Sawa atarudi SiJakataa Ila yajayo yanafurahisha.Atarudi kwa kua sio Mara ya kwanza kupigwa ban ,Yuko US anaenda insta anaongea nao tofautisha na siye wa huku manzese sisi kwa sisi
Mimi msimamo wangu ni kukataa unafiki. Nasema sisi hatuna maadili yoyote na siku hizi zinaa imekuwa kama moja ya sifa kubwa. Wanamuziki kama kina Diamond wanapewa sifa na kuripotiwa kama wame-invert jambo kubwa sana kwa nchi yetu just kwa uwezo wao wa kubadilisha wanawake. Zamani wanawake wanabadilisha wanaume bila mpangilio tuliokuwa tunawaita makahaba na kwenye jamii walidharaulika lakini siku hizi tunawaita ma-celebrities na wana wafuasi luluki kwenye mitandao. Kwa kifupi kumsakama Mange ni kama kulaumu tulikoangukia badala ya kulaumu tulikojikwaa. Nchi imejaa wanawake makahaba wenye wafuasi kibao halafu wewe unasema Mange ndiyo anaharibu jamii wakati yeye anaonyesha tu kile kilichopo kwenye jamii?Anategemea wateja sababu zile clip ananunua. Dawa ya mtu anayeharibu maadili ni kumdhibiti na wakati huo huo kuthibiti maadili ya jamii. Huwezi kuacha mambo yaende hovyo tu eti sababu kuna shida kwenye jamii na itajirekebisha yenyewe! Hatujafika huko sie sio marekani alipo yeye! Na maoni yangu kwenye huu uzi yanalenga watoto sio watu wenye akili zao na uwezo wa kuanua watakacho:
Naomba best unitumie ingia dm yangu please nitashukuru sanaNakosaje sasa mie?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa Kagame wangemmaliza...Huyo ni TZ Citizen, hana protections under US laws, plus she's doing all her stupid, evil sh.it simply for profit, knowing she's unapproachable nd beyond the reach of TZ law given the fact she's based in the US.
Atajua yeye mwenyewe kwa Sasa ngoja tuendelee kuchek movieSawa atarudi SiJakataa Ila yajayo yanafurahisha.
Kuna mstari ukiuvuka watu wanalala mbele na wewe
Ni zaidi ya mil.200 imagine watu zaidi ya milioni 2 wamelipa izo elfu elfu ukizidisha hapo kwa mwezi ni sh.ngap? Ni balaaYule manzi serikali haina kosa tena maana ishafungia APP yake mpaka uwe na VPN.... ila ndo hivyo wadau wa kupenda udaku na zile ponoo wanalipaa mahelaaa tuuu...!! yule manzi ikipita mwaka na ile app kama hajafikisha mil 200 cash aisee kuna mkono wa mtuu...
Sahihi kabisaa wanafanya umalaya afu wanamsingizia mange kwa ukahaba wao,wanasababisha wadogo zetu wajione wamefeli maisha kumbe umalaya umehalalishwa wanamuonea tu mangeMimi msimamo wangu ni kukataa unafiki. Nasema sisi hatuna maadili yoyote na siku hizi zinaa imekuwa kama moja ya sifa kubwa. Wanamuziki kama kina Diamond wanapewa sifa na kuripotiwa kama wame-invert jambo kubwa sana kwa nchi yetu just kwa uwezo wao wa kubadilisha wanawake. Zamani wanawake wanabadilisha wanaume bila mpangilio tuliokuwa tunawaita makahaba na kwenye jamii walidharaulika lakini siku hizi tunawaita ma-celebrities na wana wafuasi luluki kwenye mitandao. Kwa kifupi kumsakama Mange ni kama kulaumu tulikoangukia badala ya kulaumu tulikojikwaa. Nchi imejaa wanawake makahaba wenye wafuasi kibao halafu wewe unasema Mange ndiyo anaharibu jamii wakati yeye anaonyesha tu kile kilichopo kwenye jamii?
Hivi why hutaki ntumia weye mtoto wa kingoni?Nakosaje sasa mie?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]doooohhh!!!wamemfungia moja kwa mojaa...tutapata Wapi umbea siyeeee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]APP enyewe inagoma ku log in, hata ukitumia VPN.
Wapenda umbea na ubuyu, tuna msiba wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtuachie bhana watu tuburudike lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado kirungu kingine kinakuja soon mtafurahi
Bora ifunguliwe lol.Itafunguliwa tu we utaona tuu
Ujanja wote huu hapa JF kumbe huna cycle ya connection mjini lolNaomba best unitumie ingia dm yangu please nitashukuru sana
Ipi si unazo zote au?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi why hutaki ntumia weye mtoto wa kingoni?
Yaan hadi nimechoka hapa mie, haha[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]doooohhh!!!wamemfungia moja kwa mojaa...tutapata Wapi umbea siyeeee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]
Maana yake wewe ulikuwa wafurahia alichokuwa akifanya?Kwa hali hii, sidhani kama tutarudi uchumi wa kati [emoji24][emoji24][emoji41]
Ahsante sana kaka.Achana hao watu walioingia kwenye mtandao juzi juzi. Hiyo ''ze utamu'' wala haikuwa lolote zaidi ya mtu aliyekuwa na blog lake anaandika matusi tu. Tatizo ilikuwa enzi hizo watu walikuwa hawajajua mtandao na uwazi. Kwa Kikwete wali-edit picha na kumfanya Kikwete aonekane kama mwanamke, hakukuwa na zaidi.
Anaandika Macho Mdiliko;Ni nan huyo ze
Utamu