Mange Kimambi na wadada wa mjini ni shida

Mange Kimambi na wadada wa mjini ni shida

Yaani sijui hata kichwa chake kinanini yule mama?!ila bora ameongea ukweli banah!Wema akinuna shauri zake


hhhhhaaa eti anasema sass kama huyu kijana ni punda nitaanzaje kukemea wengine kama kina Mrs sembe hhhhhaaaa yaan ni balaaaa
 
Nimewamiss pia. kwa hiyo wema ndo kamchukulia linah? Jaman aombewe basi atulie.


ki ki ki ki ki ki ki ki ki ukome kwenda huko kajambe naniii,,,Kuna mafaili yamejaa umbea uliopita unatakiwa uyapitie yote na Kuna mtihanii pia,anaesahihisha ni warumi
 
Last edited by a moderator:
ki ki ki ki ki ki ki ki ki ukome kwenda huko kajambe naniii,,,Kuna mafaili yamejaa umbea uliopita unatakiwa uyapitie yote na Kuna mtihanii pia,anaesahihisha ni warumi

Aaaaaaah wewe mtu nimekushindwa tabia
 
Last edited by a moderator:
hhhhhaaa eti anasema sass kama huyu kijana ni punda nitaanzaje kukemea wengine kama kina Mrs sembe hhhhhaaaa yaan ni balaaaa

yaani kama ni kuponda anaponda hasaa!mnh mi dina siwezi kua na shoga kama mange,ushoga gani wa kuchambana hadharani?kama ni utani si agempigia simu akamuambia tu.
 
Hahahahahaa, ni utani tu bwana.Usinichukulie serious kila wakati.
Ngoja nikakuadd dear


nifah weee miye nimeshakushindwa nimekuacha tuu,, ukiamua haya ukikataa ewala ipo, sa ntakufanyaje wkt ww ndo admn wa group bwana weww
 
Last edited by a moderator:
And i think she was bright in class nimekumbuka mbali saana. Hata hzo sifa Mange anampa Mwamvita kuwa si mchoyo wa pesaa kwa rafiki zake ni kweli. Nilisoma na Mwamvita Bungo P/ S kipindi Makamba RC wa Morogoro, shoga zake walikuwa wanaenjoy saana, yule dada ana roho ya kutoa aisee nadhani ndo maana Mungu anampa.


ilu yeah!!!!!mzur kwa head, c unajua ile intake ilikuwa bright sana looh, wooote walikuwa mcharooo
 
Last edited by a moderator:
yaani kama ni kuponda anaponda hasaa!mnh mi dina siwezi kua na shoga kama mange,ushoga gani wa kuchambana hadharani?kama ni utani si agempigia simu akamuambia tu.


heheeee ndio maajabu yeye ni mshauri kila kitu anajuaaaa,huko wema kavimbajee
 
mange ajiandae!
wema anavojua kutetea miti ngozi yake,weeeeee!asubirrrriii
 
Back
Top Bottom