Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
mmh kazi ipo
kidogo sasa!!niko zangu Insta namsubiria "usipojipanganitakupanga"aje aharishe na povu lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh kazi ipo
heheeee umepitwa mengiii we anzia hapa Tu,,,tulikumissijeeeeee
Yaani sijui hata kichwa chake kinanini yule mama?!ila bora ameongea ukweli banah!Wema akinuna shauri zake
Inabid jumapil moja tukutane kule jukwaa la din aseeh, maana ni shidaaa
Nimewamiss pia. kwa hiyo wema ndo kamchukulia linah? Jaman aombewe basi atulie.
Aaaaaaah wewe mtu nimekushindwa tabia
hhhhhaaa eti anasema sass kama huyu kijana ni punda nitaanzaje kukemea wengine kama kina Mrs sembe hhhhhaaaa yaan ni balaaaa
akishindwa tunampiga chini tena tunabadili msahihishaji wewe utampa majibu
Hahahahahaa, ni utani tu bwana.Usinichukulie serious kila wakati.
Ngoja nikakuadd dear
Hahaaaa binamu we hujawahi kuwa hurted
Roho mbaya umeanza lini? ngoja nianze kusoma sitaki kufeli.
And i think she was bright in class nimekumbuka mbali saana. Hata hzo sifa Mange anampa Mwamvita kuwa si mchoyo wa pesaa kwa rafiki zake ni kweli. Nilisoma na Mwamvita Bungo P/ S kipindi Makamba RC wa Morogoro, shoga zake walikuwa wanaenjoy saana, yule dada ana roho ya kutoa aisee nadhani ndo maana Mungu anampa.
yaani kama ni kuponda anaponda hasaa!mnh mi dina siwezi kua na shoga kama mange,ushoga gani wa kuchambana hadharani?kama ni utani si agempigia simu akamuambia tu.
heheeee ndio maajabu yeye ni mshauri kila kitu anajuaaaa,huko wema kavimbajee
hapo ndipo anaponikera!muchknow sana Kimambi
Albart yupi huyo?mbongo?