Hata wewe utakua NA low IQ ? kwani unapataje taarifa zake kama sio kwenye mitandao? Unazingua sana mkuu!
Huyu binti anawaweka vijana bize ktk mitandao ya kijamii wanashindwa hata kufanya kazi na ninachosikitika hata magazeti yetu nayo yanamchukulia kama chanzo cha habari. Asilimia kubwa wanaomfuatilia huyu binti wengi wao wavivu wa kufikiri, hawapendi kujishughulisha kutwa kusubiri leo atapost nini,wengi wao ni low IQ. Haiwezakani kila kitu anajua yy siasa, uchumi mpaka maisha binafsi ya familia za watu yaani kwa kifupi chuki zimemjaa moyoni mpaka mungu anashindwa kumbariki na ashukuru ameolewa na mzungu lkn kama angeolewa na mbongo sasa angekuwa tayari kilema, kwa kauli zake mbovu. Ila ninachosikitika zaidi mdogo wangu ni mmoja wa wafuasi wake, yaani amekuwa mvivu, mmbeya kwa kifupi hana mda wa kuyatafakari maisha yake, yy kila sawa na simu mpaka najuta kumnunulia simu, kila mara yupo instagram kwa huyo mange, sasa sijui labda anatoaga ela au huo uzushi wake ndio anaupenda.Nitasikitika zaidi kama Kuna watoto wa kiume nao wanamfuatilia huyu binti, basi nitakuwa na wasi wasi na ulijali wao.
Mbona povu vipi? imekuchoma Habari ndiyo hiyo boss wenu Mange kafulia atakufa kwa roho mbaya nyumbu wee!Kwendaaaa we unalipi jipya zaidi ya kuuza tigo huko uwanja wa fisi ,shubamitiiiiiii
Mbona alishaachana na mzungu siku nyingiHuyu binti anawaweka vijana bize ktk mitandao ya kijamii wanashindwa hata kufanya kazi na ninachosikitika hata magazeti yetu nayo yanamchukulia kama chanzo cha habari. Asilimia kubwa wanaomfuatilia huyu binti wengi wao wavivu wa kufikiri, hawapendi kujishughulisha kutwa kusubiri leo atapost nini,wengi wao ni low IQ. Haiwezakani kila kitu anajua yy siasa, uchumi mpaka maisha binafsi ya familia za watu yaani kwa kifupi chuki zimemjaa moyoni mpaka mungu anashindwa kumbariki na ashukuru ameolewa na mzungu lkn kama angeolewa na mbongo sasa angekuwa tayari kilema, kwa kauli zake mbovu. Ila ninachosikitika zaidi mdogo wangu ni mmoja wa wafuasi wake, yaani amekuwa mvivu, mmbeya kwa kifupi hana mda wa kuyatafakari maisha yake, yy kila sawa na simu mpaka najuta kumnunulia simu, kila mara yupo instagram kwa huyo mange, sasa sijui labda anatoaga ela au huo uzushi wake ndio anaupenda.Nitasikitika zaidi kama Kuna watoto wa kiume nao wanamfuatilia huyu binti, basi nitakuwa na wasi wasi na ulijali wao.
Wewe unakula tu dimond karanga!!!!!Ukisoma hii habari ya Mange hata kama wewe si daktari na hujawai sikia kuhusu matatizo ya akili lazima ukubali kuwa hakuna sababu ya huyu kupimwa akili
Isitoshe hapo diamond anaingiza ela nzuri tu kwa kuzitangaza.Alafu wao wamekaa kumsema huku yeye anatengeneza pesa.Sishangai dogo kuwa na mafanikio aliyonayo sasa.Hizo karanga mbona zinajieleza zenyewe kuwa ni za kampuni ya smart, nashaanga wabongo mnavyomuita diamond muuza karanga wakat yeye ni advertiser tu
Haya maneno anaandika MWANAUME au??
Baba yake mange Kimambi, Marehemu Jumanne Abdala Kimambi, mjasiriamali Contractor wa ujenzi, alikuwa na hulka ya kupenda warembo, Akiwa katika shughuli zake za Ujenzi wa Veta Kigoma akapenda mrembo wa kirundi mke wa mtu na huku akijiweka urafiki na mume wa huyo mwanamke, Hatimaye kwa kutumia fedha zake akatembea na huyo mke wa rafiki yake, kilichomkuta kigoma ni uharo na kugegedwa na kuchukuliwa video ilyompelekea kujipiga risasi mbezi afrikana. Maana wanaume walimsuuza jando. Mwanae anatukana watu wengi bila kujua ni Spirit of his fore fathers inamuandama.Mookiesbad98 mkuu ebu finguka...ilikuwaje?
Hiyo smart inamilikiwa na nani sasaHizo karanga mbona zinajieleza zenyewe kuwa ni za kampuni ya smart, nashaanga wabongo mnavyomuita diamond muuza karanga wakat yeye ni advertiser tu