Mange kimambi amlipua tena Diamond shutuma za kudhulumu gari

Mange kimambi amlipua tena Diamond shutuma za kudhulumu gari

Huyu binti anawaweka vijana bize ktk mitandao ya kijamii wanashindwa hata kufanya kazi na ninachosikitika hata magazeti yetu nayo yanamchukulia kama chanzo cha habari. Asilimia kubwa wanaomfuatilia huyu binti wengi wao wavivu wa kufikiri, hawapendi kujishughulisha kutwa kusubiri leo atapost nini,wengi wao ni low IQ. Haiwezakani kila kitu anajua yy siasa, uchumi mpaka maisha binafsi ya familia za watu yaani kwa kifupi chuki zimemjaa moyoni mpaka mungu anashindwa kumbariki na ashukuru ameolewa na mzungu lkn kama angeolewa na mbongo sasa angekuwa tayari kilema, kwa kauli zake mbovu. Ila ninachosikitika zaidi mdogo wangu ni mmoja wa wafuasi wake, yaani amekuwa mvivu, mmbeya kwa kifupi hana mda wa kuyatafakari maisha yake, yy kila sawa na simu mpaka najuta kumnunulia simu, kila mara yupo instagram kwa huyo mange, sasa sijui labda anatoaga ela au huo uzushi wake ndio anaupenda.Nitasikitika zaidi kama Kuna watoto wa kiume nao wakiwa wanaomfuatilia huyu binti, nitakuwa na wasi wasi ulijali wao.
Kapimwe mkojo tu hakuna namna

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Wanadai toka Kiba kampitia huyu mcharuko yuko upande wa Kiba, mcharuko na Diamond haziivi kabisa, maishani sijawahi ona binti anayependa malumbano na watu kama huyu, hasa wanaume, ni kama chakula au sababu ya yeye kuishi duniani..Shidaaa..
Rumour has it walimshare Diamond na Wena kustiri aibu ilibidi dada anwachie mdogo wake bwana na ndiyo sababu kubwa ya kumchukua Zari
 
Mnaomlaumu mange jitazameni, mwenzenu yupo kazini na analipwa Kwa kile anachokifanya

Acheni unafki humu mnamponda insta mnaofollow,

Aliwahi nitangazia bidhaa yangu mpaka demand ikazidi supply

Sasa endeleeni kumdis mwenzenu maisha yanasonga

invest what you are willing to loose
 
Mnaomlaumu mange jitazameni, mwenzenu yupo kazini na analipwa Kwa kile anachokifanya

Acheni unafki humu mnamponda insta mnaofollow,

Aliwahi nitangazia bidhaa yangu mpaka demand ikazidi supply

Sasa endeleeni kumdis mwenzenu maisha yanasonga

invest what you are willing to loose
Kama wahenga walivyosema, adui yako sio adui wangu...
 
Wanadai toka Kiba kampitia huyu mcharuko yuko upande wa Kiba, mcharuko na Diamond haziivi kabisa, maishani sijawahi ona binti anayependa malumbano na watu kama huyu, hasa wanaume, ni kama chakula au sababu ya yeye kuishi duniani..Shidaaa..
Long live mange pambeee tyuuuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaomlaumu mange jitazameni, mwenzenu yupo kazini na analipwa Kwa kile anachokifanya

Acheni unafki humu mnamponda insta mnaofollow,

Aliwahi nitangazia bidhaa yangu mpaka demand ikazidi supply

Sasa endeleeni kumdis mwenzenu maisha yanasonga

invest what you are willing to loose
Haki jane nimekupendaaa buree nawashangaa kuna vijitu humu vinafki lakini asilimia 99% ya wanachokifollow instagram ni mange


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hii ndo mondi anapenda,muongee kuhusu yeye tu na atazid kutsjirika na kua juu mamayeee,Toto la tandale utafikiri limesomea saikolojia
 
Yan mange yule huo muda anaochamba angetafuta tu kazi ya kufanya. Mwanamke muda wote mtandaoni anasema watu. Google yenyewe kuna wakati inakosa majibu sembuse mange.
Ni mpumbavu wa kutupwa
 
5. Suala la ushoga na usagaji...ilikuwa huna hata ujasiri wa kutamka maneno hayo lakini now ni kitu cha kawaida, tumekubaliana na hali na hatuoni tatizo tena tuna msemo sikuhizi "kila mtu apambane na hisia zake"!! .
 
Alivyopauka vile hizo hela angeenda kununua mafuta ya korie apake,kakondeana maskini hadi huruma,sura imempalama utadhan ana utapiamlo
Mnaomlaumu mange jitazameni, mwenzenu yupo kazini na analipwa Kwa kile anachokifanya

Acheni unafki humu mnamponda insta mnaofollow,

Aliwahi nitangazia bidhaa yangu mpaka demand ikazidi supply

Sasa endeleeni kumdis mwenzenu maisha yanasonga

invest what you are willing to loose
 
Hivi mtu hawezi kuweka pesa zake kwenye kitu ambacho kilibuma kabla na kukinyanyua? Mmmh gari tena eeeeh katafuta vs mtu aliyefariki na akaikalia kimya miaka yote. Mmmmh!!!!
 
Huyu binti anawaweka vijana bize ktk mitandao ya kijamii wanashindwa hata kufanya kazi na ninachosikitika hata magazeti yetu nayo yanamchukulia kama chanzo cha habari. Asilimia kubwa wanaomfuatilia huyu binti wengi wao wavivu wa kufikiri, hawapendi kujishughulisha kutwa kusubiri leo atapost nini,wengi wao ni low IQ. Haiwezakani kila kitu anajua yy siasa, uchumi mpaka maisha binafsi ya familia za watu yaani kwa kifupi chuki zimemjaa moyoni mpaka mungu anashindwa kumbariki na ashukuru ameolewa na mzungu lkn kama angeolewa na mbongo sasa angekuwa tayari kilema, kwa kauli zake mbovu. Ila ninachosikitika zaidi mdogo wangu ni mmoja wa wafuasi wake, yaani amekuwa mvivu, mmbeya kwa kifupi hana mda wa kuyatafakari maisha yake, yy kila sawa na simu mpaka najuta kumnunulia simu, kila mara yupo instagram kwa huyo mange, sasa sijui labda anatoaga ela au huo uzushi wake ndio anaupenda.Nitasikitika zaidi kama Kuna watoto wa kiume nao wanamfuatilia huyu binti, basi nitakuwa na wasi wasi na ulijali wao.
Kuna watu hawamfahamu kabisa Mange, ila kama umeweza kumfahamu na ukajua watu wanamfuatilia hii inamaanisha hata wewe unamfuatilia kimyakimya, hivyo unaweza ukawa ni mmoja wa wenye hizo IQ ulizoziainisha.
1444ffdfddc9e0bbc94077d973da08ae.jpg

Malkia wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania mange kimambi amemjia juu diamond platnumz juu ya kumdhulumu mjane malipo ya gari alonunua
Kumbe diamond karanga sio za dai wala perfume sio zake heheee yeye kapiga tangazo tu
Amshutumu pia kwa kukataa watoto
Alichokiandika mange hiki hapa;----

Huyo mkataaa watoto hizo karanga hazimuhusuuuuu kabisaaaaaaa!!!! Yani ni Sawa na anavyofanyaga matangazo ya Vodacom alafu mmeseme vodacom ya kwake.... Hizo karanga za long time kishenziii tena zilikuwa zinauzwa tshs 200, kapewa matangazo basi... Hata perfume pia haimuhusuuuuu, keshapewa chake ila perfume ni ya Kusaga ndo anaepiga hela.....Nawashangaaga sana mnavyomuharakisha Kiba atoe bidhaa zake, ni bora atulie atoe kitu ambacho ni chake sio kunufaisha watu wengine abaki anajigamba kwa bidhaa ambazo hana hata shea kidunchu..
.
.
Sio kama namchukia ila ukweli ndo huo.....
.
.
Na nimetafutwa na ndugu zake mjane wa Seki yule alikuwa bwanake Lulu akafariki ghafla baada ya kuuwawa na majini ya Lulu, Jamani nataniaaaaaa [emoji85], wanadai kwamba mkataa watoto kamdhulumu mke wa Seck hiyo X6. Marehemu Seck alimuuzia mkataa watoto hiyo x6 kwenye birthday yake ya 2014 akawa kalipa pesa kidogo mnoooo sasa bahati mbaya Seki akafa ndo mkataa watoto nae kajikausha na deni la marehemu na X6 anaitimba tu, mke wa Seki kamdai hadi kachoka kabaki analia. Embu mwambieni amuoneee huruma mjane wa watu jamani, ajifikirie yeye afe leo alafu Zari na Hamisa wadhulumiwe huku wana watoto wadogo angejisikiaje huko kaburini??? Kweli angeresti in pisi??


Nb:Haki mpare unanifurahishaga hehee nakupenda mpaka usipopost mie presha ipo 360

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom