Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

kuachwa kuachwa
kuachwa ni shughuli pevu,
ooh mbaya zaidi yule unayempenda yeye ananenepa wewe unajonda kwa mawazooo ooohhh,

panic ya talaka hiyo hakutegemea na imekuwa sasa anajisahaulisha! alijua atapata hata kigogo amtake amrudishe huku ila kavu anawatolea hasira! maisha binafsi ya mtu yana mhusu nini
Hii ishu ya mtoto hata wema sepetu walim-attack sana mitandaoni huku tena mpaka wcb wakarekodi clip ya kumdiss waziwazi....mbona hamkutoa povu kama hii ishu ya mange kwa mkuu wa mkoa
 
Aksante Ngabu.
Kama una access na Mange niunganishe nae tuanzishe bifu nami niwe maarufu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hao hapo tayar wamelipa [emoji116] [emoji116]



Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema pamoja na Bilicanas, shirika linazidai taasisi za umma, binafsi na watu binafsi jumla ya Sh. bilioni 15.
Notisi ya siku 60 ya kuondoka Bilicanas pamoja na majengo ya wadaiwa wengine ilishatolewa, Mchechu alisema na kwamba sasa zimesalia wiki tatu.
Alisema baada ya muda huo kumalizika, utekelezaji wa kuondolewa katika majengo hayo utaanza ukiambatana na uchukuaji wa hatua za kisheria.
Mchechu alisema mbali ya Bilicanas, wadaiwa wengine ni Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi inayodaiwa Sh. bilioni mbili, Benki ya Azania (Sh. milioni 161) na Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa (Sh. milioni 631).
Wadaiwa wengine walitajwa kuwa ni Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Sh. bilioni 1.3), Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sh. bilioni mbili), Tume ya Utumishi (Sh. milioni 109) na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Sh. bilioni moja.
Wizara ya ujenzi bilioni mbili???!!!!
 
Kama una access na Mange niunganishe nae tuanzishe bifu nami niwe maarufu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Don't dare,Mange atamfufua mpaka babu yako amsute- kamuonya le mutuz asimforce yeye Mange amuingilie Mzee Malecela
 
Kama una access na Mange niunganishe nae tuanzishe bifu nami niwe maarufu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa kweli nimejua kucheka na hili wazo lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama una access na Mange niunganishe nae tuanzishe bifu nami niwe maarufu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We ingia Insta..anazo kama.,3..mange_kimambi's,siasa _ za_tanzania na mangekimambi_
Sasa kwanza yeye.Hajifichi.Nilishangaa kuona Kajala Kabadilika ghafra Kawa mtamu kama Mcharo...kumbeeeee..Leo nimejua Siri yake.
 
Chilumba alikua anajifanya mchambuzi wa mambo ya siasa anaandika kukosoa na kurekebisha wanasiasaa
Juzi kaingia cha kike kaandika eti polisi na usalama wakamkamate Mange
Weeeeeeeeeeeeee
Leo nkakuta kafuta post zoooote
Anamuiga ben saanane sio?
Ndio kazama cha kike.. Alichambuliwa sidhani kama ana ham na yule dada
 
Wakimkamata waonganishe na kesi ya Mzee Lowasa. Same lady alimtusi na kumkashifu sana ila upande wa pili walikuwa kimya... sasa wakwao kaguswa naona IMEUMAAAAA....
Walikuwa wanafurahi sanaaaa
Ukipitia post za Mange unakuta wamejazana wanafurahiiii usijaribu kuleta mambo ya ukawa watakurukia kama nini. Now ni turn back .. Wanataka Mange akamatwe.. Mkuki mtamu kwa nguruwe tu
 
Hhhh huko insta hakufai hhhhhh....alafu hivi kwa nini lembebezz anapenda kujipendekeza kwa makonda sana hhhhh nafwaazzzz
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa kweli nimejua kucheka na hili wazo lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Idea hatariiiiii
 
muwe mnaangalia na watu wa kuwa follow huko insta
 
Back
Top Bottom