Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Upuuzi mtupu..mange,mange,..wakati kuna mambo mengi ya muhimu kujadili yanayolikabili taifa letu.
 

hahaaahhhaaaa..!!mi siko bias nowdays namkubali wema sana tu
ila ndo tukone tena jela nje nje anaanza ye kubwa la maadui then ndo sie tutafuata..!!
 
Si bora ukae kimya Ndoroboooooo weeee

Kaa kimya you mnakuja na mistress yenu kuchokonoa watu kutafuta kiki

Na mie najifunza lugha humu humu, now shika yako sepa kimbia kabisa.

Ndoboroooo kwani hauichezi wewe, wahi na koma kunitafuta.
 
Sijui jinsi ya kutuma attachment watu wali screen shot alivyosema January Makamba kahusika halafu kakafuta, sasa huyu mtu ni wa kuonea huruma? Ebu nijulishe nai attach vipi maana inakataa

km unatumia application ya jf nenda kuna kimshale na vialama v3 bonyeza vile vialama pale kuna attachement so we nenda kwny attachement pale then weka humu tuone ushuzi wake
 


Sawasawa kabisa
 
nasemaje funga kenge wote wanaotukana mitandaoni tutaheshimiana tu mwaka huu...!!
sura imemshuka na huyo kiria anajitoa fahamu tu!!

hahahaaaaaa....saaaffff na bado hapo!!huo mwanzo tu
kenge mmoja tu weweee....ndo nani labda utukane na kusababisha familia zitengane
mxiuuuiuuuuuuuu...tupa kuleeee....
 
Keep going mange you have our support kwenye vita ya madawa ya kulevya na uhuru wa vyombo vya habari , hata mandela alisumbuliwa na vyombo vya sheria lakini hakusita kupigania anachoamini

She has your support behind keyboard!
 
Mange anatumikia zamu yake...usipoacha kule chini ujue zamu inakuja. Nakuambia manake serikali haijalala. Kuna watu wamewekwa special kwa hiyo kazi. usishangae siku wako mlangoni/getini kwako wanakuonesha vitambulisho

hahaaa mchuma janga..
hula na wa kwao bibieee....
hata mie wanifunge tu..!!!nkidhalilisha mtu au watu huoni siku hizi nnavyomkubali wema kiaina...
 

wanaomsapiti wote hawajielewi au kisaikolojia kuna kitu wamelack even though wanajiona wako sawa
mi nashauri serikali impeleke straight milembeee.....!!au segadansiiiii...!!#
 
wanaomsapiti wote hawajielewi au kisaikolojia kuna kitu wamelack even though wanajiona wako sawa
mi nashauri serikali impeleke straight milembeee.....!!au segadansiiiii...!!#

Wacha tu yamkute.
Yalomkuta Kibeku na ungo yatamkuta, dougiemchawi alibadili mwelekeo alipoona kagundulika yeye ndio.janety33
 
She has your support behind keyboard!

Hawa ndio humtia kichaa na kumjaza ujinga.
Wao wakilala usiku na mabwana zao kimyaa, yeye anakesha kuwaza nani amchafue.
Na mbona hawakumwekea zamana wao?
Mbona hawakutokea pale obey, hawa marafiki vivuri ndio humsaidia kutukana wengine wakipewa zawadi za pants alizokwisha kuzitumia.
 
Yaani naona wengi tumempita ila duh nimecheka sana sana ulivyoyaandika na yamemnasa sasa.

Hahahaha hajui maana ya boya nimeona nimpe mapeeeemaaa halafu kuna mwingine hapa kasema wew carrie ni mange naomba umpe vyake mapeeeema
 
Last edited by a moderator:
Nina wasiwasi na jinsia yako kama kweli ni me..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…