Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Angefanyajee kachezea mabao ya haja tu alafu kamsingizia kaka wa watu eti kamtishia na bastora mjinga sana yule demu.

uongo ni asili yake
dahh big up shamim saf sana ktk maisha yangu kuoigwa vibao km mtoto naomba yasinikute maana aibu kweli
hahahahahaaaaa nimefurahi hatariiiiii!!
 
miss u to babe..
nipo mpenzi mambo mengi na mie nimetangaza nia so ukiona kimya ujue niko jimboni kwenye kampeni..
Dah hongera zako Mungu akulinde na kukufanikisha azma ya moyo wako aisee. I do believe utaupata tu wewe jembe la nguvu. nifah njo mu wish jembe letu la nguvu kwenye ubunge.
 
Last edited by a moderator:
Lemutuz karusha post ingine ndani ya saa nzima eti bado yuko ndani kesho mahakamani, gari ya kaka ake hiyo pichani. Na mengine zaidi kaandika

Alie na screenshot atairusha
 
Mboni amefanya la maana hakujibishana naye amefata sheria zote. Nadhani na yoyote atakaye mzalilisha bora kumshtaki.
ndo dawa yake hiyoo
si alisemaga harudi bongo mpk after 5yrs...
njaa mbayaaa...hahhahaaaaaaa
shutuuuuuuujuu
mibao imemkolea mpk mikono ya nsembo kaiona bastola
nacheka kwa raha leo...!!!!
 
Leo mchana Mange kakamatwa na jeshi la polisi kwa kosa na kudhalilisha watu mtandaoni na aliemshitaji ni Mboni, siku za nyumba Mange alimtukana sana Mboni na kumkashifu na kumuita majina yote kama muuza k ni malaya na pia alimtukana mwanae Mboni.
Tatizo anaweza kuachiwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha! Hivi mboni ali print yaliyo andikwa?Halafu cyber law bado haijatungiwa kanuni elekezi kwa hiyo anaweza kuachiwa japo lazima atakoma kutukana watu mitandaoni!

Mtu kama huyu ni bora kumtandika bakora kabisa kuliko kumpeleka polisi au yule aliye mshikia bastola ange muwasha ya mguu ndio itakuwa funzo!
 
Leo mchana Mange kakamatwa na jeshi la polisi kwa kosa na kudhalilisha watu mtandaoni na aliemshitaji ni Mboni, siku za nyumba Mange alimtukana sana Mboni na kumkashifu na kumuita majina yote kama muuza k ni malaya na pia alimtukana mwanae Mboni.

kwahiyo kawekwa mahabusu au iliishiaje?
 
Angefanyajee kachezea mabao ya haja tu alafu kamsingizia kaka wa watu eti kamtishia na bastora mjinga sana yule demu.

hahahaaaaaaaaa...alichanganyikiwa jamani..
mikono kaiona pistooo...
nachekaje sasaaaa....!!
hureeeeeeer nsemboooooo..!!
vibao vya KELBU bwana hapana..!!
vinaumiza haswaaaa!!!
 
ndo dawa yake hiyoo
si alisemaga harudi bongo mpk after 5yrs...
njaa mbayaaa...hahhahaaaaaaa
shutuuuuuuujuu
mibao imemkolea mpk mikono ya nsembo kaiona bastola
nacheka kwa raha leo...!!!!
Waliosema kuweka akiba ya maneno hawakukosea kabisa sasa hapo si kasaliti kauli yake mwenyewe.
Majuui napo si Ku rahisi naona kaona aje kujaribu bahati yake ya uheshimiwa anaweza kuupata.
Hivi ni alionyweshwa bastola au alipigwa vibao. Inaonyesha hvo vibao ni hatari aisee.
 
Back
Top Bottom