Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar


yes kapigwa vibao na nsembo na wala hakutishiwa bastola ila kaona aibu watamcheka misukule yake...!!

mboni amemshtaki maana alimdhalilisha sana eti haolewii ..sijui kazaa na chief kiumbe,ndo maana mpk leo anazeekea kwao yani alimdhalilisha mno..!!
mi nimefurahi sana na nimeskia kuna wengine wanne wameendaa pia kujazia nyama polisi pia
alivyo mjanja anapenda kujivictimize sana aonekane yupo sawa kwa kujifananisha na wengine kwenye upuuzi wake
mi natamani mboni amdai fidia ya km milioni900 hv kwa kumdhalilisha
 
I hate that Mange a lot na aombe Mungu asije kuingia kwnye 18 zangu ATAJUTA.
AMEWAH KUMSEMA MY CCTER NA KUMKEJERI SANA, huko US KWENYEW MNGEJUA ANAVOISH MAISHA yake na huyo mmewake ni magum basi tu ashukuru akija bngo angarau dollar imepanda hela yke kdogo inakua na thaman afu anajfnya kuongea vbaya wenzake..,
 
nimejaribu kufatilia repliez na commentz za members nikagundua kua yamejaa majungu na hii inatokana na thread yenyewe ambayo inajitosheleza na haihitaji nyongeza coz mtuhumiwa kashafungwa xo nothing to add may be kama kunahoja ya namna ya kumtoa..otherwise napenda kusema kwamba thread imefungwa rasmi kwakua iko outdated..?!
 

yuko dar oysterbay polisi
nyuma ya nondo!
 


Apewe miaka 10 tu inamtosha teh teh teh
 
Hakika huu mzaha. ...mkazi wa USA anagombea ubunge dar.
 
Wewe huna lolote.. huwezi ukamtishia mtu maisha mtandaoni tena kuuwa alafu ukataka tukuone wewe una haki zaidi ya Mange ambaye katoa taarifa ya dada yako ambayo ni kweli lakini ya aibu tuu.. hili andiko lako litakuletea matatizo wakati huo mambi atakuwa hawaii anakula jackies
 

Jamaniii mbona jazba hivyo.....kutoa uhai wa mwenzio kisa manenoπŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•
 

Hilo hawaoni hata hapa jf keshatukana sana huyu sura kma vampire.....kwani aseme tu flani muuza sembe wakti wauza sembe wako kibao 2,yeye akigombana n m2 ndio matusi yanaanza akae huko mpka j3
 

Mwalimu acha kuchekesha 900m atoe wapi hata bwana yke n ukoo wke huko usa hawana huo mzigo labda.......huyu kapuku 2 w kuuza mitumba namuonaga akileta mzigo arusha kuna dada yangu nae mteja wake,maisha y kuunga 2 n sasa hivi kanataka ubunge atiii.
Nani akape ubunge hata tako l kushika ili upige mechi halipo sanasana tako la kusukuma uharo 2
 
hhabhhaaa mheshimiwa...???mavi yakeeee!!
hana ubunge bedui vile..akipewa je?!
ishakula kwake hiyoo!!

mboni nimempenda bure
Anajitoa ufahamu eti kashikwa kisa kupiga vita drugs, anajisahaulisha matusi na udhalilishaji wake anaofanyia watu
freedom of speech na kutukana ni vitu viwili tofauti kakae huko huko tu wasikatoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…