Bundi Wa Giza
Member
- Apr 24, 2018
- 32
- 21
Mange ameshindwa kufanya hivyoUnasema yabomolewe kwasababu baba ako hakuwekeza na kukurithisha. Tumia akili kutenganisha siasa na maisha binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mange ameshindwa kufanya hivyoUnasema yabomolewe kwasababu baba ako hakuwekeza na kukurithisha. Tumia akili kutenganisha siasa na maisha binafsi
wajifunze kutukana instaMmmmmmh? huyu mdada ana watoto? Kama anao, wajifunze nini kutoka kwake
Mimi sielewi kwani kapiga picha na nani?? huyo bonge najua ni mdogo wa Mange. Sasa huyo mwingine ndo nani hasa?Ili kumtoa kwenye moody yake ya kuhamasisha 2604. Naona Makonda kamtafuta mdogo wake Mange na kupiga nae picha. Haahaaaa
Halafu kuna ndoa za kisiasa zinakuja kabla ya 2604.
Zimepangwa naona ili washabiki was Mange watoke kwenye reli ya 2604.
Alikiba kufunga ndoa karibuni. Hahaaaa..
Sikujua Mange anaisumbua hivi hii cerecali.
unsound mind au soundness of mind ni “utimamu wa akili” na sio kutokueleweka ki fikra.Nilishangaa sana milipomsikia Musiba akidai eti Mange anatumiwa na kitengo cha Ujasusi cha Marekani.
Kitengo cha Ujasusi cha Marekani hakiwezi kumtumia mtu ambaye haeleweki eleweki kifikra (unsound mind)
Mtu ambaye kesho akiamka kivingine anaanza kutoa siri zote ulizompatia hawezi kamwe kutumiwa na taasisi makini kama CIA.
Kuna siku hata wanasiasa wa Tanzania wanaomtumia atakuja kuwaanika pamoja na mawasiliano yao.