Mange Kimambi matusi yake yanawadhalilisha wanawake ajabu wanayashangilia

Mange Kimambi matusi yake yanawadhalilisha wanawake ajabu wanayashangilia

Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.

Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.

Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.

Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
Bora uongee wewe mkuu, wengi sana wanamsuport pamoja na contradicting maudhui yake. Ajitahidi atakama kukosoa basi atumie lugha ya kistaarabu sio matusi na kashfa. Sijui kama wale watoto wake hua wanaona posts zamamao hua wanafikiriaje
 
Usijifanye Mange unamjua sana na wewe una pesa nyingi na kudharau wengine. Mange wa zamani si Mange huyu mshenzi tu na matusi kila post yake kwa viongozi.

Na kujifanya kwa vile anaishi Marekani basi anaweza kutukana mtu yoyote Tanzania.

Dawa yake inachemka ipo siku tu

Mama pambana na mimba yako , vipi mzee anarudi lini china?
 
Bora uongee wewe mkuu, wengi sana wanamsuport pamoja na contradicting maudhui yake. Ajitahidi atakama kukosoa basi atumie lugha ya kistaarabu sio matusi na kashfa. Sijui kama wale watoto wake hua wanaona posts zamamao hua wanafikiriaje
Asante sana... Huyu dada hana aibu kabisa
 
Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.

Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.

Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.

Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.


According to Le Mutuz na watu wanaomjuwa baba yake Mange, ni kwamba demu baada ya kuona video ya baba yake analiwa tigo akachanganikiwa akili na ndiyo maana hajitambui mpaka hivi sasa. Mpeni pole tu.
 
According to Le Mutuz na watu wanaomjuwa baba yake Mange, ni kwamba demu baada ya kuona video ya baba yake analiwa tigo akachanganikiwa akili na ndiyo maana hajitambui mpaka hivi sasa. Mpeni pole tu.
Ndiyo kinampa hasira sana
 
Hivi hawezi kuwasilisha ujumbe bila matusi?!! Amekaa kiswahili swahili sana.
 
Mleta uzi kama unamkumbuka yule mama Prof. Kenya mtetezi wa mazingira alivua nguo hadharani viwanja vya uhuru park, bila shaka utaelewa mange anafanya nini.
 
Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.

Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.

Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.

Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.

mbona inaonekana kama wewe ndiye unayehitaji ushauri wa kisaikolojia maana MK naona anafanya shughuli zake consistently na wala sijamuona kutetereka. upande mwingine wewe unaweweseka kwamba MK ana matatizo. Napata shida sana jinsi watu wengine wanavyofikiri. labda na mimi nahitaji ushauri wa kisaikolojia
 
Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.

Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.

Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.

Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
Tusi analiona yeye anayetukanwa,,kwangu mimi awatukane tu maan kuna baadhi ya watu hawajitambui..
 
Back
Top Bottom