mwingine ajitolee kumtandika jamani looohhhh
dada anajifanya mjuvi sana ..
kumbe siku zote kiganja kina pande mbili....!!

anajitiaga upana wa pweza ...
 
Nikivuta picha ya tukio lazma alitetemeka mno alivomuona mange nimwañdikaji mzuri ila kumu face mtu direct ni ngumu kwake. Mtu mzima kupigwa vibao ni fedheha hafu shamimu akawa ana mwangalia.
Lemutuz naye anapenda kiki tu hana jipya.
Teh Teh avunje sasa mahabusu atoroke...! Hakika lazima ashike adabu!lemutuz lazima aende kumuona ili aje kutoa report kamili na Lemutuz na Mboni ni marafiki...
 
umeona eeehhh..!!
na ndo atajua wale mawaziri wake ni mawaziri kivuli au manaibu
yangu macho mie.....!!!

maana aliowatukana wote wakimvalia njuga sijui itakuaje!!
kimbelembele chote tupa kule.....!!!

Yaani duh atakuwa ameomba atumie simu apige picha aje kuongelea jinsi palivyo maana umaarufu unamuwasha na pesa amazitaka kwa nguvu.

Nakutakia kila la kheri na uchaguzi.
 
kumbe jee...
aliona rangi zoteee mwingine ajitolee kumtandika jamani looohhhh
dada anajifanya mjuvi sana ..
kumbe siku zote kiganja kina pande mbili....!!

anajitiaga upana wa pweza ...
Jamaa alitakiwa kuwa ana tembea na kiboko kabisa maana siku hiyo ilitakiwa amtandike lazima angeenda kusema jamaa kamrushia bomu la mkono Teh Teh! Huyu dada ame umiza watu wengi sana..
 
Teh Teh avunje sasa mahabusu atoroke...! Hakika lazima ashike adabu!lemutuz lazima aende kumuona ili aje kutoa report kamili na Lemutuz na Mboni ni marafiki...

Naomba akae alie Eid ndani, hii kitu iwe minday ndio atadhika adabu.
 
Yaani duh atakuwa ameomba atumie simu apige picha aje kuongelea jinsi palivyo maana umaarufu unamuwasha na pesa amazitaka kwa nguvu.

Nakutakia kila la kheri na uchaguzi.

ameen...switie
yani mange acheni tu kwanza asuffer consequences kashantukania watu wangi wawili tena ninaowaheshimu sana...mmoja mpk leo ndoa yake haipo vizuri na amejitoa kwenye group la whatsap
MUNGU AMLIPE KM ALIVYOWATENDA WENZIE...
 
ameen...switie
yani mange acheni tu kwanza asuffer consequences kashantukania watu wangi wawili tena ninaowaheshimu sana...mmoja mpk leo ndoa yake haipo vizuri na amejitoa kwenye group la whatsap
MUNGU AMLIPE KM ALIVYOWATENDA WENZIE...

Aisee pole kweli amekaa anatishia watu wasiishi vizuri yaani lazima kaharibia wengi zaidi.
 
Jamaa alitakiwa kuwa ana tembea na kiboko kabisa maana siku hiyo ilitakiwa amtandike lazima angeenda kusema jamaa kamrushia bomu la mkono Teh Teh! Huyu dada ame umiza watu wengi sana..

HHHAAHAAAAAAAAA
Leo watu wanacheka sana km anavyocheka wenzie pindi anapowavua nguo..kiko wapi sasaaa....
hakuna marefu yasiyo na ncha ama kwelii
 
The wabunge of ccm make people see ubunge is cheap people fight fight to be wabunge everybody is scrambling and partition for ubunge this is not good actually because we wanting good people to help us.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…