Hahahahah lohh ubuyu mtamu sana!!
yaani kama ni kuponda anaponda hasaa!mnh mi dina siwezi kua na shoga kama mange,ushoga gani wa kuchambana hadharani?kama ni utani si agempigia simu akamuambia tu.
Mleta Uzi ndiye yule kijana,anaepigwaga makofi na shishi baby Shilole?,au majina kufanana?,umejiunga Jana,karibu JF..
Mange ana mapungufu mengi sana, ila kwa hili la kumweleza Wema ukweli amefanya kitu kizuri kumsema hadharani. Hii itamsaidia Wema kujitafakari. Team wema hawamwambii ukweli wanabaki kumsifia tu kwa kila jambo. Wema kwa sasa hawezi kuwa balozi hata wa viberiti kutokana na vitu vya ovyo ambavyo yeye anadhani ni sifa. Siku akiijua thamani ya jina lake atajuta kwani muda utakua umeshapita. Awaangalie kina Ini Edo wanavyopiga hela. Sio yeye anadhani sifa ni kuwa na mwanaume mzuri na maarufu kumbe ni zaidi ya hapo.
We hujamjua mange mpaka sasa, kuyaweka hadharani anataka Mai achambwe na misukule yake, siri za mai ziwekwe hadharani na kama kuna mapya ambayo Mange alikuwa hayafahamu ya Mai aweze kuyajua, bibie yuko US kimwili tu lakini kiakili na kiroho yuko bongo, anajuta kuhamia huko aliko hakuna mtu mwenye time nae sasa hakuna cha outing na mashoga uchizi unampanda.
We hujamjua mange mpaka sasa, kuyaweka hadharani anataka Mai achambwe na misukule yake, siri za mai ziwekwe hadharani na kama kuna mapya ambayo Mange alikuwa hayafahamu ya Mai aweze kuyajua, bibie yuko US kimwili tu lakini kiakili na kiroho yuko bongo, anajuta kuhamia huko aliko hakuna mtu mwenye time nae sasa hakuna cha outing na mashoga uchizi unampanda.
Jamani huko IG Dina anafunguka kuhusu kutoka clouds...na Leo tena part 1 kajieleza vizuri tu eeh...ya pili sasa asianze kujitetea kuwa hana ugomvi na zama...watu wanahoji y muendelezo una divert? Au kapigwa mkwara?
Jamani wambea wenzangu mwenye details za Dina kuwekwa bench bila kufukuzwa kazi ni nini maana amesema hivo kuwa hadi mshahara anapokea sema yuko bench....jamani huu ubuyu mtamu sema inahitaji details za kutosha
Hilo la kuwaza bongo wkt yupo US kinawezekana.
Ila hii mentality ya kibongo mtu akiamua hataki marafiki anakuwa anawa miss sijui inatika wapi. Si kweli ht kidogo maisha ya marafiki ni maisha bora, mtu unakuwa km mfungwa yani kila unachofanya unatakiwa uwa impress mashoga. Mm naonamaisha aliyoyaamua Mange kuishi bika mashoga ni bora zaidi.
Maisha ya hu hang around na watu 24/7 ni ya kizamani na ni yakurudishana nyuma kimaendeleo. Ulishawahi kusikia tajiri gani au mtu aliyeendelea kimaisha na marafiki msururu.
Kwenye hili wabongo tubadilike, ndio mana wanawake wanaibiana wanaume na kusutana kucha kutwa.
Halafu anasema Zama hana nguvu yakumtoa clouds......kuna kitu hapa si bure
Mwenzangu...kuna kitu si buree...warumi wapii uingie msituni tupate data jamani
Ila Ile part one inaonesha aliondoka clouds baada ya mzazi mwenzie kuondolewa so wanamfanyia revenge
Hakuna tatizo kuwa na rafiki kuna tatizo katika tabia mlizonazo, (nioneshe rafiki zako nikuambie tabia yako).
Hivyo ndivyo unavyoamini.
Ulishawahi kuona rafiki wa Oprah, Mengi, Bakhresa. Ww ng'ang'ania hivyo hivyo ndio mana wabongo kuendelea ni issue, labda kwa sembe
Huyu bi mdashi.....mzazi mwenzie si Ruben Ndege o?hata hvyo clouds kuna uchafu mwingi inaelekea kuna kuzungukana.
We hujamjua mange mpaka sasa, kuyaweka hadharani anataka Mai achambwe na misukule yake, siri za mai ziwekwe hadharani na kama kuna mapya ambayo Mange alikuwa hayafahamu ya Mai aweze kuyajua, bibie yuko US kimwili tu lakini kiakili na kiroho yuko bongo, anajuta kuhamia huko aliko hakuna mtu mwenye time nae sasa hakuna cha outing na mashoga uchizi unampanda.
yani huyu mange ni bifu tu kwann wasimpige bastora huyu..ngoja aingie kwenye 18 za wajanja..