Mhh kwani shamim kasoma moro sec au forest? Sasa hivi ata waliompokea mjini anawaona pusi tu.
Alisoma Morosec o-level from 1993-1996. Angesoma Forest ingekuwa balaa zaidi mana enzi hzo Forest ilikuwa ya watoto wakishua.
Leo kamchamba wema pia kuwa apunguze mahaba na kila kinachokuja.
Shamim ni sista angu flani kiukweli amezidi kupenda umjini na hashauriki. Hope wewe ni mtoto wa Patel.
Bora kamwambia ukweli mtupu. Kazidi naye aisee mweeeh. Ana wa let down fans wake hvi hata huyo mume atakaye kuja muoa kwa style hyo inabidi awe naye msanii.
Aaaahh mimi mtoto wa Mananga tulikuwa nae sana huyo dada Umiseta na mishe mishe ya ule mji si unaujua lazima mjuane
Yaani nakumbuka enzi zake z Bungo Primary School pale morogoro. Alikuwa very mpole Shamimu. Akaenda Morosec ndo akaanza janjatukiaa pale. Now kawa dada wa mjini duuuh mjini kutamuu[/QUOT
Daaahh alikuwa disminder flan hv, hakuwa na rafik wa kudum, ila hizo chili chili alikuwa nazo kitambo c unajua alikuwa kivyake vyake watu hawakuwa wanamwangalia sana.
Shamim ni sista angu flani kiukweli amezidi kupenda umjini na hashauriki. Hope wewe ni mtoto wa Patel.
Na Shamim anavyopenda shughuli simpatii picha enzi hizo na kina mercy. Yaani huyu dadangu anavyosumbua watu siku hizi mhh nasomaga nacheka tu.
OK siku zote najua kasoma forest coz ni best ya masista zangu ambao wamesoma forest miaka hiyo hiyo. Nawaskiaga tu na story zao za rock garden sijui shimoni.
Aaahhh unamjua mpk huyo bint lohhh, Alafu jina umelikosea kidogo, Daaahhh na plz usifanye marekebisho maana ss hv mtu mkubwa huyo anaongoza watu teh teh kaz kweli kweli
Teh teh teh sista zangu hao bana ngojea tuishie hapa maana watu awakawii kuunganisha dots.
Bahati yako....
Teh teh teh sista zangu hao bana ngojea tuishie hapa maana watu awakawii kuunganisha dots.
Alisoma Morosec o-level from 1993-1996. Angesoma Forest ingekuwa balaa zaidi mana enzi hzo Forest ilikuwa ya watoto wakishua.
Hahaha anakataa kukuunga group lao la ubuyu? Hajui watu tukianza kumwaga ubuyu wa hao shost zake mange uturn yote itakimbilia jf mange atakosa wateja.