wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,293
- 3,945
Mbona Ze bold aliitwa na wale jamaa wa masuti kuhusu kifo cha babake cheupe!?Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?
Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.
Makonda hajui anachokifanya
Period
Wauza ngada wanakimbia nchi...wakati mwingine mikwara inasaidia kupunguza mzunguko wa unga ....big up MakondaHivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?
Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.
Makonda hajui anachokifanya
Period
Kwani wema ni nani mpaka asituhumiwe?
Unamchafua wakili....akikupeleka mahakamani utakuwa na hela ya kumlipa fidia?ama ni hiyo "k" uliyonayoMsando mwenyewe atakuwa zungu la unga,maana ukaribu wake na akina AY,petit man et al unaleta maswali
UKICHUKUA DAMU ZAO ZIKAENDA KUPIMEA HOSPITALINI SI NI RAHISI TU KUTHIBITISHA UTUMIAJI WA MADAWA. WAKUBALI WAFANYIWE VIPIMO HIVO NDIO VYA HAKISerikali yenyewe inaogopa kusimama kizimbani na hawa watu maana isipokuja na ushahidi wa kutosha lazima walipe hao wanaotuhumiwa.
Lakn kama yupo ndani inakuaje ana post Instagram aŭ ndo anapostiwa na kaka menejaInasemekana hivyo lakini haijathibitishwa
Wamezuiliwa kufanya hayo yote? Mfano walienda na wanasheria wakakataliwa? kuna aliyegoma kujibu tuhuma akalazimishwa kwa kuteswa au kitu kama hicho?Polisi na intelijensia ya Tz inavyofanya kazi inaniacha hoi.
Sijui kwakuwa niko addicted na IDx kwa kuona wenzetu wanavyofanya kazi.
Wenzetu hawawezi kumhold mtu kama hawana ushahidi wa uhakika uwe wa kimazingira au vithibitisho juu ya kosa analotuhumiwa.
Atahojiwa kama hawana hivyo vitu watamuacha waendelee kumpeleleza taratibu.
Wenzetu mtu kuitwa polisi akahojiwe ni hiari kwenda ama kutokwenda na akifika anaweza akatae kujibu chochote mpaka awepo mwanasheria wake.
Akigoma kwenda basi watatafuta sababu ya kumkamata mfano avunje sheria ya barabara akamatwe apelekwe polisi hapo watamhoji juu ya mahojiano pia ya kosa wanalohisi katenda awali kama hawana ushahidi.
Makonda anachofanya kiko sawa ila ninahisi kuna haki za watu/watuhumiwa hazizingatiwi yani sheria inawekwa pembeni mtu anafanya anavyohisi mwenyewe
Mungu wa Israel , wa Yakobo au Mungu wa dar?Kama ushahidi upo, huyo wema afungwe tu;
wameharibu watoto wetu, wafungwe tu hakuna namna;
Makonda go, go, go. Mungu atakuwa pamoja na wewe.
Walale tu sio sehemu mbaya sana paleWamelala huko
Kitendo cha kusema ambao hawakufika jana watafutwe wakamatwe wakae central mpaka j3 unakichukuliaje? Maana yake kufika siyo hiari ni lazima.Wamezuiliwa kufanya hayo yote? Mfano walienda na wanasheria wakakataliwa? kuna aliyegoma kujibu tuhuma akalazimishwa kwa kuteswa au kitu kama hicho?
Wakiwa na ushahidi wanamuita kumhoji na ushahidi wanampa ili a confess. Aki confess au asipo confess as long as tayari wana ushahidi basi wanafuata utaratibu wa kumpeleka mahakamani.Umesema wenzetu hawawezi kumhold mtu ikiwa hawana ushahidi hata wakimazingira/vithibitisho, je kwenye hili saga pia iko hivyo ? Au umehisi tu kuwa ipo hivyo.
Kutiwa hatiani maana yake unakua na kesi ya kujibu, utakapo kutwa na hatia ndipo utahukumiwaKwani walioitwa wameshatiwa hatiani? Kutiwa hatiani ninini, tuanzie hapo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi mange na makonda walichukuliana demu
Kwahiyo kutumia madawa ni kosa?UKICHUKUA DAMU ZAO ZIKAENDA KUPIMEA HOSPITALINI SI NI RAHISI TU KUTHIBITISHA UTUMIAJI WA MADAWA. WAKUBALI WAFANYIWE VIPIMO HIVO NDIO VYA HAKI
RCKati ya RC na mayor nani ana nguvu zaidi?