Mange Kimambi na wadada wa mjini ni shida


Wanawake mna tabu sana na huo so called "ushoga" unfortunately hamjifunzi!
 
hasuguliwi kabisa, au anasuguliwa mara moja kwa mwezi mzazi mwenzio akija kuona watoto.Si washaaachana, mwanaume mwenyewe kalegea anavaaga kaptura za pink, MANGE ANA ROHO CHAFU SANA.Unajua amengojea sana arudiane na hao marafiki kaona miaka inazidi kwenda, hakuna namna, basi hasira ndio anaropoka.Sasahivi yuko frustrated na maisha, halafu eti bado anajidai sisi matajiti, baba kaniachia nyumba kinondoni nimepandisha, Voda wananilipa kwa tangazo,bado baba kaacha ardhi kubwa hata nikikaa tu bila kufanya kazi hela ijnaingia.Sasa mbona unashjinda unauza nguo za kichina? yaani ana sura chungu na roho chafu sijapata kuona.Anamsema Nacky kuachika mbona yeye hasemi ndoa ilivyovunjika December-January, wamekuja kusuluhisha mambo mwezi March,ndio sasa wanakalia mazoea but mwanaume anaishi mabwenini anasoma, kafuga madevu ya stress kama ana wazimu
 
Jamani wote ni binadamu kila mtu na mapungufu yake.Nakuhakikishia hao kina Nacky, Mwammy, Kiki, Bimdo etc wana mapungufu yao na wanayajua, ila wamemua kubehave kama watu wazima.Wako pamoja wameshikama, wanaheshimiana.Tatizo Mange anataka kujifanya yeye perfect sana na kuwa eti yeye ndio ambaye alikuwa poa kuwapita wote.Sasa amekaa kangojea weeee wagombane anaona wenzake wanazidi kusonga mbele.Halafu hawa wadada wala sio kundi kubwa, mnaowaona wanaalikana kwenye mashughuli wala sio wote walio close kivileee, walio close sana ni wachache wachache tu. 3-4 hivi.Mange anakuwa mwili tu akili haikuwi, aligombana na Zenat aliyeenda kumlelea watoto atashindwa kugombana na hao wa mitaani? mwenyewe anaona hii post itazidi kuwagombanisha wenzake, duuuuu pole Mange k´FYI wenzio wale sikuhizi wana MWIKO hawafungui wala kuisoma hiyo blog yako chafu.Kuna bidada aliona umbea wa mtu akampigia amuulize, weeee alifurumushwa kuwa kama unaongelea kitu kutoka blog ya Mange stop right there, wala sitaki kujua.Mange tafuta mwanaume utulize akili.Alikuwa kakazana msitake kunikosanisha na Mwamvita, mimi na Mwamvita we are cool, wakati dalili zoote zinaonyesha Mwamvita hamtaki huyu Mange kabisaaaa.Sasa kangojea weeee akidhani Mwamvita atakosana na wengine arudiane naye yeye, akaona hakuna hope, ndio akaanza kuporomosha matusi kwa January in the name of siasa.Haya sasa January kesho ndio anatangaza nia Mlimani City hata asipochaguliwa na CCM but kwa imani yake na siasa zake kajitahidi kivyakevyake, na Mwamvita ndio keshatua Dar sasahivi insta ni anatuma mapicha kamkumbatia kaka yake, kaja kumsupport.Nadhani matusi aliyotukanwa January kwenye blog ya Mange yatakuwa yamemuuma sana Mwamvita hata kama hakuyasoma yote lazima kuna wafuasi wa january watakuwa walifikisha habari kadhaa.Nadhani Mwammy roho imemuuma mno anaona kama ushosti wake na yule bichau Mange ndio umesababisha hadi kaka yake anatukanwa matusi machafuuu.Mange kweli kuna radi mbaya sana itakuja kumpiga, yetu macho
 
Mbaya zaidi kwenye ugomvi wake na hao so called wadada wa mjini anawaingiza na wengine matatani. Anatoa na siri za hata wasiohusika na ugomvi wake kisha anajitia kuwapamba eti wazuri hawana tatizo. Badala ya kusaidia ndio kwanza anamwagia petrol kwenye magomvi.
 
Halafu mshambaaa eti mpaka leo bado anaficha kuwa walishadivorce.Miezi 6 sasa ila bado anajidai My husband My husband hahahahaaa mbona hata mende wa marekani wote wanajua kuwa alishaachika.Yaani anapenda kufurumua ya wenzake yakwake kimyaaa.Hivi mnajua babake Bhoke alipokuwa anaoa Mange aliendaga kutaka kufanya fujo hahahaaha lol basi kesho kwa vile January anatangaza nia, na Mwamvita ndio keshaingia bongo basi nakuambia kesho roho itamuuma mpaka nyege zitampanda kwa donge.Yaani Mange angekuwa mganga angemroga Mwamvita na Kiki ili waweze kurudiana naye urafiki, na baba Bhoke amuoe yeye, lakini kama haya mawili hayawezi kutokea Mange atazidi kuchanganyikiwa siku hadi siku.Mi ananiachaga hoi akianza kumsema mtoto wa Linda, eti na wale wafuasi wake kwenye blog wanamsupport eti Linda anampa mwanae mfano gani kwa kushinda anatukana mitandaoni.Khaaaa si afadhali ya Linda anayapita here and there mitandaoni anasoma story na kutukana pale inapobidi, yeye Mange mwenye blog kabisa special kwa kudhalilisha watu? yeye anaonyesha mfano gani kwa yule mwanae Bhoke? nahisi Frank anajutraaaaa kumkubalia yule binti akakae na mama yake, maana sasa kichaa ndio kimepanda kupita maelezo.
 
Mi simtetei Shamim, ila naomba niseme ukweli, Shamim bado yuko poa tena poa sana tuu, anajiheshimu sana yule dada.Wanawake wote ni wambea one way or another lol so kama ana umbea unafiki wa kichinichini kimpango wake, mradi mbele ya watu anajiheshimu.Tofauti na hiki choo kibovu (Mange) hajui kujiheshimu yaaani utadhania alijizaa akajilea? hivi kwao hamna wakubwa wamuonye? yule mamake wa kufikia Mwele aliyekuwa hawara wa babake, mbona hamuonyi huyu mwanamke? daaah, Shamim nadhani kinachomfanya abadilike kiasi flani ni watu walipomzunguka, shughuli zake za sikuhizi, kuolewa na watu wenye majina,kuendesha gari hahahaaha lol n.k lakini pembeni ya hivyo Shamim bado nikicompare na watu wengine bado yuko down to earth sana tuuuu.Kuna watu wanajua kubadilika jamani aaaaaah wananata utadhania hawanyiii, pyeeeeeee
 

Ni kumekucha
 

Na kesho ndio atashusha gazeti la mzalendo maana Mwamvita Kiki na Nacky watakuwa pale mlimani city kumsupport kaka yao kipenzi.. mie roho imeniumaa nilipomuona mwamvita kamkumbatia kaka yake kwa uchungu nikajua ana fikiria nini lakini mwenyezi Mungu atawaongoza najua January kawezi chaguliwa lakini kasubutu/thubutu
 

Huwezi mfananisha Shamimu na msukule Mange hata kidogo huyu msukule hana hadhi ya kumfikia Shamim kwa uzuri,maisha , mume , familia kwa chochoteee ni sawasawa na kufananisha usingizi na kifo mwenye usingizi ataamka kifo ndo nitolee ndo Mangereza
 



Wewe umejuaje ameachika??
 

Alimkumbatia kihisia... Strong attachment yaani alikua kama anawaza brother you will do it and deliver

Mange kama anampenda Mwamvita kama alivyosema aache kumsema brother ake for friendly sake... She is too much sometimes yaani kuna times huwa nawaza anapata wapi guts zote hizo
 

Walaaa,Shamim siku hizi anaDHARAU za kupita kiasi, anaangalia status yako kwanza, ajue unaumuhimu gani Dar then ndio ataongea na wewe au hata kukujibu salamu,yule ni mtu mzima, she should know how to act around others,anajiona star so now anataka kupapatikiwa, God have mercy on her,namjua yule dada
 
Saasaaa....watu hamumpendi Mange ila bado mnafatilia blog yake? Hiyo ni hard love au nini?

Ukiwa na circle ya ma best lukuki maneno maneno lazima yawepo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…