Mnaobadilisha mawazo na mnaendelea kushabikia nchi yetu kupeperushwa link hii hapa piga kura mara nyingi inaruhusiwa
http://mama.mtv.com/voting/
Naomba maelezo ya ziada kidogo kama umejisajili kwa kutumia email, ukishapiga Kura yanakuja maelezo ya kukutaka u-share kwenye facebook au twiter, je ili kura yako ikubaliwe ni lazima ufanye hivyo(share) au ukisha piga tu kura imehesabiwa?
Nahofia nisipoteze kura yangu.....