Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Anajua ubunge ni kulala tu na maposho kibao..hakuna kazi rahisi kama ubunge nchi hii,ujue tu kusema Ndiyooo na siyooook baaas
 
utajua mwenyewe na kingereza chako cha kwalaghai mademu wa jf, kwamba uonekane msomi sana kumbe fongoso tu!

Fongoso?hahahahaha mkuu linamaana gani hilo?umenichekesha sana#Tupatupakupatakunamungu
 
Mange anatumikia zamu yake...usipoacha kule chini ujue zamu inakuja. Nakuambia manake serikali haijalala. Kuna watu wamewekwa special kwa hiyo kazi. usishangae siku wako mlangoni/getini kwako wanakuonesha vitambulisho

I will bear the consequences.
Same applies to her.
 
Naona Mrs Kileo naye amenunua kesi!Joyce Kiria anatafuta kick kwenye mitandao had anaharibu sifa ndogo aliyonayo
Joyce Kiria nilikuwa namuona kidogo ana akili kumbe hamna kitu kabisa halafu bahati mbaya sijui kama ana fahamu ana tetea nini! Mange anashitakiwa kwakuwa anatukana watu mitandaoni tena matusi ya nguoni na wala si kwasababu huongea facts!
Tatizo la Mange ku ni ku attack watu!
 
Last edited by a moderator:

Unategemea makubwa kutoka kwa graduate wa la saba la utawala wa Mkapa?bora std 7 wa Mwalimu wako Smart!yupo humu na Id yake kuna Mdau amesema ni Mange
 
Last edited by a moderator:
mellisatz, lara1, carrie hizo zote id za MANGE KIMAVI. Nyingine ntawatajia baadae for now Nausaka mwezi hawa Bakwata wameharibu siku leo. Wasingebana nifah angekuwa ndani ya nyumba

Ukilaza hauhitaji kujijua duh kwa hiyo umeshinda kombe gani sasa kwa kufikiria uongo na kufurahia kuniandika na kusingizia.
 
Last edited by a moderator:
Mbona unalialia?

Shuuu na hilo nalo neno, kama haujui ya humu wengi utoka na kikoba rohoni waje uzi mwingine wakushambulie na ndio maana nimemuuliza.

Kwa sababu ni ulaza tu na atajiju nawe pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…