Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Sure kabisa mkuu the late mzee kimambi alifariki 2004 Cyprian yeye anasema ni 2009 yani unaitisha press kuongea vitu usivyovifahamu
yule Jamaa ni empty set ...wasted sperm sio wakumsikiliza
 
Nakumbuka uliletwa uzi hapa jukwaani kuwa Mange ana wakati mgumu kuhusu mdogo wake wa kiume kupiga picha na RC. Watu wakadai amezoea kuchamba wengine sasa mbona amekaa kimya hasemi chochote kuhusu mdogo wake. Ameamua kuandika watu wanamgeuka tena wanasema IQ yake ni ndogo. Mimi nabaki "kuhemwa" tu.
hao ndio watanzania...na harakati zao za kutuaminisha kuwa nyekundu ni njano""
 
A letter to my brother Anil

Since baba amefariki in 2004 I have tried to be the best sister I can be. Siku zote nimewaweka nyinyi mbele yangu mimi. .
.
Nimejaribu kufikiria kama you thought everything through kabla hukwenda kwa Bashite. Remember nyumba mnayoishi 25% ya hiyo nyumba ni yangu. Kumbuka hoteli inayowapa kula 25% ni yangu. Na sio yangu kwa maneno ila kwa judgement ya mahakama kuu. Judgement imetoka since 2006 na mpaka leo mimi naishi nje ya nchi na sijawasumbua muuze chochote mnipe changu.
.
.
Since 2004 baba alivyofariki sijawahi kudai wala kupokea hata shingi 10 ya mapato ya hotelini sababu niliwaza nyinyi mnahitaji hizo pesa more than me. Nilitaka msimmiss sana baba sababu aliwaacha nyinyi wadogo sana. Nikaona nibusara niwaachie na share yangu ya hotel. For 14 years hamjawahi kunipa hata sumni. That’s how much I love you. Nahangaika kivyangu marekani ila hata siku moja sijawahi kuwaambia naomba muanze kunipa share yangu ya hoteli. Leo hii nikisema niwadai share yangu ya mapato ya hotel since 2004 mtakuwa na hali gani?? Au nikisema uzeni nyumba mnilipe changu mtaenda kuishi wapi? Na mmezoea kuishi kwenye mansion? Mnadhani sihitaji hizo pesa zangu ? Nazihitaji ili na kimi ninunue japo apartment hapa marekani. Sitaki kuharibu undugu sababu ya mali. Ila wewe umekubali undugu kuharibu wetu?? 3 months ago kimya kimya mmeuza ile sehemu ya kuchimba kokoto pale Tegeta kwa milioni 400 hamjanipa hata senti moja, hata kuniambia kama mmeuza hamjaniambia. Nafanya kuhadisiwa na mliowauzia. Na hata kuwauliza sijawauliza sababu nalinda undugu. Na nnalinda undugu sababu hakuna kitu baba alikuwa ananisihi kukifanya kama kuhakikisha hatufarakani. Kila siku aliniambia Wewe ndio mkubwa, wewe ukiwapenda wadogo zako hamtokaa kutengana. Wewe ndio wakuwaunganisha hawa. Nimejaribu kufanya hivi ili kumuenzi baba yetu. Nimeona bora nyinyi muishi like kings mimi niishi kawaida. .
.

Mpaka hati zangu za shamba langu la Mbweni nilikubali mkazichue kwa lawyer wangu although jaji alinikabidhi mwenyewe. Kama isingekuwa Mama Tenga kukataa kuwapata bila mimi kuwepo leo mngekuwa nazo.
Mpaka hati zangu za shamba langu la Mbweni nilikubaliana mkazichuenkwa lawywr wangu although jaji alinikabidhi mwenyewe. Kama isingekuwa lawyer kukataa kuwapata bila mimi kuwepo leo mngekuwa nazo. Kesi tumeshinda mahakamani na hata sijawasumbua kuhusu ilo shamba. .
. .
.
.
Nna uwezo wa kurudi mahakamani na kumwambia jaji mmeuza eneo la kokoto kimya kimya without giving me anything. Na hatua kali zikachukuliwa kwa kunitapeli, labda your new friend Bashite atakusaidia huko mahakamani . You have connection now [emoji849]
.
.
Ila dah umeniumiza
By the way share yangu ya machimbo ya kokoto ( Tegeta) mliouza kwa milioni 400 mngeanza kunitafutia kabisa. Mlidhani sijui? I know Ila nilikuwa kimya sababu nawapenda sana na bila nyinyi nahisigi siwezi kuishi ila labda nahitaji kujifunza kuishi bila nyinyi. I have tried my best. Baba huko aliko anajua, I have tried!!
.
.
Nna uwezo wa kurudi mahakamani na kumwambia jaji mmeuza eneo la kokoto kimya kimya without giving me anything. Na hatua kali zikachukuliwa kwa kunitapeli, labda your new friend Bashite atakusaidia huko mahakamani . You have connection now [emoji849]
.
.
I just wanted to remind you of how easily I can **** you guys over but I chose not to sababu kwangu mimi pesa na mali is nothing but undugu is everything. Ila leo you decided to **** me over. Ukooo mzima ulishangaa na unanishangaa mpaka kesho how come sijadai changu Hadi leo miaka 10 na wakati jaji alishatugawanyisha?? You have taken me for granted. But namwachia Mungu, atanilipia!!!!
.
.
.
Sorry guys, ilibidi nitoe hili kifuani ili niweze kuendelea na mambo mengine.... Nisingekwambia ingenisumbua mno. Haki leo Bashite kaniumiza.... abut the struggle continues. I promise not to address this issue again.... Kwahili mniombee kwa kweli maana limeniumiza haswa. Na nimeumia simply because najua my dad is so disappointed huko aliko finally tumefarakana!!!! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji30][emoji30][emoji30]

- Pure nonsense,

1. Mange anajua kabisa kua vita yake na Rose mama yake wa kambo inatokana na the fact kwamba Marehemu Baba yake hakumuandika kwenye urithi, ambao aliwaachia watoto wake 2 tu Anil na ndugu yake. Yeye hakuwemo ndio maana kwa hasira akamuibia Rose Mama yake wa kambo Dhahabu zake zote akakimbilia Marekani. So maneno ya kwamba ana 25% kwenye urithi ni uongo wa mchana sana kama kweli anao ushahidi angeshauweka wazi kama kawaida yake, so maneno ya 25% ni uongo.

2. Mange alitakiwa kuwa mkweli kwamba ameumia kwa sababu huyu kaka yake ndiye aliyekua anamuamini na anayemfanyia kazi zake chafu hapa bongo, kwa mfano Mange ana tabia ya kuwatingisha Wafanyabiashara wakubwa hapa mjini na Wanasiasa kwamba ana mafile yao atawaanika au wamlipe anyamaze, wanaomlimpa wote alikua anamtumia huyu dogo kumkusanyia pesa, so now anajua kwamba siri yake imejulikana kwa RC, ndio maana kaumia sio kwa sababu alizosema.

3. Mange habari zake zinafahamika, hivi karibuni alikua ameajiriwa kama dreva wa Texi za Uber, alikua dreva wa Taxi lakini UBER wakaja kugundua baadaye sana kwamba ana matatizo ya sheria na "ANGER MANEGEMENT" wakamfukuza kazi hapo hapo, so hana kazi anaishi kwenye Chumba kimoja ambacho watoto wake wakienda kumtembelea hulala nao humo humo. Watoto wake wanasoma Shule inaitwa Santa Monica Elementary School. Yeye Mange anaishi Englewood/LA karibu na Airport anachungwa na FBI kwa sababu hajavunja sheria za USA, lakini alipowatukana UNDP hapa Dar kwa mara ya kwanza aliwaa attract FBI na CIA, so kwa sababu hajavunja Sheria za USA wanamchunga wakisubiri kuona kama atavunja sheria za USA au kama kuna mtu kutoka nje anayetaka kumkamata. Anatumia namba za simu njia ya "Dummy Phones" ambazo zinasimamiwa na FBI.

4. Huu ndio ukweli kuhusu Mange hayo maneno ya mali na urithi ni uongo wa kitoto kabisa, Mange angekua na hizo mali asingeenda kuishi kule kwa dhiki kama anavyoishi sasa, najua kua she is the master of propaganda alipoona amenaswa kuhusu kaka yake akaamua kujikakamua kujifanya anamiliki Mali za MArehemu Kimambi ni uongo wa kitoto, wala hakuna kitu chochote kilichouzwa kwa Millioni 400 ni uongo, wala hakuna Hotel iula lipo gofu tu lina vyumba 3 vya wanaume wanaopigia wanawake fasta fasta na pembeni kuna kanisa la Walokole, hakuna hoteli wala Mansion ni uongo wa kitoto.

5. Mange ameamua kufuata njia ambayo imewashinda wengi kabla yake, Serikali ya Tanzania imechaguliwa na Wananchi haikujiweka, yalimshinda MArehemu Kambona, yaliwashinda kina Bibi Titi, na yaliwashinda kina Savimbi Angola. Hakuna binadam Duniani aliyewahi kushindana na Serikali akaishinda yoyote ile ya halali akaishinda, Carlos Imirez ndiye binadam peke yake aliyewahi kuisumbua Dunia nzima kwa muda mrefu sana lakini mwisho wake alikamatwa kama kuku amejificha Sudan leo yupo jela maisha.

6. Mange kwenye maisha tunavuna tulichpanda, so kubali matokeo na hizo ni rasha rasha tu habari kamili bado, kama wewe ulivyo na akili sana za kutukana watu na wao wana akili sana za kukutafuta na kujua watakuumizaje kama wewe unavyoumiza watu wasio na hatia. Usilalamike wenzako tunapokutana na matokeo ya matatizo tuliyojitafutia huwa tunyamaza na kubeba maumivu.

Thanks guys!

le Mutuz Super Brand
 
- Pure nonsense,

1. Mange anajua kabisa kua vita yake na Rose mama yake wa kambo inatokana na the fact kwamba Marehemu Baba yake hakumuandika kwenye urithi, ambao aliwaachia watoto wake 2 tu Anil na ndugu yake. Yeye hakuwemo ndio maana kwa hasira akamuibia Rose Mama yake wa kambo Dhahabu zake zote akakimbilia Marekani. So maneno ya kwamba ana 25% kwenye urithi ni uongo wa mchana sana kama kweli anao ushahidi angeshauweka wazi kama kawaida yake, so maneno ya 25% ni uongo.

2. Mange alitakiwa kuwa mkweli kwamba ameumia kwa sababu huyu kaka yake ndiye aliyekua anamuamini na anayemfanyia kazi zake chafu hapa bongo, kwa mfano Mange ana tabia ya kuwatingisha Wafanyabiashara wakubwa hapa mjini na Wanasiasa kwamba ana mafile yao atawaanika au wamlipe anyamaze, wanaomlimpa wote alikua anamtumia huyu dogo kumkusanyia pesa, so now anajua kwamba siri yake imejulikana kwa RC, ndio maana kaumia sio kwa sababu alizosema.

3. Mange habari zake zinafahamika, hivi karibuni alikua ameajiriwa kama dreva wa Texi za Uber, alikua dreva wa Taxi lakini UBER wakaja kugundua baadaye sana kwamba ana matatizo ya sheria na "ANGER MANEGEMENT" wakamfukuza kazi hapo hapo, so hana kazi anaishi kwenye Chumba kimoja ambacho watoto wake wakienda kumtembelea hulala nao humo humo. Watoto wake wanasoma Shule inaitwa Santa Monica Elementary School. Yeye Mange anaishi Englewood/LA karibu na Airport anachungwa na FBI kwa sababu hajavunja sheria za USA, lakini alipowatukana UNDP hapa Dar kwa mara ya kwanza aliwaa attract FBI na CIA, so kwa sababu hajavunja Sheria za USA wanamchunga wakisubiri kuona kama atavunja sheria za USA au kama kuna mtu kutoka nje anayetaka kumkamata. Anatumia namba za simu njia ya "Dummy Phones" ambazo zinasimamiwa na FBI.

4. Huu ndio ukweli kuhusu Mange hayo maneno ya mali na urithi ni uongo wa kitoto kabisa, Mange angekua na hizo mali asingeenda kuishi kule kwa dhiki kama anavyoishi sasa, najua kua she is the master of propaganda alipoona amenaswa kuhusu kaka yake akaamua kujikakamua kujifanya anamiliki Mali za MArehemu Kimambi ni uongo wa kitoto, wala hakuna kitu chochote kilichouzwa kwa Millioni 400 ni uongo, wala hakuna Hotel iula lipo gofu tu lina vyumba 3 vya wanaume wanaopigia wanawake fasta fasta na pembeni kuna kanisa la Walokole, hakuna hoteli wala Mansion ni uongo wa kitoto.

5. Mange ameamua kufuata njia ambayo imewashinda wengi kabla yake, Serikali ya Tanzania imechaguliwa na Wananchi haikujiweka, yalimshinda MArehemu Kambona, yaliwashinda kina Bibi Titi, na yaliwashinda kina Savimbi Angola. Hakuna binadam Duniani aliyewahi kushindana na Serikali akaishinda yoyote ile ya halali akaishinda, Carlos Imirez ndiye binadam peke yake aliyewahi kuisumbua Dunia nzima kwa muda mrefu sana lakini mwisho wake alikamatwa kama kuku amejificha Sudan leo yupo jela maisha.

6. Mange kwenye maisha tunavuna tulichpanda, so kubali matokeo na hizo ni rasha rasha tu habari kamili bado, kama wewe ulivyo na akili sana za kutukana watu na wao wana akili sana za kukutafuta na kujua watakuumizaje kama wewe unavyoumiza watu wasio na hatia. Usilalamike wenzako tunapokutana na matokeo ya matatizo tuliyojitafutia huwa tunyamaza na kubeba maumivu.

Thanks guys!

le Mutuz Super Brand
We nawe ni mbulula tu unaongea kama nani?

Haya yote tisa kumi...ni uyo mange alikua anakudiss kua una tumbo kubwa sijui una bamia mara mnene kama demu blah blah sasa kumbe uyo mdogo wake ndo worst kuliko wewe haha yani kumbe ilo Anil ni linene kama tembo bora wewe.

Yani wewe na huyo mange wote mbulula tu hamjui mnataka nini hasa

Pumbavuu zenu wote...mmeshazeeka sana kaeni muenjoy Menopause
 
hapa nimeona nitoe neno:
Nakupongeza da mange kwa kuwapenda ndugu zako kias hiki..lkn huamzi wa kuweka haya mambo hadhiran sio mzr.(you hv done a good things but at the wrong direction).
Pia hata hao wadogo zako inabd wakuombe radh kwan wanajua relation yako na makonda kuwa si nzr. kupiga nae picha ni kuonyesha na wao hawakusapoti,jambo ambalo si zur kwa wanaopendana na kueshimiana..
Lkn hata huyu Mkuu wa mkoa nae hajitambui..yaan anafikia had hatua ya kumtafta mdogo wake mange..kwel huyu jamaa ana mihemko mikali sana ya kisiasa..(zero brain hafai..hivi alishaoonyeshaga vyet??) Ana siasa za kitoto sana..

Dar now every corner there is the full of floods..concentrate on them, not on Kimamb's family
 
Mie navyoona mtazamo wa mtu kiimani na kiitikadi ni jambo binafsi hivyo mtazamo wa kaka yake wala sio mtizamo wake katika maisha na ndio maana wana nafsi tofauti. Mfano unaweza kuoa mwanamke shabiki wa Simba wakati wewe ni Yanga au mkeo akawa chama Fulani wewe ni chama kingine. Kuchagua mtazamo wa kiitikadi ni haki ya mtu kikatiba. Binafsi sioni tatizo lolote la ndugu ya Mange kupiga picha na Makonda kwani nae ana utashi wake binafsi. Sio lazima anachoamini dada yake ndicho akiamini yeye. Ni mtazamo wangu binafsi
 
- Pure nonsense,

1. Mange anajua kabisa kua vita yake na Rose mama yake wa kambo inatokana na the fact kwamba Marehemu Baba yake hakumuandika kwenye urithi, ambao aliwaachia watoto wake 2 tu Anil na ndugu yake. Yeye hakuwemo ndio maana kwa hasira akamuibia Rose Mama yake wa kambo Dhahabu zake zote akakimbilia Marekani. So maneno ya kwamba ana 25% kwenye urithi ni uongo wa mchana sana kama kweli anao ushahidi angeshauweka wazi kama kawaida yake, so maneno ya 25% ni uongo.

2. Mange alitakiwa kuwa mkweli kwamba ameumia kwa sababu huyu kaka yake ndiye aliyekua anamuamini na anayemfanyia kazi zake chafu hapa bongo, kwa mfano Mange ana tabia ya kuwatingisha Wafanyabiashara wakubwa hapa mjini na Wanasiasa kwamba ana mafile yao atawaanika au wamlipe anyamaze, wanaomlimpa wote alikua anamtumia huyu dogo kumkusanyia pesa, so now anajua kwamba siri yake imejulikana kwa RC, ndio maana kaumia sio kwa sababu alizosema.

3. Mange habari zake zinafahamika, hivi karibuni alikua ameajiriwa kama dreva wa Texi za Uber, alikua dreva wa Taxi lakini UBER wakaja kugundua baadaye sana kwamba ana matatizo ya sheria na "ANGER MANEGEMENT" wakamfukuza kazi hapo hapo, so hana kazi anaishi kwenye Chumba kimoja ambacho watoto wake wakienda kumtembelea hulala nao humo humo. Watoto wake wanasoma Shule inaitwa Santa Monica Elementary School. Yeye Mange anaishi Englewood/LA karibu na Airport anachungwa na FBI kwa sababu hajavunja sheria za USA, lakini alipowatukana UNDP hapa Dar kwa mara ya kwanza aliwaa attract FBI na CIA, so kwa sababu hajavunja Sheria za USA wanamchunga wakisubiri kuona kama atavunja sheria za USA au kama kuna mtu kutoka nje anayetaka kumkamata. Anatumia namba za simu njia ya "Dummy Phones" ambazo zinasimamiwa na FBI.

4. Huu ndio ukweli kuhusu Mange hayo maneno ya mali na urithi ni uongo wa kitoto kabisa, Mange angekua na hizo mali asingeenda kuishi kule kwa dhiki kama anavyoishi sasa, najua kua she is the master of propaganda alipoona amenaswa kuhusu kaka yake akaamua kujikakamua kujifanya anamiliki Mali za MArehemu Kimambi ni uongo wa kitoto, wala hakuna kitu chochote kilichouzwa kwa Millioni 400 ni uongo, wala hakuna Hotel iula lipo gofu tu lina vyumba 3 vya wanaume wanaopigia wanawake fasta fasta na pembeni kuna kanisa la Walokole, hakuna hoteli wala Mansion ni uongo wa kitoto.

5. Mange ameamua kufuata njia ambayo imewashinda wengi kabla yake, Serikali ya Tanzania imechaguliwa na Wananchi haikujiweka, yalimshinda MArehemu Kambona, yaliwashinda kina Bibi Titi, na yaliwashinda kina Savimbi Angola. Hakuna binadam Duniani aliyewahi kushindana na Serikali akaishinda yoyote ile ya halali akaishinda, Carlos Imirez ndiye binadam peke yake aliyewahi kuisumbua Dunia nzima kwa muda mrefu sana lakini mwisho wake alikamatwa kama kuku amejificha Sudan leo yupo jela maisha.

6. Mange kwenye maisha tunavuna tulichpanda, so kubali matokeo na hizo ni rasha rasha tu habari kamili bado, kama wewe ulivyo na akili sana za kutukana watu na wao wana akili sana za kukutafuta na kujua watakuumizaje kama wewe unavyoumiza watu wasio na hatia. Usilalamike wenzako tunapokutana na matokeo ya matatizo tuliyojitafutia huwa tunyamaza na kubeba maumivu.

Thanks guys!

le Mutuz Super Brand
26/4 Kamanda
 
We nawe ni mbulula tu unaongea kama nani?

Haya yote tisa kumi...ni uyo mange alikua anakudiss kua una tumbo kubwa sijui una bamia mara mnene kama demu blah blah sasa kumbe uyo mdogo wake ndo worst kuliko wewe haha yani kumbe ilo Anil ni linene kama tembo bora wewe.

Yani wewe na huyo mange wote mbulula tu hamjui mnataka nini hasa

Pumbavuu zenu wote...mmeshazeeka sana kaeni muenjoy Menopause

- hahahahahaha maana yake sindano zimekuingia thanks boss, ila huwezi kujua wengine wana menopause kama wewe hujawahi kuipata au nakosea? hahahahahahahha

le Mutuz Super Brand
 
- Kwani uliwahi kuleta hayo makalio ukaona inahitaji dawa? hahahahahha lete kwanza uje utoe ushuhuda hahahahaha

le Mutuz
Daudi Bashite si kashakupa ya kwake na ikaonekana kweli unahitaji dawa au unajisahau kwa sababu umri umeenda so unapoteza kumbukumbu?
 
Daudi Bashite si kashakupa ya kwake na ikaonekana kweli unahitaji dawa au unajisahau kwa sababu umri umeenda so unapoteza kumbukumbu?

- hahahahaha lete huo mzigo uthibitishe mwenyewe wacha kurusha majina ya wasiohusika hahahaha lete mzigo huo uone kama inahitajika dawa hahahahahaha

le Mutuz
 
- Pure nonsense,

1. Mange anajua kabisa kua vita yake na Rose mama yake wa kambo inatokana na the fact kwamba Marehemu Baba yake hakumuandika kwenye urithi, ambao aliwaachia watoto wake 2 tu Anil na ndugu yake. Yeye hakuwemo ndio maana kwa hasira akamuibia Rose Mama yake wa kambo Dhahabu zake zote akakimbilia Marekani. So maneno ya kwamba ana 25% kwenye urithi ni uongo wa mchana sana kama kweli anao ushahidi angeshauweka wazi kama kawaida yake, so maneno ya 25% ni uongo.

2. Mange alitakiwa kuwa mkweli kwamba ameumia kwa sababu huyu kaka yake ndiye aliyekua anamuamini na anayemfanyia kazi zake chafu hapa bongo, kwa mfano Mange ana tabia ya kuwatingisha Wafanyabiashara wakubwa hapa mjini na Wanasiasa kwamba ana mafile yao atawaanika au wamlipe anyamaze, wanaomlimpa wote alikua anamtumia huyu dogo kumkusanyia pesa, so now anajua kwamba siri yake imejulikana kwa RC, ndio maana kaumia sio kwa sababu alizosema.

3. Mange habari zake zinafahamika, hivi karibuni alikua ameajiriwa kama dreva wa Texi za Uber, alikua dreva wa Taxi lakini UBER wakaja kugundua baadaye sana kwamba ana matatizo ya sheria na "ANGER MANEGEMENT" wakamfukuza kazi hapo hapo, so hana kazi anaishi kwenye Chumba kimoja ambacho watoto wake wakienda kumtembelea hulala nao humo humo. Watoto wake wanasoma Shule inaitwa Santa Monica Elementary School. Yeye Mange anaishi Englewood/LA karibu na Airport anachungwa na FBI kwa sababu hajavunja sheria za USA, lakini alipowatukana UNDP hapa Dar kwa mara ya kwanza aliwaa attract FBI na CIA, so kwa sababu hajavunja Sheria za USA wanamchunga wakisubiri kuona kama atavunja sheria za USA au kama kuna mtu kutoka nje anayetaka kumkamata. Anatumia namba za simu njia ya "Dummy Phones" ambazo zinasimamiwa na FBI.

4. Huu ndio ukweli kuhusu Mange hayo maneno ya mali na urithi ni uongo wa kitoto kabisa, Mange angekua na hizo mali asingeenda kuishi kule kwa dhiki kama anavyoishi sasa, najua kua she is the master of propaganda alipoona amenaswa kuhusu kaka yake akaamua kujikakamua kujifanya anamiliki Mali za MArehemu Kimambi ni uongo wa kitoto, wala hakuna kitu chochote kilichouzwa kwa Millioni 400 ni uongo, wala hakuna Hotel iula lipo gofu tu lina vyumba 3 vya wanaume wanaopigia wanawake fasta fasta na pembeni kuna kanisa la Walokole, hakuna hoteli wala Mansion ni uongo wa kitoto.

5. Mange ameamua kufuata njia ambayo imewashinda wengi kabla yake, Serikali ya Tanzania imechaguliwa na Wananchi haikujiweka, yalimshinda MArehemu Kambona, yaliwashinda kina Bibi Titi, na yaliwashinda kina Savimbi Angola. Hakuna binadam Duniani aliyewahi kushindana na Serikali akaishinda yoyote ile ya halali akaishinda, Carlos Imirez ndiye binadam peke yake aliyewahi kuisumbua Dunia nzima kwa muda mrefu sana lakini mwisho wake alikamatwa kama kuku amejificha Sudan leo yupo jela maisha.

6. Mange kwenye maisha tunavuna tulichpanda, so kubali matokeo na hizo ni rasha rasha tu habari kamili bado, kama wewe ulivyo na akili sana za kutukana watu na wao wana akili sana za kukutafuta na kujua watakuumizaje kama wewe unavyoumiza watu wasio na hatia. Usilalamike wenzako tunapokutana na matokeo ya matatizo tuliyojitafutia huwa tunyamaza na kubeba maumivu.

Thanks guys!

le Mutuz Super Brand
Usiniambie Bwana Wille unajua mambo ya Familia za watu kama kiongozi wao wa ukoo Du haloo
 
- hahahahaha lete huo mzigo uthibitishe mwenyewe wacha kurusha majina ya wasiohusika hahahaha lete mzigo huo uone kama inahitajika dawa hahahahahaha

le Mutuz
Mizigo si mnapeana wewe na Daudi Bashite bhana mana wote mmejazia mashallah kama Agnesi Masogange
 
Back
Top Bottom