Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And i think she was bright in class nimekumbuka mbali saana. Hata hzo sifa Mange anampa Mwamvita kuwa si mchoyo wa pesaa kwa rafiki zake ni kweli. Nilisoma na Mwamvita Bungo P/ S kipindi Makamba RC wa Morogoro, shoga zake walikuwa wanaenjoy saana, yule dada ana roho ya kutoa aisee nadhani ndo maana Mungu anampa.Kasoma moro sec na mkwawa
nifah hapa ananiasesi km nafanya QMs vile, kuna dongo lake moja kanipiga nalo sehem mm nimepita kimya,Angejua mm ni msomaji tuu sinaga mda wa kuchangia maana bize km nimeuwa mzungu haaaa
anaitwa MANGEREZA nashangaa kujifupisha Mange
Hahaha anakataa kukuunga group lao la ubuyu? Hajui watu tukianza kumwaga ubuyu wa hao shost zake mange uturn yote itakimbilia jf mange atakosa wateja.
Hahahahahaa, ni utani tu bwana.Usinichukulie serious kila wakati.
Ngoja nikakuadd dear
hivi flora lyimo huwa anamuitaje huyu mange k........
Me mbona hujaniadd?
watajuana wenyewe,,mi mama mizima badala ya kukoncetrate na watoto ,waume zao,kazi kuwa na marafiki msululu umbeya na majungu tu,mbayaaaaaaaaa,mfyuuuuuuuu
Eeish...subiri dakika sifuri
Wewe ni shamim! Bisha kataa!Mi simtetei Shamim, ila naomba niseme ukweli, Shamim bado yuko poa tena poa sana tuu, anajiheshimu sana yule dada.Wanawake wote ni wambea one way or another lol so kama ana umbea unafiki wa kichinichini kimpango wake, mradi mbele ya watu anajiheshimu.Tofauti na hiki choo kibovu (Mange) hajui kujiheshimu yaaani utadhania alijizaa akajilea? hivi kwao hamna wakubwa wamuonye? yule mamake wa kufikia Mwele aliyekuwa hawara wa babake, mbona hamuonyi huyu mwanamke? daaah, Shamim nadhani kinachomfanya abadilike kiasi flani ni watu walipomzunguka, shughuli zake za sikuhizi, kuolewa na watu wenye majina,kuendesha gari hahahaaha lol n.k lakini pembeni ya hivyo Shamim bado nikicompare na watu wengine bado yuko down to earth sana tuuuu.Kuna watu wanajua kubadilika jamani aaaaaah wananata utadhania hawanyiii, pyeeeeeee
Kumbe mjini kutamu hivi? Shamba sirudi ng'ooo
Wewe kwendraa kule shamimu kaolewa na mtu mwenye jina?jina gani Muuza sembe,Shamimu alimuacha mme wake wa kwanza ili akaolewe na mtu mwenye pesa nyingi,soo sad maana pesa zenyewe ni za kuuza powder.Shamimu yaani atatafuta jina kwa nguvu,ndo kujipendekeza kwa wenye nazo,ndo maana kamualika KYLIN kwenye hiyo tea party,KLYN kapotezea maana ni aibu kuwa associated na wake za wauza sembe,pole maana shamimu ni mtafuta jina tu hapa mjini,huku wanae wakivaa masempele tu halafu tutoto tupo lafu lafu tu,mama kutwa kwenye ma partyMi simtetei Shamim, ila naomba niseme ukweli, Shamim bado yuko poa tena poa sana tuu, anajiheshimu sana yule dada.Wanawake wote ni wambea one way or another lol so kama ana umbea unafiki wa kichinichini kimpango wake, mradi mbele ya watu anajiheshimu.Tofauti na hiki choo kibovu (Mange) hajui kujiheshimu yaaani utadhania alijizaa akajilea? hivi kwao hamna wakubwa wamuonye? yule mamake wa kufikia Mwele aliyekuwa hawara wa babake, mbona hamuonyi huyu mwanamke? daaah, Shamim nadhani kinachomfanya abadilike kiasi flani ni watu walipomzunguka, shughuli zake za sikuhizi, kuolewa na watu wenye majina,kuendesha gari hahahaaha lol n.k lakini pembeni ya hivyo Shamim bado nikicompare na watu wengine bado yuko down to earth sana tuuuu.Kuna watu wanajua kubadilika jamani aaaaaah wananata utadhania hawanyiii, pyeeeeeee