I used to admire you lakini Leo umenisikitisha siyo kila kitu kutetea jmni penye ukweli na fact lets b open mange hapa was rite Le mutuz- Hii Sheria hamlindi mtu wala Kiongozi yoyote mchafu, isipokuwa ni Sheria inayotaka Wananchi kuanza kuandika kwa RESPONSIBILITY I support it kwa sababu it is a high time imekuja nchi zote Duniani zilizoendelea ni lazima zina Sheria kama hii ya KUANDIKA KWA RESPONSIBILITY ndio maana Serial Link alikamatwa na kuwa kesi mahakamani kwa kuwa na nyara za Serikali bila kibali cha Serikali ya US,
- Wabongo tumezoa kutafutana uchawi Sheria ni ya Taifa sio ya Rdihiwani au January, foolish to think kwamba eti Sheria ya Taifa imepitishwa kwa sababu ya hawa wawili, wananchi wa Tanzania sasa mjifunze kuandika with FACTS and EVIDENCE sio kurusha rusha maneno hewa bila kujua effect yake kwa unaowarushia sasa ukisema sema bila ushahidi utaumia na people hii sheria ni serious sio utani kwa mliozoea kuandika bila FACTS!!
Le Mutuz