babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Katoto sa hizi kanajiuliza hivi mama yuko wapi?naona asipofunzwa wakati huu kisawasawa atazidisha kutusi na Ku bully watu.sijui anatatizo gani,mtu unaacha mume mzuri,watoto wazuri,nchi nzuri unakwenda lazwa mahabusu uambulie na magonjwa ya ajabu.nammonea huruma najua ni mgonjwa lakini hataki kukubali kama anahitaji msaada.na watu waliokaribu nae naona wamemshauri wameshindwa.ataishia pabaya asipojirekebisha.
Hii ndio tabu kuzaliwa na limama pumbavu km huyu.