mnyamweziog
Senior Member
- Nov 7, 2016
- 169
- 251
Acha kupanic kama mnatumia madawa msikamatwe na ndo mwaka wenu huuHamuwezi kuwa na hali zinazofanana kila Mtu Duniani kaumbiwa lake huyo Beyonce ana lake na Wema ana lake
Wewe kama nyota yako ya masizi kupendwa na Moshi tuliza kipapa hicho
Bila shaka wewe ni mwehu,hili ni jukwaa huru usilazimishe kila MTU achangie kwa namna unayoitaka weweAcha kupanic kama mnatumia madawa msikamatwe na ndo mwaka wenu huu
Acheni kutumia madawa mnatuharibia watoto wetu, then mkiambiwa ukweli mnaanza kupanicKwa hiyo kwenye kijiwe chenu cha gongo kumbe ndo huwa mnaongea hivi? Soree kumbe naongea na mnywa gongo ndio maana mawazo yako yamekaa kigongo-gongo. Am out
Wewe ndo kichaa kabisa nilibisha hodi kwako kuja kukuomba uchangie ninavyotaka??Bila shaka wewe ni mwehu,hili ni jukwaa huru usilazimishe kila MTU achangie kwa namna unayoitaka wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli wewe ni mwehu. Kwa hiyo nikitumia madawa mimi kijana wako anaharibikaje? Kweli akili za gongo hiziAcheni kutumia madawa mnatuharibia watoto wetu, then mkiambiwa ukweli mnaanza kupanic
Teh teh teh! Labda alijua ni mwanaume.Mkuu vipi tena, kwani mange ni msagaji?
Naona huna jipya Mkuu yote marudio, ushauri wa bure acha kutumia madawa[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli wewe ni mwehu. Kwa hiyo nikitumia madawa mimi kijana wako anaharibikaje? Kweli akili za gongo hizi
Kachambe kule ,ungechangia chumbani kwako basi badala ya hapa jukwaaniWewe ndo kichaa kabisa nilibisha hodi kwako kuja kukuomba uchangie ninavyotaka??
Wewe ni mwehuNaona huna jipya Mkuu yote marudio, ushauri wa bure acha kutumia madawa
Mkuu inaonyeshwa mdomo wako mwepes kwa matusi au alosto inasumbuaKachambe kule ,ungechangia chumbani kwako basi badala ya hapa jukwaani
Wewe unaheshimika hapa Jf! Chonde chonde usiharibu sifa zako best. Nadhani utanisaidia kwa kupunguza hasira mkuu.Wewe ni mwehu
Itakuwa anatafuta starting point ya kuwakamata mapapa.....next week atawaita akisema wametajwa na baadhi ya wasanii waliokamatwa week iliyopita,he wants to play safe, it's like defence mechanisms towards watuhumiwa nguri watakaotajwa next time "ni mawazo yangu tu"Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?
Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.
Makonda hajui anachokifanya
Period
Mimi haya maneno siyataki ...kwani wanalazimishwa kubwia madawa haya. Hata yasipouzwa litoto kama nilimchaluko litavuta hata majani ya maboga na litaheuka tuKama ushahidi upo, huyo wema afungwe tu;
wameharibu watoto wetu, wafungwe tu hakuna namna;
Makonda go, go, go. Mungu atakuwa pamoja na wewe.
Haaaa haaaa hata mi nimeelewa sasaKuna tusi katikati mkuu ila umetumia akili kilificha.[emoji3]
Hivi mange na makonda walichukuliana demu
Yes! Mange alikuchukua demu wa makondaHivi mange na makonda walichukuliana demu
Isho -boy una vituko sanaMtu anaemshabikia wema inabidi achunguzwe na yeye, makonda tunaomba na hili ulifanyie kazi
Mange anakwambia TID anaishi kwa mamaake hata kodi ya chumba kimoja kupangisha kakosa...Nashindwa kuwaelewa watu wanaotetea hili.
Madon wa unga wapo na wanajulikana iweje uwaite watumiaji na kuwahoji?
Hivi mchovu kama TID anaweza kuwa anauza unga kweli?
Hahahah
Mambo ya Makonda ni vichekesho ila vichekesho zaidi ni wale wanaomuunga mkono kwa anachokifanya.