Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period
Mbona Ze bold aliitwa na wale jamaa wa masuti kuhusu kifo cha babake cheupe!?
 
Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period
Wauza ngada wanakimbia nchi...wakati mwingine mikwara inasaidia kupunguza mzunguko wa unga ....big up Makonda
 
Serikali yenyewe inaogopa kusimama kizimbani na hawa watu maana isipokuja na ushahidi wa kutosha lazima walipe hao wanaotuhumiwa.
UKICHUKUA DAMU ZAO ZIKAENDA KUPIMEA HOSPITALINI SI NI RAHISI TU KUTHIBITISHA UTUMIAJI WA MADAWA. WAKUBALI WAFANYIWE VIPIMO HIVO NDIO VYA HAKI
 
Polisi na intelijensia ya Tz inavyofanya kazi inaniacha hoi.
Sijui kwakuwa niko addicted na IDx kwa kuona wenzetu wanavyofanya kazi.
Wenzetu hawawezi kumhold mtu kama hawana ushahidi wa uhakika uwe wa kimazingira au vithibitisho juu ya kosa analotuhumiwa.
Atahojiwa kama hawana hivyo vitu watamuacha waendelee kumpeleleza taratibu.
Wenzetu mtu kuitwa polisi akahojiwe ni hiari kwenda ama kutokwenda na akifika anaweza akatae kujibu chochote mpaka awepo mwanasheria wake.
Akigoma kwenda basi watatafuta sababu ya kumkamata mfano avunje sheria ya barabara akamatwe apelekwe polisi hapo watamhoji juu ya mahojiano pia ya kosa wanalohisi katenda awali kama hawana ushahidi.
Makonda anachofanya kiko sawa ila ninahisi kuna haki za watu/watuhumiwa hazizingatiwi yani sheria inawekwa pembeni mtu anafanya anavyohisi mwenyewe
Wamezuiliwa kufanya hayo yote? Mfano walienda na wanasheria wakakataliwa? kuna aliyegoma kujibu tuhuma akalazimishwa kwa kuteswa au kitu kama hicho?
Umesema wenzetu hawawezi kumhold mtu ikiwa hawana ushahidi hata wakimazingira/vithibitisho, je kwenye hili saga pia iko hivyo ? Au umehisi tu kuwa ipo hivyo.
 
Wamezuiliwa kufanya hayo yote? Mfano walienda na wanasheria wakakataliwa? kuna aliyegoma kujibu tuhuma akalazimishwa kwa kuteswa au kitu kama hicho?
Kitendo cha kusema ambao hawakufika jana watafutwe wakamatwe wakae central mpaka j3 unakichukuliaje? Maana yake kufika siyo hiari ni lazima.
Umesema wenzetu hawawezi kumhold mtu ikiwa hawana ushahidi hata wakimazingira/vithibitisho, je kwenye hili saga pia iko hivyo ? Au umehisi tu kuwa ipo hivyo.
Wakiwa na ushahidi wanamuita kumhoji na ushahidi wanampa ili a confess. Aki confess au asipo confess as long as tayari wana ushahidi basi wanafuata utaratibu wa kumpeleka mahakamani.
Sasa kwa habari ninazosoma ni kwamba watu jana wengine bado wameshikiliwa hope tutasikia soon wamepelekwa mahakamani ikawa tofauti itanishangaza kuwashikilia bila kuwa na ushahidi juu yao.
The bottom line siyo kwamba natetea wala nampinga makonda nachojaribu kusema ni juu ya polisi wanavyofanya kazi
 
Back
Top Bottom