cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,805
mada kama hizi zinazidi kumpaishaMaajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.
Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.
Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
Hatutafuti kiki kwa huyu dada ila aache tabia yake mbaya ya matusi. Ugomvi wa kifamilia asilete kwenye mambo ya kitaifa.Amewashik pabaya tulizen mishono... Hawez kujamjadil mtu acye na influence kwny jamii. Mtoa post uctafute kick kw pikpik utaangukia pua
wewe unaeyajua mbona huwezi kuyafafanua, tetea hoja yakoKama hujui udhalilishaji anaoufanya kwa matusi yake basi utakuwa na shida upstairs
tehe tehe tehe katumwa huyomada kama hizi zinazidi kumpaisha
wewe akili yako itakua ndogo sana ktk upambanaji wa mitandaoni
Wakati anamtukana Lowasa akiwa CCM mliongea yote haya?Bora uongee wewe mkuu, wengi sana wanamsuport pamoja na contradicting maudhui yake. Ajitahidi atakama kukosoa basi atumie lugha ya kistaarabu sio matusi na kashfa. Sijui kama wale watoto wake hua wanaona posts zamamao hua wanafikiriaje
si mfuasi wake ila namfuatilia
Wewe ni Le vidolez mwenyewe najua maandishi yako,nilishakwambia kua mtukane Mange kama Mange usiwe unamtukana Baba yake mange kua aliliwa Tigo,anaeliwa Tigo ni wewe mwenyewe.According to Le Mutuz na watu wanaomjuwa baba yake Mange, ni kwamba demu baada ya kuona video ya baba yake analiwa tigo akachanganikiwa akili na ndiyo maana hajitambui mpaka hivi sasa. Mpeni pole tu.
Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.
Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.
Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
Unafata nini kwenye page yake kama sio kuwashwawashwa? Wanaomfuatilia mitandaoni ni watu wanaopenda content ya anacho andika, ukizingatia hizo ni accounts zake binafsi na hamlazimishi mtu kusoma wala kufuatilia anachopost.Hayo ni maisha yake binafsi na ana haki ya kujieleza kwa njia anayoona inamridhisha yeye, kama mkuu anavyotumia utashi wake kusema mtu hata kama hajui kusoma A kwake yeye ni msomi mzuri.Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.
Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.
Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
Woga wa nn jipange nenda kwny page yke kamwambie mwnyw uone utavyorud umelowa.yle ni next level... I don't support ha bad words ila analeta burudani to be honest.... Imagine instagram without Mange..... Ooops!.... Undefined!Hatutafuti kiki kwa huyu dada ila aache tabia yake mbaya ya matusi. Ugomvi wa kifamilia asilete kwenye mambo ya kitaifa.
Kifo cha baba yake kisiwe ndio kisingizio cha kutukana kila kiongozi wa Serikali.
Mange amebamba sio Ok.... but her bad and insults words hakika hiyo next level yake si kwa sisi wapenda amaniWoga wa nn jipange nenda kwny page yke kamwambie mwnyw uone utavyorud umelowa.yle ni next level... I don't support ha bad words ila analeta burudani to be honest.... Imagine instagram without Mange..... Ooops!.... Undefined!
Mange anadeal na heavy weight ndiyo maana unasikia na sirro nae analia nk nk ...hivyo wewe hujafikia kwenye level zake ukifika na kujimix atakuchapa tu!Hapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
Mnacomplicate tu maisha. Mwanamke yeye binafsi anatakiwa ajiheshimu ili asidhalilishwe.Yanamdhalilisha mwanamke duniani. Hakika sijampenda kwa matusi yake.
Mkamateni mnasubiri nini?Anadhalilisha viongozi wetu hatuwezi kumuacha
Dunia kama kijiji hata kama ni maisha yake na hizo ni page zake na ana uhuru wa kujieleza anavyotaka sawa..... Lakini aache kutukana watu.Unafata nini kwenye page yake kama sio kuwashwawashwa? Wanaomfuatilia mitandaoni ni watu wanaopenda content ya anacho andika, ukizingatia hizo ni accounts zake binafsi na hamlazimishi mtu kusoma wala kufuatilia anachopost.Hayo ni maisha yake binafsi na ana haki ya kujieleza kwa njia anayoona inamridhisha yeye, kama mkuu anavyotumia utashi wake kusema mtu hata kama hajui kusoma A kwake yeye ni msomi mzuri.
kwani kuna mtu analazimishwa kuingia page yake?kaweka private na bado mnatuma request....kila mtu ana njia yake ya kuwasilisha mawazo yake ukiona hupendi anavyowasilisha basi msiingie..magazeti yapo mengi yana IG accounts muyasome hayoMaajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.
Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.
Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.