Mange Kimambi ampigia kura Daimond

Mange Kimambi ampigia kura Daimond

ajabu kweli yani., kumbe hii dunia bado ina watu kama wewe!!

hivi hujui kumbe?? it is only in Tanzania where i still find people like u still believing in the uniformity of human behavior. You just have to reset your brain coz we are in the 21st century where personal freedom is the deal of the day.
 
Kwakweli hata mi ni mtz naumia, ushavote lakini? Diamond platnum
sana tu,ndo ka ikon tulikonako,kenyewe kamoja tu,we unazani akirudiana na sepetunga kuna cha timu mchangani apa? utasikia tu,WITH MA BAE Via white house,nikikukosha mama usisahau kugonga like,make ninato tuchache
 

Attachments

  • 1435075994997.jpg
    1435075994997.jpg
    30.5 KB · Views: 100
sana tu,ndo ka ikon tulikonako,kenyewe kamoja tu,we unazani akirudiana na sepetunga kuna cha timu mchangani apa? utasikia tu,WITH MA BAE Via white house,nikikukosha mama usisahau kugonga like,make ninato tuchache
White hause akafate nini alichokisahau aishie zake
 
Hivi hawa wanaume wa tz wana mpango gani na mioyo yetu? Eeh am asking these men of tz have which plan with our hearts???

Hahaha....kwakweli...tutakomaa...tuongeze mahaba sijui tufanyeje...but tupunguze ufake lol.....hips mchina..kope..nywele..kucha ndeeefu mpk kuchamba shidaaa...lol
 
hatukutoi ng'oooo haya ni malalamiko yetu wote wanawake wa tz ha ha ha
vote vote vote diamond

Teh Teh na sisi wanaume wa Uganda tumekerwa na kitendo cha Diamond kumchukua mwanamke wetu bado tunajiuliza kwani huko Tanzania hakuna wanawake! Sasa hasira zetu ............😃😃😃
 
Back
Top Bottom