Mange Kimambi ampigia kura Daimond


wanaotukana kule matusi makubwa ni watu wa diamond.
 
Wewe ungeuliza sababu za davido kupigiwa kura ili mzifanyie kazi badala ya kuanza kuita watu majina. Always u should Go beyond what u observe...never take things for granted. By the way unafiki ni surname yangu.

ebu tupe hayo yanayofanya davido apigiwe kura na watz na kumwacha diamond mkuu nahisi nipo nyuma kwa hili.
 
Uwiiiiii mbona yeye hakuwa mzalendo kwa kumuacha Mtz na kuchukua Muganda! Chinekeee nampigia tu davido Wacha niendelee kuwa mburula
 
Wewe ungeuliza sababu za davido kupigiwa kura ili mzifanyie kazi badala ya kuanza kuita watu majina. Always u should Go beyond what u observe...never take things for granted. By the way unafiki ni surname yangu.
Kwangu mimi hata mkimpigia kura wala hainisumbui isipokuwa najisikia aibu pale Davido anapowawekea bendera ya nchi yenu kisha watu kama wehu wanaanza kushangilia kumbe mwenye akili timamu anafahamu kabisa kwamba alichofanya Davido ni kuwang'ong'a!
 
huyu dogo kama sikosei alisema hataki tena tuzo maana kabati lake la tuzo limeshajaa... mambo mengine unafanya asubihi jioni unajuta... akikaa kimya itamsaidia si kila kitu lazima ujibu

Weka kithibitisho sio unapokea tu story za vijiweni nawewe unaamini kama poyoyo bila kufikiria...kama ni ile caption ya instagram ilikuwa fake id,zipo nyingi tuu izo,hata team mondi nao pia walishatengenezaga fake id ya KTMA na kupost kuomba msamaha walifanya makosa kwenye tunzo ya mtumbuizaji bora...mara moja moja tujitahidi kutafakari kwa kutumia ubongo,maana kila siku tunatumia maka..lio
 
Hv wema ka date na wangapi before diamond wabongo bwana tunapenda kukurupuka sana oooh mala diamond hajatulia mala anasifa hv huyo madam wenu kwann hamshauri aache upaka shume wangapi wamekula tunda lake au mtasema alikuwa bado anatafuta so kwa mondi mtasema alipata alipo kuwa anatafuta? "uliyo yafanya jana ndio yataijenga leo" shame on you, guys lets vote for our Tanzanian international icon.
 
Uwiiiiii mbona yeye hakuwa mzalendo kwa kumuacha Mtz na kuchukua Muganda! Chinekeee nampigia tu davido Wacha niendelee kuwa mburula
Bundle ikikuishia kuna kioski pale Posta Mpya kinatoa Free Bundle kwa wale wote wanaotaka kumpigia Davido!
 
Usijisumbue kuuliza Wema ame-date na wangapi! Anza kwanza kuwauliza hao hao wenyewe unakuta binti ana miaka 21 lakini keshagongwa na wanaume zaidi ya watano na ameanza kugongwa tangu akiwa form ii yaani wakati akiwa under age.
 
Vote for diamond
Kwa kawaida mie sio mfuasi wa mambo ya kura lakini kwa ajili ya kushindana na roho chafu za kishetani ambazo ndiyo tafsiri sahihi ya chuki nimekata shauri la kuingia msituni kushindana na pepo wachafu.
 
kwani ujapata mwanaume,mbona Mwamvita Ana mzungu,Lucy Komba anamzungu,Irene yeye kaolewa na Ndikumana,lakini sisi mwanaume tunaona kawaida tu
Mi nnae ila kwanini diamond akachukue mganda na atuache sisi watanzania sikubaliani na hili mie ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…