Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
sure wao km wanawake mbona hatukuwaona pale obei leo hahahaaaa wamebaki nyuma ya keyboard km mie hapa hahaaaaaaaahawaawaaaaaahhaaa
yule kiherehere mbona kinamuisha nhie twendeni tu
Hawa ndio humtia kichaa na kumjaza ujinga.
Wao wakilala usiku na mabwana zao kimyaa, yeye anakesha kuwaza nani amchafue.
Na mbona hawakumwekea zamana wao?
Mbona hawakutokea pale obey, hawa marafiki vivuri ndio humsaidia kutukana wengine wakipewa zawadi za pants alizokwisha kuzitumia.
yule kiherehere mbona kinamuisha nhie twendeni tu
Afungwe tu.. Maana hamna namna sasa