Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Damn..all those charges? Sounds like she's in some deep doo doo.

But then again, this TZ.
 
Hapana, abaki ndaniiiii

Mange anatumikia zamu yake...usipoacha kule chini ujue zamu inakuja. Nakuambia manake serikali haijalala. Kuna watu wamewekwa special kwa hiyo kazi. usishangae siku wako mlangoni/getini kwako wanakuonesha vitambulisho
 
Nikiripoti kutoka insta...
 

Attachments

  • 1437145880305.jpg
    1437145880305.jpg
    55 KB · Views: 433
View attachment 268666

Blogger Mange Kimambi wa u-turn Blog ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam.

Polisi wamemkamata wakati ameenda kuchukua fomu ya kutia nia kuomba ridhaa ya kugombea ubunge kwenye moja ya majimbo ya jiji la Dar.

Mpaka sasa yupo mikononi mwa Polisi akihojiwa kuhusu mienendo ya uendeshaji wa blogu yake na mitandao mingine ya kijamii.

View attachment 268836

Mange alipokwenda kuchukua fomu ya Ubunge wa jimbo la Ubungo kabla ya Kukamatwa na Kupelekwa Rumande

View attachment 268837
Mange akiingizwa Gari LA makachero kuelekea rumande

View attachment 268838
Akiwa ndani ya Gari jeusi kuelekea polisi

========
UPDATE - Julai 17, 2015

Mange Tayari ametoka kwa dhamana aliyowekewa na mtoto wa Mvungi muda mchache uliopita (05:15pm)

11333383_747889221986753_839217265_n.jpg


Kwa mujibu wa William Malecela, mpaka sasa Saa Tisa Kamili Mange alikuwa amemaliza kutoa maelezo ya awali na anakabiliwa na Kesi za wananchi 7 ambao tayari wameshamfungulia Mashitaka ya kudhalilishwa kwenye Blog yake.

Imebainika kuwa ana kesi ya mujibu wa Polisi Cybercrimes Unit, na huenda akawa na kesi ya kujibu kutoka Usalama wa Taifa na ana kesi ya Polisi wenyewe Oysterbay
wacopy mara moja maeneo aliyowakashifu kabla hajafuta maanake huo ndio utakuwa ni ushahidi wao.
 
watu ni wanafiki sana. kwahyo wanaunga mkono shut up law? sababu wanataka maovu yao yasijulikane!

#saynotocybecrimelaw

#supportmange

We mpumbavu mamako akiandikwa au kuchafuliwa kwenye mitandao utajisikiaje?? Hao mnaoshabikia wakiandikwa huko na huyo kichaa kumbuka wana watoto na ndugu zao. Hata kama watoto wao ni wadogo kumbuka maneno ya kwenye mitandao yatabaki for generation and generations..

Hata kama hayo yanayoandikwa yana ukweli au lah, ajaribu kuheshimu privacy za watu. Kuandika EL ni fisadi hakuna shida ila kumwandika mke wa Mengi sijui alikuwa anatembea na nani na nani sijui huwa inampa relief gani yeye pamoja na hao wanaomsoma
 
Wadau naomba muwe mnatoa updates za hii kesi naona ina wadau wengi kuliko wale waliokuwa wanafatilia sakata la Lowassa
 
utajua mwenyewe na kingereza chako cha kwalaghai mademu wa jf, kwamba uonekane msomi sana kumbe fongoso tu!

Hahahahaha hapa kushanuka Android Vs Nyani Ngabu kwamba kiinglish nacho kimekua tatizo hahaha
 
Inawezekana akisikia habari za Tz na akiangalia bunge kupitia youtube akiwa malekani basi anaona kuwa mbunge ni kazi lahisiiiiiiii...
Akajishawishi kuja kuchukua fomu

Jimbo lenyewe Ubungo atii, duh, kweli ana malezi makengeza, anyway kwani hakuwa na influence ya kuepuka kutokuwa na akili mgando
 
Back
Top Bottom