Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

nafuu akamatwe kiukweli siku moja nilipitia blog yake nikajouliza kapata wapi ujasiri wakutukana viongozi wetu? polisi mimi nasema mpigeni tuuuuu
 
ndo dawa yake hiyoo
si alisemaga harudi bongo mpk after 5yrs...
njaa mbayaaa...hahhahaaaaaaa
shutuuuuuuujuu
mibao imemkolea mpk mikono ya nsembo kaiona bastola
nacheka kwa raha leo...!!!!

Dorooo kuchi doro aaaah ngoja nijiimbie haka kawimbo ka don jazy...hadi raha kamewekwa ndani bila kuamini haka kabibi
 
View attachment 268666

Blogger Mange Kimambi wa u-turn Blog ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam.

Polisi wamemkamata wakati ameenda kuchukua fomu ya kutia nia kuomba ridhaa ya kugombea ubunge kwenye moja ya majimbo ya jiji la Dar.

Mpaka sasa yupo mikononi mwa Polisi akihojiwa kuhusu mienendo ya uendeshaji wa blogu yake na mitandao mingine ya kijamii.

Ubunge ngoja nitafute pesa mie
 
. hili andiko lako litakuletea matatizo wakati huo mambi atakuwa hawaii anakula jackies[/QUOTE]

sorry guys cwez kufanya hvo nmeandka kwa jazba tu hahahahahah cna ujasir huo wa kutoa uhai wa mtu,NIMEFUTA KAULI
 
If this is true, then "Free Mange Kimambi".

I am not a fan of Mange. I am a fan of Freedom of Speech.

This just elevates Mange beyond her current status.

Cc Nyani Ngabu

Mkuu Kiranga with all due respect, nguo tu aliyovaa Mange sijui Mangi inamweka kwenye hatari ya hukumu ya kwenda jela miaka 7 kama ingekuwa ni nchi yenye kufuata utawala wa sheria. Sasa kwa nini Mangi aachiwe?
 
Last edited by a moderator:
tatizo lake huwa anaongea mpaka maneno ya kuombea samahani

Kweli nimeamini muosha huoshwa. Aisee nikikumbuka alivyowaacha uchi Kiki Zimba na mumewe Maliki, Nacky, Teddy Kalonga etc. Yani wakijipanga kwenda oysterbay kumfungulia kesi hy foleni itafika TUNDUMA!!!
 
Duh kuna mtu instagram kashusha uchungu wa mtu mwenye mimba changa kutoka kwa mshtuko aliopata kukuta ameandikwa na Mange....

Kweli anavyo bully na kuchezea na kuumiza kisaikolojia amezidi sana
 
Mwele alikuwa bibi ya Kimambi full time; alikuwa nae Tiger Motel muda wote!!
 
Kwa upande mmoja namuonaga yupo sawa ila kuna kipindi huwa namuona kachanganyikiwa maana ana wa attack watu vbaya yani kama mtu ana roho nyepesi anaeza kufa maneno ya huyu mama, hata kama anajua mengi mengne anatakiwa ayamezee tu kwasababu habari bila evidence ni uzushi
 
Blog yake inaitwaje?? Pls nataka niwe tomaso
 
Akili za watu wachache nazo ovyo kweli,nadhani hata inakua ngumu kutofautisha uhuru wa kuongea na kutukana/kudhalilisha watu swala la kupinga drugs tunamsapoti ila kutukana watu ni tatizo lingine mahaba yakizidi unakua ujinga
Evelyn Salt mwezi ukiandama tu leo nitafute nikutie eid ukale na wa kwenu kitaa.
Umentekenya sana na hii comment yako wallahi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom