Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

- Pure nonsense,

1. Mange anajua kabisa kua vita yake na Rose mama yake wa kambo inatokana na the fact kwamba Marehemu Baba yake hakumuandika kwenye urithi, ambao aliwaachia watoto wake 2 tu Anil na ndugu yake. Yeye hakuwemo ndio maana kwa hasira akamuibia Rose Mama yake wa kambo Dhahabu zake zote akakimbilia Marekani. So maneno ya kwamba ana 25% kwenye urithi ni uongo wa mchana sana kama kweli anao ushahidi angeshauweka wazi kama kawaida yake, so maneno ya 25% ni uongo.

2. Mange alitakiwa kuwa mkweli kwamba ameumia kwa sababu huyu kaka yake ndiye aliyekua anamuamini na anayemfanyia kazi zake chafu hapa bongo, kwa mfano Mange ana tabia ya kuwatingisha Wafanyabiashara wakubwa hapa mjini na Wanasiasa kwamba ana mafile yao atawaanika au wamlipe anyamaze, wanaomlimpa wote alikua anamtumia huyu dogo kumkusanyia pesa, so now anajua kwamba siri yake imejulikana kwa RC, ndio maana kaumia sio kwa sababu alizosema.

3. Mange habari zake zinafahamika, hivi karibuni alikua ameajiriwa kama dreva wa Texi za Uber, alikua dreva wa Taxi lakini UBER wakaja kugundua baadaye sana kwamba ana matatizo ya sheria na "ANGER MANEGEMENT" wakamfukuza kazi hapo hapo, so hana kazi anaishi kwenye Chumba kimoja ambacho watoto wake wakienda kumtembelea hulala nao humo humo. Watoto wake wanasoma Shule inaitwa Santa Monica Elementary School. Yeye Mange anaishi Englewood/LA karibu na Airport anachungwa na FBI kwa sababu hajavunja sheria za USA, lakini alipowatukana UNDP hapa Dar kwa mara ya kwanza aliwaa attract FBI na CIA, so kwa sababu hajavunja Sheria za USA wanamchunga wakisubiri kuona kama atavunja sheria za USA au kama kuna mtu kutoka nje anayetaka kumkamata. Anatumia namba za simu njia ya "Dummy Phones" ambazo zinasimamiwa na FBI.

4. Huu ndio ukweli kuhusu Mange hayo maneno ya mali na urithi ni uongo wa kitoto kabisa, Mange angekua na hizo mali asingeenda kuishi kule kwa dhiki kama anavyoishi sasa, najua kua she is the master of propaganda alipoona amenaswa kuhusu kaka yake akaamua kujikakamua kujifanya anamiliki Mali za MArehemu Kimambi ni uongo wa kitoto, wala hakuna kitu chochote kilichouzwa kwa Millioni 400 ni uongo, wala hakuna Hotel iula lipo gofu tu lina vyumba 3 vya wanaume wanaopigia wanawake fasta fasta na pembeni kuna kanisa la Walokole, hakuna hoteli wala Mansion ni uongo wa kitoto.

5. Mange ameamua kufuata njia ambayo imewashinda wengi kabla yake, Serikali ya Tanzania imechaguliwa na Wananchi haikujiweka, yalimshinda MArehemu Kambona, yaliwashinda kina Bibi Titi, na yaliwashinda kina Savimbi Angola. Hakuna binadam Duniani aliyewahi kushindana na Serikali akaishinda yoyote ile ya halali akaishinda, Carlos Imirez ndiye binadam peke yake aliyewahi kuisumbua Dunia nzima kwa muda mrefu sana lakini mwisho wake alikamatwa kama kuku amejificha Sudan leo yupo jela maisha.

6. Mange kwenye maisha tunavuna tulichpanda, so kubali matokeo na hizo ni rasha rasha tu habari kamili bado, kama wewe ulivyo na akili sana za kutukana watu na wao wana akili sana za kukutafuta na kujua watakuumizaje kama wewe unavyoumiza watu wasio na hatia. Usilalamike wenzako tunapokutana na matokeo ya matatizo tuliyojitafutia huwa tunyamaza na kubeba maumivu.

Thanks guys!

le Mutuz Super Brand
Amewahonga nini hao FBI mpaka wampe ulinzi na Kila kitu?

Amewashika pabaya mwaka huu mpaka mje kumkamata mtakuwa mnahemea mipiraa, simuungi mkono mange kwa yoote lakini mi namuona mange anawakumbusha mnapokosea achaneni na matusi yake someni weakness zenu kwake mzirekebishe mkifanya ivo mtawateka hata wafuasi wake lakini mkiendelea kubishana nae ataendelea kuwavua nguo na kufichua uozo wenu.
 
Kwa wenye akili timamu, Kichaa Mange ametoa mchango mkubwa saaana kukidhoofisha chama cha upinzani chadema. Ni makosa makubwa sana kuyakubali matamshi yake, kuyanukuu na kuyaweka kama mojawapo ya mihimili ya chama chenye watu wenye akili timamu na kufikiri kisawasawa.
Ni Tanzania pekee mgonjwa wa akili anakuwa na wafuasi walio na akili timamu...
Wanasaikolojia watukumbushe eti ni kweli mtu mwenyewe upungufu mkubwa wa akili huwaona wenyeafadhali ndio vichaa kuliko yeye
 
kabudi Rapa‏ @KingBoneroIII Mar 31
MANGE msutaji
Mange kungwi
Mange muhamasishaji
MANGE adui wa LOWASSA
MANGE adui wa Magufuli
MANGE adui wa Bashite
MANGE adui wa lemutuz
MANGE adui wa Ruge
MANGE adui wa Kinje
MANGE adui wa Ridhiwani
MANGE adui wa Wolper
MANGE adui wa Wastara
MANGE adui wa Kigwangalla
MANGE adui wa CCM
MANGE mtaalamu wa Instagram
MANGE adui wa kaka yake
MANGE adui wa familia
MANGE Msuluhishi
MANGE mpatanishi
MANGE mvurugaji
MANGE mtanzania
MANGE mmarekani
MANGE mtaalamu wa SGR
MANGE mtaalamu wa TRL
MANGE mtaalamu wa BOMBADIER
MANGE mtaalamu wa UCHUMI
MANGE mtaalamu wa mirathi
MANGE mtaalamu wa UCHUMI
MANGE mtaalamu wa MVUA
MANGE mtaalamu wa kokoto
MANGE mtaalamu wa hoteli
MANGE mtaalamu wa sheria
MANGE mtaalamu wa vibamia
MANGE mtaalamu wa k zinazonuka
MANGE rafiki wa wambeya
MANGE mpokeaji wa nyaraka za serikali
MANGE kipenzi cha wadaku
MANGE KM MAJI
MANGE.....
MANGE...
Mange ni zaidi ya Jeshiii
 
Amewahonga nini hao FBI mpaka wampe ulinzi na Kila kitu?

Amewashika pabaya mwaka huu mpaka mje kumkamata mtakuwa mnahemea mipiraa, simuungi mkono mange kwa yoote lakini mi namuona mange anawakumbusha mnapokosea achaneni na matusi yake someni weakness zenu kwake mzirekebishe mkifanya ivo mtawateka hata wafuasi wake lakini mkiendelea kubishana nae ataendelea kuwavua nguo na kufichua uozo wenu.

- Saafi sana ila hajamshika yoyote pabaya unaposhindana na Serikali unashindana na wewe mwenyewe, na tatizo lake kubwa anavunja sheria kwenye hilo niamini kuwa atakuja kujibu mashitaka tu it is only a matter of time, Serikali haiendeshwi kwa kuutmia mitandao, so pole sana

le Mutuz
 
Mfano wa kuigwa wakati anawasiliana na ndugu zake kwa kupitia instagram! My left foot.

Leo anaanza kutolea siri zao za ndani kwenye instagram halafu unamwambia mfano wa kuigwa!

Ukisikia mtu anakwambia taifa kwanza, familia baadaye lazima huyo mtu atakuwa ana matatizo makubwa kiakiri!

Kama una akili timamu ukiona ndugu zako wa damu wanaanza kukukimbia mpaka unatumia instagram kuwasiliana nao lazima uanze kujitafakari kwa kina.

Tanzania kuna vituko!
Wafuasi wa bidada kwani hujawazoea kuwa akili zao ni za kushikwa? mambo ya kifamilia eti yanazungumza instagram ili iweje? anatafuta huruma ya watu tu. Mwenye akili zake mambo ya kifamilia yanaishia uko uko sio kuyaanika Insta.

Wafuasi na huyu bidada wako ovyo kabisa!
 
- Saafi sana ila hajamshika yoyote pabaya unaposhindana na Serikali unashindana na wewe mwenyewe, na tatizo lake kubwa anavunja sheria kwenye hilo niamini kuwa atakuja kujibu mashitaka tu it is only a matter of time, Serikali haiendeshwi kwa kuutmia mitandao, so pole sana

le Mutuz
Tuongoze kupimwa tezi dume kwa raha zako
 
hii familia inajua game inayocheza na haifanyi kwa hasara! hawa ni wamachame wako vizuri kuzidi umnavyofikiria! vita yao sio ya kuifata kichwakichwa!
 
- Saafi sana ila hajamshika yoyote pabaya unaposhindana na Serikali unashindana na wewe mwenyewe, na tatizo lake kubwa anavunja sheria kwenye hilo niamini kuwa atakuja kujibu mashitaka tu it is only a matter of time, Serikali haiendeshwi kwa kuutmia mitandao, so pole sana

le Mutuz
Le kibamiaz nimekuja dar kukupima tezi dume kuitikia wito wa joka la kibisa
 
- Saafi sana ila hajamshika yoyote pabaya unaposhindana na Serikali unashindana na wewe mwenyewe, na tatizo lake kubwa anavunja sheria kwenye hilo niamini kuwa atakuja kujibu mashitaka tu it is only a matter of time, Serikali haiendeshwi kwa kuutmia mitandao, so pole sana

le Mutuz
Kila siku nakuona unasema mda c mrefu mnamkamata..achana na hizo ramli mkuu tangu uanze kusema mpaka leo naona miaka inaenda na mwanadada inaonekana kawazidi akili ndo mana midume mizima mnaweweseka...kama nyi vidume kweli mkamateni mumrudishe hapa bongo
 
Namfananisha Mange na Zitto....tofauti iliyopo kati yao ni ndogo sana, Mange anatafuta wapambe through social media kwa kupost personal issues ili watu wamsifie au kumpa pole na Zitto anatafuta kiki bungeni na kwa waandishi wa habari ili apate wafuasi wengi ifikapo 2020. Kwa ujumla, wote wanahitaji kukamatwa na kupimwa akili.
 
Nimeipenda maana ukiwa na kaka mpumbavu kama huyu better kumchana namna hii ili aache kutumika na ajitambue.
Ndugu hufarakana na kupatana.Msaliti ni muuaji.
 
Mali zenyewe za urithi huyu mwehu anatujazia server kwa ujinga wake,kakazana 25% utadhani kawekeza,kwanza hiyo hoteli ni makazi ya popo na bado TRA inawadai,kwa sisi waafrika mtoto wa kike hana chake katika mali za urithi hata akiwa mkubwa yeye asubiri mgawo kutoka kwa wadogo zake wa kiume.Akizidi kuhamasisha maandamano tutaanzia kubomoa hayo magofu yao ya urithi hapo ndio atajua umuhimu wa amani,anadai hayo magofu sababu ya nchi ni salama .

Wewe unazo hata kama za urithi?
 
Zawadi,

Mwambieni Mange kuwa kuandamana au kutokuandamana ni haki ya kidemokrasia.

Kila raia ana uhuru na haki ya kuamua akitakacho, kuchagua marafiki na kufungamana na mlengo wowote wa kiasiasa anaoona unamfaa.

Ni haki ya msingi kila raia kuchagua au kuchaguliwa kuongoza. Na ni uhuru binafsi wa yeyote kuchagua kiongozi wake.

Hiyo ndio demokrasia.

Alichofanya ni makosa makubwa. Kutangaza maswala binafsi ya ndugu hadharani ili kuwatishia wamuunge mkono katika harakati zake ni makosa makubwa. Hii inaitwa 'blackmail' na ni kosa kubwa kisheria.
Pia ni kinyume cha demokrasia na haki za kikatiba kumlazimisha mtu akuunge mkono kwa vitisho.
Je hapo Mange ana tofauti gani na anaowapinga?
Ndio wale wale and the same bullshit.

Na kuna jambo jingine linaloibuka hapa..Mange yuko tayari kuficha maovu na kusapoti uvunjaji wa sheria ilimradi tu hao wavunja sheria ni ndugu wanaomsapoti. Huu ni uhalifu.
Kama hao ndugu zake, kama kweli wamevunja sheria basi alipaswa kuwachukulia hatua na sio kusubiri hadi watakapotofautiana mitizamo ya kisiasa. Sasa Mange akiwa kiongozi si ndio atakuwa dikteta mbaya anayelazimisha nchi nzima iwaze kama yeye na kufuata anachotaka tu?????

Rafiki zake pia wajifunze. Siku wakiacha kumsapoti atamwaga siri zao zote hadharani na kuwasababishia matatizo kibao.
Mwenye akili na asikie.
Huu ndio ukweli, Mange anasema Magu ni dictator lakini wewe ukimfwatilia yeye ni zaidi ya Idd Amin.
 
Alitokosesha kura 2015 then anatupigia makelele yake saa hizi.
 
Mmmmmmh? huyu mdada ana watoto? Kama anao, wajifunze nini kutoka kwake
 
Inaonekana ali disco elimu ya kiuanaharakati I see, au hakumaliza kozi ya kijasusi kiukweli hapa bongo ndo maana kaenda USA na sasa yupo FIELD CIA
 
Back
Top Bottom