Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

hakuna sheria itakufunga kwa kumwambia mtu hana mtoto.
Vipi mkifika mahakamani na ikawa proved kuwa hana mtoto,
sema kwetu watanzania mwanaume kuambiwa hivyo anaona kuwa kadhalilishwa,lakini ni kawaida,
Mkuu ingekua kasema verbally kwake ni sawa,ila kumchukua na kumweka kwenye mtandao, huoni ni malicious attack, huoni ni kosa hilo?? Umeuliza vizuri ikithibitika hana uzazi hatakua na kesi, je ikithibitika anao,na tatizo liko kwa mkewe??huoni kuwa unaingia kny maisha ya mtu binafsi? Tujifunze kuwa na mipaka
 
Mkuu,ulimbukeni ni mzigo maana hii mitandao wenzetu wanatumia kwa mambo ya msingi ya kuelimishana lkn wabongo tumegeuza ni mahala pa kudhalilishana na kutukanana.
 
Sizonje ndo nani?
Ni bwana mmoja aliyefanikiwa kufika katika nyumba moja,lakini nyumba hiyo inamshangaza sana kwani wenyeji wanatumia madirisha kama milango na milango ingalipo..

Wenyeji hao hawatumii mashimo ya taka kutupa taka zao na wala haijapata kueleweka taka wanatupa wapi..

Nyumba hiyo inaonesha kumstaajabisha sana sizonje..

Bila kusahau,ujio wa sizonje katika nyumba hiyo haukutarajiwa si tu na wenyeji wa nyumba hiyo,bali hata yeye hakutegemea kufika katika nyumba hiyo..

Usipoelewa hapo sitokuwa na msaada mwingine kwako..
 
Angekua chadema angeitwa msaliti... Ila CCM wanampuuza
umeona eeh kwa maana CCM kweli wanawatoto huyo mange anasema uwongo tu [emoji2] [emoji2] [emoji2] .

Nyie mlijua sana kumywesha kichaa pombe kipindi cha uchaguzi.

Haya vumilieni sasa
 
Siku zote mwanamke akili zake ni za kwapani kwa mwanaume usiniulize kwanini, full stop
 
yaani ukiona utube jinsi wanavyoonyesha uume wa michele obama unavyotuna kwenye gauni,utashangaa sana,
sijui huyo maama huwa ana uvimbe maeneo hayo ama huwaga anaweka bastola

ha ha ha ha ha .......watu wajinga sana
 
kuachwa kuachwa
kuachwa ni shughuli pevu,
ooh mbaya zaidi yule unayempenda yeye ananenepa wewe unajonda kwa mawazooo ooohhh,

panic ya talaka hiyo hakutegemea na imekuwa sasa anajisahaulisha! alijua atapata hata kigogo amtake amrudishe huku ila kavu anawatolea hasira! maisha binafsi ya mtu yana mhusu nini
 
Hivi Makonda hama mtoto kweli? Maana nakumbuka ndoa yake ilipostiwa hapa kipindi cha nyuma akiwa arusha..
Kama kweli basi Mungu amsaidie ashinde hili jaribu asiwe anatoa povu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…