Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
MakondaKwa mungu au binadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MakondaKwa mungu au binadamu
Hii ishu ya mtoto hata wema sepetu walim-attack sana mitandaoni huku tena mpaka wcb wakarekodi clip ya kumdiss waziwazi....mbona hamkutoa povu kama hii ishu ya mange kwa mkuu wa mkoakuachwa kuachwa
kuachwa ni shughuli pevu,
ooh mbaya zaidi yule unayempenda yeye ananenepa wewe unajonda kwa mawazooo ooohhh,
panic ya talaka hiyo hakutegemea na imekuwa sasa anajisahaulisha! alijua atapata hata kigogo amtake amrudishe huku ila kavu anawatolea hasira! maisha binafsi ya mtu yana mhusu nini
Kama una access na Mange niunganishe nae tuanzishe bifu nami niwe maarufu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aksante Ngabu.
Wizara ya ujenzi bilioni mbili???!!!!Hao hapo tayar wamelipa [emoji116] [emoji116]
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema pamoja na Bilicanas, shirika linazidai taasisi za umma, binafsi na watu binafsi jumla ya Sh. bilioni 15.
Notisi ya siku 60 ya kuondoka Bilicanas pamoja na majengo ya wadaiwa wengine ilishatolewa, Mchechu alisema na kwamba sasa zimesalia wiki tatu.
Alisema baada ya muda huo kumalizika, utekelezaji wa kuondolewa katika majengo hayo utaanza ukiambatana na uchukuaji wa hatua za kisheria.
Mchechu alisema mbali ya Bilicanas, wadaiwa wengine ni Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi inayodaiwa Sh. bilioni mbili, Benki ya Azania (Sh. milioni 161) na Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa (Sh. milioni 631).
Wadaiwa wengine walitajwa kuwa ni Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Sh. bilioni 1.3), Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sh. bilioni mbili), Tume ya Utumishi (Sh. milioni 109) na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Sh. bilioni moja.
Stinging attack! You wont believe itMange amshukia Makonda kama mwewe.
Wizara ya ujenzi bilioni mbili???!!!!
Don't dare,Mange atamfufua mpaka babu yako amsute- kamuonya le mutuz asimforce yeye Mange amuingilie Mzee MalecelaKama una access na Mange niunganishe nae tuanzishe bifu nami niwe maarufu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnasumbuka na Malaya !!!
Kama una access na Mange niunganishe nae tuanzishe bifu nami niwe maarufu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We ingia Insta..anazo kama.,3..mange_kimambi's,siasa _ za_tanzania na mangekimambi_Kama una access na Mange niunganishe nae tuanzishe bifu nami niwe maarufu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anamuiga ben saanane sio?Chilumba alikua anajifanya mchambuzi wa mambo ya siasa anaandika kukosoa na kurekebisha wanasiasaa
Juzi kaingia cha kike kaandika eti polisi na usalama wakamkamate Mange
Weeeeeeeeeeeeee
Leo nkakuta kafuta post zoooote
Wamzushie gaidi wapeleke na tu klip twa mapangoni amboni tanga
Walikuwa wanafurahi sanaaaaWakimkamata waonganishe na kesi ya Mzee Lowasa. Same lady alimtusi na kumkashifu sana ila upande wa pili walikuwa kimya... sasa wakwao kaguswa naona IMEUMAAAAA....
kwahiyo unadhan USA wanaipenda serikali yetu ? kwa lipi
mmhh! siku zake tena!??? siku zipi izo? menstrual period au.mange siku zake zinahesabika
Kumbe hata Ben amewahi kupewa za usooo?Anamuiga ben saanane sio?
Ndio kazama cha kike.. Alichambuliwa sidhani kama ana ham na yule dada
Idea hatariiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa kweli nimejua kucheka na hili wazo lako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Dada ni hataree.Don't dare,Mange atamfufua mpaka babu yako amsute- kamuonya le mutuz asimforce yeye Mange amuingilie Mzee Malecela