DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Nimecheka hatari.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
Eti aingie anga zako. Anga za kuwanga usiku au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka hatari.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
Yule alie waita watoto wa wenzie vilaza, akawaambia wahanga wa tetemeko kazi yao ni "katerero" ni sawa? Wenye mabango wakalale nayo na wake zao je ni sawa?Dunia kama kijiji hata kama ni maisha yake na hizo ni page zake na ana uhuru wa kujieleza anavyotaka sawa..... Lakini aache kutukana watu.
Ndiyo kinampa hasira sana
Wewe ni Le vidolez mwenyewe najua maandishi yako,nilishakwambia kua mtukane Mange kama Mange usiwe unamtukana Baba yake mange kua aliliwa Tigo,anaeliwa Tigo ni wewe mwenyewe.
Mbona yeye ajawahi kumtukana Baba yako?
Haya dada amekusikia,tutajitahidi kumfikishia ujumbe aache matusi anawadhalilisha sna wanawake na mmoja wapo ni wwYanamdhalilisha mwanamke duniani. Hakika sijampenda kwa matusi yake.
Anga lako lipo wapi!!! nije Mara mojaHapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
Kabisa na hao wanao msaport wana akili kama za huyo betina wao. Ana wapotosha wabongo wakati yy yuko mbali kama kweli yy anauchungu na hiyo nchi si arudi aje kupiga debe hapo, anaishi kwa tax za wafanyakazi wa marekani (benefit) anadhania kafika.Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.
Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.
Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
....Unafuatilia matusi yake au unamfuatilia nini hasa?si mfuasi wake ila namfuatilia