Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa Serikali ya Magufuli


Kuna wakati unawaza mwenyewe. Then unatoa hoja kwa kufikiria kuwa kila mtu ana mawazo yako. Nakushauri Kamsome Mwanakijiji. Kaandika kisomi zaidi. Wewe ni yule walioshindwa kuandama Ila kukiri udhaifu unashindwa.
 
Mwanamke aliesimamisha taifa zima na kuleta taharuki katika serikali noma sana si kitu kidogo .
 
Kwani na wewe ni GT? Aisee! Sijui na wewe kichwani umejaza nini!!!!
 

Waaingie Ndani kufanya nini ? Mkishaandamana wao ubalozini ndio walitakiwa kutoka nje Huo ndio utaratibu

Katika macho ya kishabiki kuna watakaobeza yaliyotokea jana na leo
Ila katika macho ya information interpretation kilichotokea ni hatari zaidi
Kushindwa kufanya kazi Kwa Mifumo ya kufikisha malaamiko serikalini Ndani ya ccm na Upinzani, media na hata NGO’s ni jambo la hatari hizi ndio formal democratic foundations and channels
Tumaini la mwisho lilikua la mass kufikisha malalamko kama hili limeshindikana Sasa tujiandaee Kwa matukio yasio ya kawaida wala ya kisiasa
Wale ambao wana uwezo Mkubwa wa kubadili mambo ila sio Wanasiasa walikua na Matumaini mambo yatabafilika kupitia njia rasmi kwakua ineshindikana basi njia watakayochagua ni hatari zaidi ..wengi wa watu kama hao ni hatari zaidi
Tusikebehi kwakua njia inayokuja ni hatari zaidi na ya gharama Sana kukabikiana nayo hata dalili Zimeanza kuonekana

Tuombe Mungu
 

Huuu ndio mfano wa uzezeta

Kutumia maBILIONI kutishia watu na kuagiza magari ya lumficha mfalme nani muoga hapo
 
[emoji12]Nilijua tangu mwanzo kuwa maandamano yetu yangefana sana. Na kweli, yamepita mitaa yote kuanzia Facebook, Instagram, JamiiForum mpaka Whatsapp. Sisi sio watu wa mchezomchezo bwana! ...And we will do it again!
 
Ngoja nikupe Taratibu za maandamano Duniani. Kwanza kuna kueleza nia ya kufanya maandamano. kwa kuomba/kutoa taarifa kwa mamlaka, kuna kupanga mahali pa kuanzia, route na mahali yatakapoishia hayo maandamano, kuna kuandaa kiongozi wa kuyapokea maandamano hayo atakayefikishiwa ujumbe huo. Kukosekana kwa utaratibu huo sio maandamano ni uvamizi na kiongozi aliyevamiwa hawezi kutoka tu kienyeji ati kuna watu huko nje wanapiga kelele.
 
Mange ni shujaa.
Shujaa wa matusi.
Shujaa wa "blackmail".

Je Uliandamana?
 
hongera sana Mange kitendo cha mapolice kukaa barabarani ni prove tosha kuwa ni wewe ni mwanamke shujaa... ....kwani nini wangapi wana Instagram account na serikali haiwatambui???? lol
Hapana,

Mange na wafuasi walijua wazi kwenye maandamano ya upinzani lazima polisi watie timu na virungu, mabomu ya machozi na maji ya washa washa.
Yeye aliapa ataandama hadi Magu atoke madarakani..
Polisi wamepita doria siku 1 tu kabla...Mage na wafuasi wake wamenywea kabla hata polisi hawajapiga bomu moja la machozi wala kutumia lita 1 ya maji ya washawasha.

Mange na Mbowe hawana tofauti. Ni waoga.
Mbowe aliitisha maandamano ya Ukuta. Wazee wa kazi wakapita mtaani kuonyesha zana za kazi. Mbowe na Ukuta wakayeyuka.

Mbowe aliitisha maandamano kinondoni. Ile kuona kuna blockade ya Polisi. Mbowe ndio alikuwa wa kwanza kutoroka na kujificha. Aliyeyuka kama moshi. Wafuasi wake wakabaki wameduwaa.

Mange na wafuasi wake hawajaonyesha ujasiri wowote ule. Wamekimbia maandamano waliyopanga dhidi ya dola.

Nimeamini maneno ya Dr. Salmin.. "Chezea ndevu..usicheze na dola".
 
unaniudhi,lol makamanda wanaudhi nao,Mange alipigana mpaka Lissu akapata hela ya matibabu lakini Mange alivyoitisha maandamano wakamkana hawakumpa support,hii nayo ilifanya maandamano kukosa momentum
Wale jamaa ni wanafiki balaa.
Walimjaza Mange upepo afu wakamtelekeza.
Mbowe, Msigwa na hata Lissu mwenyewe wako kimyaaaaaaaa utadhani wamekufa
 
Lakini kajaza askari na vifaa barabarani.Kuna la kujifunza hapa na kesho haiwezi kuwa kama jana!!
Hao ndio Mange alikuwa amepanga kupambana nao tangu mwanzo afu yeye na wafuasi wake wakagwaya.
Kwani kuna maandamano yoyote ya upinzani yasiyo na polisi wa kugawa mkong'oto?
 
General Mabeyo kasikitisha Sana kukubali Mtego wa kuingiza vifaru dhidi ya wananchi ambao ndio wenye jeshi lao mitaaani
Yaani na mkwara wote ule wa Polisi haukutosha hadi kuingiza vifaru
Kawaaibisha hata watangulizi wake
 
mandela alifanywa nini na makaburu?
unajua kwa nini wanaharakati wa SA walikuwa wanakuja kupewa hifadhi Tanzania?
tuanzie hapo we kenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…