Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
Yule manzi serikali haina kosa tena maana ishafungia APP yake mpaka uwe na VPN.... ila ndo hivyo wadau wa kupenda udaku na zile ponoo wanalipaa mahelaaa tuuu...!! yule manzi ikipita mwaka na ile app kama hajafikisha mil 200 cash aisee kuna mkono wa mtuu...
She is bitter mnoo Hilo lipo trauma ya baba ake haijaisha na haitaisha ,Sasa yeye mpk leo Hana rafiki wa kudumu bado inamtesa Ile kitu na hao walomfanyia baba ake Ile kitu siku akiwajua atawadhalilisha mnooo na I think ndo lengo lake na alishawahi tamka mda kidogo,hiki anachofanya I think yeye ndo anapata ahueni kidoogo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo nimechekaa mnooo. Ila Mange lazima ana tatizo nafsini kwake. Daaah yuko bitter mno lol
Mkuu Tuji, TUJITEGEMEE , kwanza asante kukumbushia kuhusu karma, pili mimi Pascal Mayalla ni verified name humu, ni mtu mkweli daima!. Maana ukisema "Pascal Mayalla hakutudanganya katika hili" it's as if Pascal Mayalla anaweza kuwa aliwahi kudanganya humu katika mengine ila kwenye hili la karma ndio hakudanganyaAujue kuna Karma! Pascal Mayalla hakutudanganya katika hili.
Hahahaha umenichekesha sana Raia wa Marekani anayetumia Passport ya Tanzania,Yule ni Raia wa Marekani mjue
Aahh.. Sina hela ya mchezo 😃Kalipie app uone😄
Unaelewa maana ya privacy wewe ?Yes ni kosa lakini you have to prove damage uliyopata na kama kweli hizo picha ni mali yako (registered with US copyright office) sura yako pekee haitoshi kukufanya uwe mmiliki halali wa hizo picha, US kuna leak nyingi sana za picha za watu maarufu lakini hujawahi kusikia mtu kashtaki kwa sababu vipicha vingi kama hivyo kwenye cellphone hakuna mtu mwenye copyright, kama unakumbuka Kim Kardashian porn video yake ilikuwa leaked lakini hakuna kitu alifanya zaidi ya kulia lia tuu maana alikuwa hana copyright na ile video, yes kama una hati miliki ya video zako za porno na mchepuko wako unaweza kushtaki lakini sijui utamwambia nini mkeo kuhusu hiyo hati miliki
Una kichaa wewe hebu soma hapaYes ni kosa lakini you have to prove damage uliyopata na kama kweli hizo picha ni mali yako (registered with US copyright office) sura yako pekee haitoshi kukufanya uwe mmiliki halali wa hizo picha, US kuna leak nyingi sana za picha za watu maarufu lakini hujawahi kusikia mtu kashtaki kwa sababu vipicha vingi kama hivyo kwenye cellphone hakuna mtu mwenye copyright, kama unakumbuka Kim Kardashian porn video yake ilikuwa leaked lakini hakuna kitu alifanya zaidi ya kulia lia tuu maana alikuwa hana copyright na ile video, yes kama una hati miliki ya video zako za porno na mchepuko wako unaweza kushtaki lakini sijui utamwambia nini mkeo kuhusu hiyo hati miliki
Unawaza ile lodge yako?Bulb za camera tena jaman [emoji849] hatari.
Video ya Kim aliitoa mwenyewe kwa msaada wa mama ake na idea ilitoka kwa Ray,Yes ni kosa lakini you have to prove damage uliyopata na kama kweli hizo picha ni mali yako (registered with US copyright office) sura yako pekee haitoshi kukufanya uwe mmiliki halali wa hizo picha, US kuna leak nyingi sana za picha za watu maarufu lakini hujawahi kusikia mtu kashtaki kwa sababu vipicha vingi kama hivyo kwenye cellphone hakuna mtu mwenye copyright, kama unakumbuka Kim Kardashian porn video yake ilikuwa leaked lakini hakuna kitu alifanya zaidi ya kulia lia tuu maana alikuwa hana copyright na ile video, yes kama una hati miliki ya video zako za porno na mchepuko wako unaweza kushtaki lakini sijui utamwambia nini mkeo kuhusu hiyo hati miliki
Yaani nimemshangaa sana, sijui wengine hua wanawaza kwa kutumia nini walai,Una kichaa wewe hebu soma hapa
What you can do if someone posts an explicit image of you online | CNN
Once it exists, it's all too easy for someone to send or post a sexually explicit image of you without consent. Here's what can you do if this happens to you.www.google.com
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huyo Kigagula siyo raia wa Marekani, Simbachawene kampa passport juzijuzi tu alipokuwa Home affairs.Yule ni Raia wa Marekani mjue
Serikali haijaamua tu, kumrudisha inawezekana aje a face kesi zake huku
Wanajidhalilisha wenyewe acha ujinga wako. Watu wenyewe ni wa hovyo tu, mambo ya hovyo dawa yao ni ku expose tuNauliza huyu Mwanamama anayeitwa Mange Kimambi ameshindwa kabisa kudhibitiwa kwa Tabia zake za Kutukana, Kudhalilisha, Kuumiza na hata Kuharibu Maisha ya Watu??
Tangu aanze haya Mambo ya Kutukana Watu ni Zamani sana kuanzia kwenye Blog yake, akaenda Instagram akaitukana sana Serikali iliyokuwepo Madarakani na sasa kahamia kwenye App akiendeleza yale yale,
Huko kwenye App nasikia ameweka Kipengele maalum kabisa cha kuweka Videos za Kudhalilisha Watu, Serikali ya awamu ya Sita imefungia sites zote za Porn ajabu kwenye App ya Mange kuna Videos za aina hizo.
Watu Wamelia, Wameharibu Heshima, Wameharibu Kazi, Wamekosa Kutokujiamini tena mbele ya Jamii, Wamepata Misongo ya Mawazo, Wengine hadi Jela wameenda,
Je Serikali imemshindwa? Au inaona ni sawa anayoyafanya? Hakuna Wanasheria wa kuliweka hili suala lake kisheria??
Binafsi nasikitishwa sana nionapo Mtu anadhalilishwa kwa faragha zake, inafika muda hata Mke na Mume ndani tutaanza kutokuaminiana, Mtu aweza akavujisha videos kwa Mange ili apatiwe Pesa,
Mange ni sikio la Kufa hata akisemwa vipi ni kama ameshakubali liwalo na liwe as long as Pesa inaingia ndio maana nauliza hakuna jinsi ya kumshtaki kisheria hiyo tabia yake ikomeshwe?
Watanyanduwana vipi kwa machale wakati wanachojari wao ni pesa tu?Watu wawe makini na kurudi kwenye mstari na kunyanduana kwa machale [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho, burden ipo kwako to prove umekuwa violated, ni umiliki na sio sura au matako yako, kama huna ownership huna kesi usipoteze muda wakoVideo ya Kim aliitoa mwenyewe kwa msaada wa mama ake na idea ilitoka kwa Ray,
Yaani the Three of them walikubaliana waiuze na ndio mwanzo wa mafanikio yao japo kuna Mzozo kwa Ray coz iligeuka kinyume na matarajio yao,
Video hata kama ikisambaa lazima iangaliwe wapi ilipotokea hadi ikasambaa na huyo ndie anafaa awajibishwe unazungumzia Copy Right wakati kuna Sura yangu je huyo aliyeisambaza kaipata wapi Copy Right ya kusambaza video/picha zinazonihusu.
Unatambaa tu [emoji1] uzi huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, uwiiiiih
Leo nacheka km chizi.
Hivi kama serikali imeweza kufungia app isionekane mpaka vpn, serikali hiyo hiyo imeshindwaje kudhibiti wananchi wasiweze kulipia hiyo app? Kwa misingi ya kudhibiti mfumo wa malipoKalipie app uone😄
Unataka privacy kwa kitu ambacho huna ownership nacho, hivyo vipicha vyako kwenye cellphone mtu yeyote akivipata anaweza kuviweka online na hakuna chochote unaweza kufanya, lipia Getty images kama unataka privacy
Serikali haijaamua, wazembeHivi kama serikali imeweza kufungia app isionekane mpaka vpn, serikali hiyo hiyo imeshindwaje kudhibiti wananchi wasiweze kulipia hiyo app? Kwa misingi ya kudhibiti mfumo wa malipo