Sasa mkuu tukitaka kuwaita ni hadi tuwakamate na dawa red-handed?Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?
Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.
Makonda hajui anachokifanya
Period
Hapo kwenye demu badilisha jinsia!Mage ni Dada sasa hapo sijakuelewa
Wao wanavyozalilisha watoto wa watu?Kwanini hakuwaita kimyakimya mpaka awazalikishe kwenye media
Mkuu we ndo hujamuelewa..!Kwanza ulitakiwa kuuliza mange nijinsia gani? Ndio u comment huoni kwamba umekurupuka kama chafya.
Mamdenyiii[emoji15]Kama ushahidi upo, huyo wema afungwe tu;
wameharibu watoto wetu, wafungwe tu hakuna namna;
Makonda go, go, go. Mungu atakuwa pamoja na wewe.
Ukikutana nae unaweza kumwambia haya unayomuombea huyu kada wa FisiemKwani ni mara ya kwanza huku jf kutaja wema kuwa mbuya unga?
Kwanini hamkumshauri aache kama mlikuwa na uchungu naye?
Ila watz ni wagumu wa kuwaelewa sana hao hao wanapiga kelele kila leo kwamba madawa ya kulevya yanamaliza nguvu kazi ya taifa, haya wameitwa kwenda kuhojiwa tena kuhojiwa tu kama ni kweli au lah! wametokea watetezi tena dah!! Tz simama nishuke.
Ngoja kesho utasikia na yule mama wa Haki za binadamu naye anakuja kuwatetea hapa.
Unaruhusiwa kuwasaidia kufungua hayo madaiKilichofanyika ni uonevu na matumizi mabaya ya madaraka,
hawa wasanii wanatakiwa kufungua mashitaka,unlawfull detention,false accusation na defamation na wadai fidia ya mabilioni
Msiwe wepesi kutapeliwa na wanasiasa
Fidia ya nini??? Hao watu wameitwa kwa mhojiano, hawajatuhumiwa, endapo wakikutwa hawana kosa au hawahusiki au hawawez kua msaada wowote kwa police , police inaachana nao, kinacho fanyika saiv n upelelez... huko kwenye fidia unaenda kudai nn? kwamba ulihojiwa???Na Kama ushahidi haupo walipwe fidia pamoja na kuwasafisha katika jamii.
Ila kwa huo usemi wako hapo juu unaonekana unachuki ndo mana umekaa upande mmoja
Kama ni tuhuma tu kwanini aseme hadharani huoni km kawadhalilisha na kuwaharibia CV zao....Alichosema makonda ni wanasemekana na haijathibitika so ni haki yake kuwakata ili kuwahoj nankupata ukwel akiwa kama mwenyekit wa kamat ya ulinz na usalama
Ni tuhuma tu
Kwan Makonda ndio anawahoji??? [emoji23] [emoji23] Drug abuser n yeyote yule, anae uza, sambaza na mtumiaj.. hilo n moja.. pili ukimkamata mmoja kati ya yeyote, n mwanzo wa kutatua tatizo... Mtuamiaj atamtaja anae muuzia, muuzaj atasema anayapata wap, hvyo hvyo mpk chain inafika mwsho, usije dhan watu hawana akil, ama wamekurupuka tu, usije dhan hivyo kabisa... Naona IGP nae kaunga mkono... kaungana na MakondaHivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?
Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.
Makonda hajui anachokifanya
Period
Hata yeye sidhani kama anajua anataka nini. Leo hii anaomba makonda afunguliwe kesi ya defamation, ikiwa yeye ameshawataja watu hadharani bila ushahidi wowote, what a hypocrisy!Mimi sijawahi kujua Mange huwa anataka nini, kipindi cha Kampeni alikuwa upande wa CCM na kuwatupia kila dongo na matusi wapinzani, baada ya kampeni na CCM kushinda kageukia upinzani na kuanza kuitukana CCM kila aina ya tusi. Kuhusu hii ishu ya madawa alionekana kuipigia kelele kwa mda mrefu mtandaoni, hatimaye kapatikana mtu anayeonesha nia ya kupambana nalo ghafla kamgeuka na kuwa against naye. Sasa sielewi nini huwa anataka hasa?